Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

RITZ,
Unahabari zozote kuhusu mazishi ya Mzee A.Sykes? wapi atazikwa? jee, kama atazikwa nyumbani mazishi yatakuwa na hadhi ya kitaifa? au yatakuwa kama ya Kaka ake Abdulwahid?

Mwili wa marehemu bado upo Kenya takupa taarifa mkuu.
 
Mungu amlaze mahali pema peponi. Awape faraja wafiwa.
Amen!
Chama
Gongo la mboto DSM
 
R.I.P Ally Sykes. Ritz hivi Abbas si ndiye anajiita Abby Sykes, Baba yake na Dully Sykes?
Huwa namwona uvaaji wake wa ki-check Bob hivi na anapenda sana mziki. Yuko wapi siku hizi?
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba picha yake. Ana undugu na Dull Sykes


Nilishawahi kumsikia Dully (Abdul) Sykes akisema kuwa Mzee Sykes ni ndugu yake lakini nimesahau wanarelate vipi kama ni babu au baba mkubwa. Wenye kujua zaidi wanaweza kutusaidia.

Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!Pumzika kwa amani mzee Sykes.
 
Juhudi zenu tutazienzi daima nazo zitatupa àri katika kupigania ukombozi wetu.
 
Nilishawahi kumsikia Dully (Abdul) Sykes akisema kuwa Mzee Sykes ni ndugu yake lakini nimesahau wanarelate vipi kama ni babu au baba mkubwa. Wenye kujua zaidi wanaweza kutusaidia.

Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!Pumzika kwa amani mzee Sykes.


Dully (Abduli), Kleist, Sykes. Inaonekana hii familia ilikuwa inapenda sana umagharibi. Anyway, tunatoa pole kwa kuwa uzi umeletwa hapa jamvini ila kimsingi hauna hadhi ya "Breaking News" wala sio issue nzito kihivyo kwa taifa.

Kafa kama maelfu ya watanganyika wengine wanavyokufa kila siku tena kwa kukosa huduma za msingi ambazo ni haki yao kikatiba. Kila kifo kinachotokea nchini kikiletwa hapa JF sijui itakuwaje. Sometimes, mambo ya familia yaishie huko huko kwenye familia na anakoabudu badala ya kuya-publicise bila sababu za msingi.

CC: Ritz, Yericko Nyerere
 
Last edited by a moderator:
R.I.P Ally Sykes. Ritz hivi Abbas si ndiye anajiita Abby Sykes, Baba yake na Dully Sykes?
Huwa namwona uvaaji wake wa ki-check Bob hivi na anapenda sana mziki. Yuko wapi siku hizi?

Baba yake Dully ni mtoto wa Abdulwahid Sykes, Abbas Sykes ni mdogo wake Ally na Abdul.
 
Last edited by a moderator:
Dully (Abduli), Kleist, Sykes. Inaonekana hii familia ilikuwa inapenda sana umagharibi. Anyway, tunatoa pole kwa kuwa uzi umeletwa hapa jamvini ila kimsingi hauna hadhi ya "Breaking News" wala sio issue nzito kihivyo kwa taifa.

Kafa kama maelfu ya watanganyika wengine wanavyokufa kila siku tena kwa kukosa huduma za msingi ambazo ni haki yao kikatiba. Kila kifo kinachotokea nchini kikiletwa hapa JF sijui itakuwaje. Sometimes, mambo ya familia yaishie huko huko kwenye familia na anakoabudu badala ya kuya-publicise bila sababu za msingi.

CC: Ritz, Yericko Nyerere

Hakuna tatizo msiba kama aukuhusu wala hakuna haja ya kutumia nguvu nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Dully (Abduli), Kleist, Sykes. Inaonekana hii familia ilikuwa inapenda sana umagharibi. Anyway, tunatoa pole kwa kuwa uzi umeletwa hapa jamvini ila kimsingi hauna hadhi ya "Breaking News" wala sio issue nzito kihivyo kwa taifa.

Kafa kama maelfu ya watanganyika wengine wanavyokufa kila siku tena kwa kukosa huduma za msingi ambazo ni haki yao kikatiba. Kila kifo kinachotokea nchini kikiletwa hapa JF sijui itakuwaje. Sometimes, mambo ya familia yaishie huko huko kwenye familia na anakoabudu badala ya kuya-publicise bila sababu za msingi.

CC: Ritz, Yericko Nyerere

We mchimvi! humjui Ally Sykes na mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi hii! kama sio hawo mashujaa leo usingekuwa na ubavu wa kuropoka hivyo na kuishi huru! ungekuwa bado unatawaliwa na wazungu!
Mzee Ally Sykes ni mtu muhimu ktk harakati za kupigania uhuru hivyo kifo chake lazima kiwe ni Breaking News! sio sawa na kifo chako wewe ambae wazazi wako huenda walikuwa wafanyakazi wa Wakoloni na kuogopa kujiunga na Tanu wakati wa harakati za Uhuru!
Kama leo angekufa Mnyika au Tundu Lisu sidhani kama ungekuja na kauli hiyo ya kichimvi! na labda ni wewe ndio ungeibukia hapa na kupost breaking news ya kifo cha viongozi wako wa CDM! lakini Ally Sykes kifo chake si lolote kwako! Waombe radhi wanafamilia ya Sykes kwa kuwadhalilisha ktk JF huku wakiombeleza msiba wa kipenzi chao na kipenzi cha wazalendo wa nchi hii!!
 
We mchimvi! humjui Ally Sykes na mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi hii! kama sio hawo mashujaa leo usingekuwa na ubavu wa kuropoka hivyo na kuishi huru! ungekuwa bado unatawaliwa na wazungu!
Mzee Ally Sykes ni mtu muhimu ktk harakati za kupigania uhuru hivyo kifo chake lazima kiwe ni Breaking News! sio sawa na kifo chako wewe ambae wazazi wako huenda walikuwa wafanyakazi wa Wakoloni na kuogopa kujiunga na Tanu wakati wa harakati za Uhuru!
Kama leo angekufa Mnyika au Tundu Lisu sidhani kama ungekuja na kauli hiyo ya kichimvi! na labda ni wewe ndio ungeibukia hapa na kupost breaking news ya kifo cha viongozi wako wa CDM! lakini Ally Sykes kifo chake si lolote kwako! Waombe radhi wanafamilia ya Sykes kwa kuwadhalilisha ktk JF huku wakiombeleza msiba wa kipenzi chao na kipenzi cha wazalendo wa nchi hii!!

Ha ha ha! Nimeshauri mambo ya familia yaishie kwenye familia. Ally Sykes ni mtu mdogo sana kwenye siasa za nchi hii; huo ndio ukweli hata kama hupendi kuusikia. Tunatoa pole kwa sababu ni binadamu mwenzetu katutoka lakini sio kwa kuwa ni maarufu kihivyo. Natumaini umeelewa.
 
We mchimvi! humjui Ally Sykes na mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi hii! kama sio hawo mashujaa leo usingekuwa na ubavu wa kuropoka hivyo na kuishi huru! ungekuwa bado unatawaliwa na wazungu!
Mzee Ally Sykes ni mtu muhimu ktk harakati za kupigania uhuru hivyo kifo chake lazima kiwe ni Breaking News! sio sawa na kifo chako wewe ambae wazazi wako huenda walikuwa wafanyakazi wa Wakoloni na kuogopa kujiunga na Tanu wakati wa harakati za Uhuru!
Kama leo angekufa Mnyika au Tundu Lisu sidhani kama ungekuja na kauli hiyo ya kichimvi! na labda ni wewe ndio ungeibukia hapa na kupost breaking news ya kifo cha viongozi wako wa CDM! lakini Ally Sykes kifo chake si lolote kwako! Waombe radhi wanafamilia ya Sykes kwa kuwadhalilisha ktk JF huku wakiombeleza msiba wa kipenzi chao na kipenzi cha wazalendo wa nchi hii!!

Tanzania bado tunatawaliwa na mkoloni CCM !!!
 
Back
Top Bottom