Hahahaha.....!Sio kushangaza wanahistoria kubwa sana Na nchi hii sema mnajitahidi kuwadhoofisha
Hata Ujerumani kwenyewe kuna majengo yako vilevile kabisaa kuna makala ilikuwa inaonesha Architectural science iliyotumika kujenga kule na hukuIkulu imejengwa na Mjerumani,anangalia muundo wake na wa station Kigoma utaona kuna usawa fulani
Huyu jamaa ndiye likuwa naishi pale Magogoni yaani alijenga mjengo wake pale pale baada ya kufariki 1860 miaka michache baada ya kuingi aWajerumani wakaenda kukaa jingo la yule marehemu wakarikarabati likawa kama ofisi yao.Mimi napata shida kuelewa. Alifanya kazi na wajerumani waliofika 1885 ila alifariki 1860. Hebu pitia vizuri huu waya wako
Hahahahanasikia kaburi lina maajabu sana lile, ukikalia usiku unaweza jikuta uko pemba
Kuna uzi humuhumu unazungumzia hilo kaburi ila sikumbuki ulipewa heading ganiKuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya clock tower posta dar es salaam. Mwenye historia ya uwepo wa kaburi hilo katikati ya mji atueleze.View attachment 1829503
Muulize mkwere...
Ndio ngao yake hiyo...
Aliyezikwa hapo anaitwa Posta na ndio mwanzo wa hilo eneo kuitwa Posta.
Matusi haya,Unapata faida gani unapoweka footprint mtandaoni wakati unatoa taarifa zisizo sahihi?
Narcissistic Personality Disorder (NPD)
“”A disorder in which a person has an inflated sense of self-importance.””
Narcissistic personality disorder is found more commonly in men. The cause is unknown but likely involves a combination of genetic and environmental factors.
Atakuja na majibu huyu mzeeMzee wangu Mohamed Said unajua lolote kuhusiana na hili kaburi?
Mzee naimani ataketa majibuMzee wangu Mohamed Said unajua lolote kuhusiana na hili kaburi?