Mkuu wangu si umesema umesoma vidatu vingi lakini hakuna sehemu umefundishwa kuwa Ally Sykes ni mwasisi au nakusingizia.
Mie nikakujibu kitabu cha historia ya TANU kilichoandikwa na chuo cha Kivukoni kimemtaja Ally Sykes pamoja kuwa na mapungufu mengi. Kama umesoma Chuo Kikuu nenda kwenye historia ya Tanganyika utakutana na jina la Ally Sykes.
Historia ya Ilunga mie sijapata kuisikia mie nimemjua Ally Sykes kupitia vitabu nilivyokutajia na wazee wangu.
RITZ,
By Mwungwana asikushuulishe! huyu historia aliyofundishwa ni kuwa kabla ya kuwa binaadamu alikuwa Nyani sasa mtu anaeamini kuwa alikuwa Nyani atamjuaje Shujaa Ally Sykes?