Hata mazoezi ya chumbani wanafanyiaKibongo bongo hapo watu si wanakaa na kupiga story na kunywa kahawa kabisa au nasema uongo nduvu zanguuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mazoezi ya chumbani wanafanyiaKibongo bongo hapo watu si wanakaa na kupiga story na kunywa kahawa kabisa au nasema uongo nduvu zanguuuuu
Kumbe nawale watekaji watakuwa wanajulikana........anyway wakiamua kulitoa linatoka tu bil shida......
Wapi wwLangu hamtaliweza
JF kuna vituko balaa yaan [emoji1787][emoji1787]haki Chief !
Ahsante kwa history!
Waulize huko Iringa waliothamini hela toka Tanroad kama malipo yakuhamisha ukuhani wakiyeyeu kama bado wapo hai.Ipo siku tu litaondolewa kama lile la Kiyeuyeu kule iringa
Hata muda huu nipo kwenye huu mti hapa pembeniKibongo bongo hapo watu si wanakaa na kupiga story na kunywa kahawa kabisa au nasema uongo nduvu zanguuuuu
mzee wetu Mohamed Said tia neno hapa
Sio mzee wake ila bwana Mohamed Said anajua mambo mengi sana kuhusu historia ya nchi hii, akija mwenyewe utaona, kaa usubiri.Ni mzee wake ?
Kama siyo usitegemee majibu.
Atakuja na, majibu sasa hivi.Mzee wangu Mohamed Said unajua lolote kuhusiana na hili kaburi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilisikia kwa mbali kwamba kuna mali za mjerumani humo ndani.
Nasikia alizikwa binadamu akiwa mzima akiwa na hizo treasures.
Na atakayejaribu kufukuwa anapigwa makofi na anayempiga hamuoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ipo siku tu litaondolewa kama lile la Kiyeuyeu kule iringa
Tatizo kwenye kaburi lake hakuna jina wengine watamjuaje sasa???
Inasemekana kijiko kilifika eneo la tukio kwa lengo la kuhamisha kaburi kilichotokea kijiko kilivunjika vipande vipande!Ipo siku tu litaondolewa kama lile la Kiyeuyeu kule iringa
WanakuUNDER-rate kakaSubiri nife.. Watajua hawajui