Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Jason bourne, asante kuulizia makaburi kati kati ya jiji, nenda na pale Jengo la Utumishi, opposite Feri, next to Ikulu, utakuta makaburi lukuki. Wizara ya Tamisemi jijini ina makaburi kibao, pia kaulize ni ya nani?.
Watakuwa wavuvi wa eneo hilo miaka hiyo
 
Picha plz ata kama hamkua na smartphone mwaka 2011...
 
Alhaji JK tena? Ungejikita kwenye mada.
Uislamu nijuavyo ulianzia kule Kilwa iweje huyu mtz azikwe pale? Je huko kilwa hakuna watz wa mwanzo kabisa walioamini uislamu? Kwanini waislamu hawamuenzi Imam wao wa mwanzo badala yake wanakaa kueneza udini kupitia kwa Alhaj JK mkweree?
 
Yapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi

Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!

Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake

Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo

Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia

Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo
 
Yapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi

Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!

Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake

Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo

Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia

Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo

Jamie forum ndo kila kitu, kila swali litapata Jibu!
 
Yapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi

Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!

Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake

Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo

Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia

Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo
Mkuu Asante kwa hii clarifications ila historia ina sema Ikulu ya magogoni ilijengwa na Wakoloni wa Kijerumani hapo imekaaje mkuu?
 
Yapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi

Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!

Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake

Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo

Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia

Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo
Asante mkuu
 
Yapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi

Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!

Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake

Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo

Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia

Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo
Hongera kwa kutupatia jibu Mkuu..
 
Huu izi bila picha ni sawa na.....................!!?
 
Mkuu naomba uandike makala ya kumhusu huyu mtu tumjuwe ki undani hasa.Make we mwenyew ukishaondoka duniani vizazi vijavo havitojuwa hili.Na itakuwa ni hasara kwetu na kwako pia. Kwa sababu kizazi hiki kilichopo kinamuona Harmonize kama shujaa wa taifa anayempinga mkoloni Mondi.
Yapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi

Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!

Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake

Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo

Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia

Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo
 
Kuna bustani moja katikati ya jiji la Dar es salaam (katikati ya barabara ya Samora, India na Mosque) maeneo ya clock tower. Ukifika katika bustani hiyo, kitu cha kwanza utakachokiona pale ni kaburi lililojengewa na marumaru nyeupe na ambalo kwa mujibu wa watu waliozoea kukaa pale mara kwa mara ni kwamba kuna mtu maalumu ambaye hulifanyia usafi kila siku kwa kuliosha na kusafisha mazingira yaliyozunguka kaburi hilo (siyo bustani yote!) na hulipwa mshahara wake kwa kazi hiyo (sijui hulipwa na nani). Vile vile nimesikia kwamba baadhi ya watu huenda kuabudu pale nyakati za usiku.

Swali, je kaburi hili ni la nani ambaye ni muhimu sana kiasi hicho katika historia ya nchi yetu hadi akazikwa katikati ya jiji? Je, kaburi hili likihamishwa pale kama mengine yavyohamishwaga kutakuwa na athari gani?

Nilidhani mtu wa muhimu sana katika historia ya nchi yetu ni Marehemu Baba wa Taifa Mwl. Nyerere ambaye kama angelizikwa pale au sehemu inayofanana na hiyo ingetoa mwanya hata vizazi vyetu vijavyo kuona na kushuhudia alipolazwa mhasisi wa Taifa letu, vile vile kwa vitendo vya hawa MAFISADI tungeweza kuamua wana JF tukaenda kuwaombea dua baya.

Unataka kutuaminisha nini?
Je alizikwa kabla ya mji kupanuka au baada ya mji kupanuka?

Kama kuna mtu anafanya usafi eneo hilo, kwa nini usimuhulize ni kaburi la nani?

Ukitaka kufahamu zaidi, nenda ukashirikiane na wanaoenda kuabudu pale
 
Unataka kutuaminisha nini?
Je alizikwa kabla ya mji kupanuka au baada ya mji kupanuka?

Kama kuna mtu anafanya usafi eneo hilo, kwa nini usimuhulize ni kaburi la nani?

Ukitaka kufahamu zaidi, nenda ukashirikiane na wanaoenda kuabudu pale
Aliuliza swali kwa lengo la kupata ufafanunuzi kutoka humu akiwa ana imani kuna watu wangekuja na majibu sahihi. Unaweza ukamuuliza huyo anayefanya usafi hapo na bado asiwe na majibu. Mpaka muulizaji kaja humu ina maanisha kajaribu kuwauliza watu waliopo karibu na hilo kaburi, lakini hakuweza kupata majibu ya kuridhisha, ndio maana akaamua kulileta hilo suala hapa jukwaani.
 
Back
Top Bottom