Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ushaoneka chizi rafiki, kunyamaza ni chaguo bora pia.

SM-G955F Samsung galaxy S8+

Mbona rahisi kuchangia unachangia kujibu swali langu mpaka sasa unashindwa!??? Lazma ukasirike na mimi sina cha kukusaidia zaidi ya kukupa pole.......
 



Uzuri was JF inabeba kila aina ya UBONGO safiii.
 
Ha ha ha wakati anatushutuma historians kwa kudanganywa, anadhindwa kuelewa kuwa scientifically amedanganywa kuliko hata historians.

Kama anashukuru kwa kutosoma historia ambayo ingrmdanganya, amesoma science, kipi amekifanya kwa kutumia science?

Watanzania buana!!!!
 
Sasa kama tuna cha kujivunia; shida yote ya nini ya kujinasibisha na watu ambao hata asili yao hatuijui!! Na mimi ningependa sana tuwe na cha kujivunia lakini inaonekana hatuna na ndio maana tumekuwa ni watu wa kujiegemeza egemeza tu!!!!
Toa suluhisho siyo kukosoa mawazo ya wengine. Onesha njia sasa, blabla zako pia hazitusaidiii
 
Hicho chuo cha kwanza,kilikuwa kinaitwaje na kilianzisha mwaka gani ? Tupatie faida tafadhali.
1. El Ahir University
2. El Ahzi University
3. Timbukti University

Vyote hivyo vilikuwepo 4th Century
 
Toa suluhisho siyo kukosoa mawazo ya wengine. Onesha njia sasa, blabla zako pia hazitusaidiii
Mimi ninayejivunia Uafrika wangu na wewe unayejiita mjukuu wa Firauni ni nani anayepiga blah blah?! Au neno blah blah umelijua hivi punde na ndio maana unalitumia pale ambako hukupaswa kulitumia?! Btw, mjadala unahusu kutafuta suluhisho za Afrika au uhusiano wa Waafrika weusi na Firauni?! We wa wapi wewe??!!!
 

chige JF-Expert Member
[HASHTAG]#689[/HASHTAG]
Sunday at 4:51 PM

Joined:Jul 11, 2016
Ndio maana unapenda ligi. Yaani kumbe hoja zako siyo kutaftasuluhisho bali ni uendelee kupotezea watu muda wao? Umejiunga huku mkuu Invisible kesha undoa ule ujumbe wake wa FICHA UPUMBUVU WAKO
 
Acha viroja wewe! Unatakiwa kusoma mada na kuilewa na sio kukurupuka kuandika unayotaka wewe!!!

Mada ni Firauni na asili yake! Sasa unataka suluhisho lipi?! Kwahiyo ni wewe ndie unaetakiwa kuficha upumbavu wako manake unaongea mambo ambayo si sehemu ya mjadala!!!

Kama ni masuala ya matatizo ya Afrika hilo ni suala lingine linalohitaji mada nyingine na sio hii!!!

Narudia, soma mjadala na uelewe! Ukitaka hayo mengine, anzisha uzi kuhusu mada husika!!!
 
Mkuu, basi sawa
 
Kiongozi nimekutafuta sana asante kwa kurudi tuendelee na darasa letu
 
Aisee kumwelesha mtu kama huyu kunaitaji nafasi anyway tusonge mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…