Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Ha ha ha! Nimeshauri mambo ya familia yaishie kwenye familia. Ally Sykes ni mtu mdogo sana kwenye siasa za nchi hii; huo ndio ukweli hata kama hupendi kuusikia. Tunatoa pole kwa sababu ni binadamu mwenzetu katutoka lakini sio kwa kuwa ni maarufu kihivyo. Natumaini umeelewa.

Hata Chadema wenzako wakikusoma wanasikitika kwa maneno yako.

Waasisi wa TANU kadi namba 1ilikuwa ya Nyerere kadi namba 2 ilikuwa ya Ally Sykes kadi namba 3 ilikuwa ya Abdulwahid Sykes.

Hakuna tatizo hizo ni fikra zako subiri magazeti kesho.
 
Sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea.
 
Yericko,
We unaonekana mchimvi! watu wako kwenye msiba unatuletea uzi wako wa uchochezi! peleka maelezo hayo ktk ukumbi wako wa uchochezi dhidi ya Mohamed Said https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...apigania-uhuru-wa-tanganyika-na-zanzibar.html!
Hapa raia wema wanaombeleza msiba wa mpigania uhuru we unaanza kuleta chuki zako dhidi ya marehemu mpigania uhuru wa Tanganyika!
Unatia aibu kueneza chuki kwa kutumia jina la familia ya Nyerere! shame on you!!!

Hana lolote anataka kuwaminisha watu na historia yake ya kutunga
 
Asante sana Ritz.Huu ni ushauri bora na nadra sana.Tuna itikadi tofauti lakini nina heshima ya pekee kwako Ritz.Asante sana sana.Nitafanya hivyo.Shukrani sana kwa kuelewa hisia zangu.Nimefadhaika sana,nimejuta!

Unapewa ushauri unaeleweshwa unasaidiwa !! Lakini mkuu usije wageuka hao waliokuongoza ..Kama walivyo pigwa chenga na kutupwa chini wazee wetu walopita...Ako kawjanja walitumiaga wale wazamani!!! be honest and patroitki..
Go ben Go
 
Nafikiri tujikite kutoa Pole na kufuatilia kujua taratibu za msiba n.k. Haya ya uraia nk tuyaache.
Na huu ndiyo utamaduni wa Kiafrika, msiba ukiisha tuyajadili na mengine.
 
Hakuna historia iliyokamilika zaidi kama ile ya kusimuliwa na watu wenyewe ambao walikuwa ndiyo sehemu ya historia yenyewe. Tanzania imepoteza sehemu ya historia yake.

Duniani tunapita, na kutangulia kwa mzee wetu ni sehemu ya njia yenyewe ambayo kila binadamu ataipita.

Poleni wana familia na ndugu wote. Hii ni mipango anayoijua mwenyezi Mungu/Allah peke yake.
 
Asante sana Ritz.Huu ni ushauri bora na nadra sana.Tuna itikadi tofauti lakini nina heshima ya pekee kwako Ritz.Asante sana sana.Nitafanya hivyo.Shukrani sana kwa kuelewa hisia zangu.Nimefadhaika sana,nimejuta!
...salute..! sijui kuna kitu gani baina yako na ritz..lkn nimeguswa mno na hii posting yako..that was Malcom X way..!....na ni kihivi tutaleta second liberation ya motherland..! kwa mara ingine tena..salute..!you, ritz and all of us, let almight guide and guard us in a way which is of less confrotation...!...stay blessed bro!
 
Hakuna historia iliyokamilika zaidi kama ile ya kusimuliwa na watu wenyewe ambao walikuwa ndiyo sehemu ya historia yenyewe. Tanzania imepoteza sehemu ya historia yake.

Duniani tunapita, na kutangulia kwa mzee wetu ni sehemu ya njia yenyewe ambayo kila binadamu ataipita.

Poleni wana familia na ndugu wote. Hii ni mipango anayoijua mwenyezi Mungu/Allah peke yake.
Ulipotea sana mkuu, karibu tena pahala petu, jamvini!
 
Uraia wa marehemu unanipa mashaka! Hata hivyo haidhuru, kwa kuwa hata Watanzania walipigana kumwondoa dikteta Idi Amin Dada wa Uganda! RIP mzee Sykes!

Usikupe Mashaka ndugu yangu, Wa Afrika wa zamanim Africa ilikuwa nchi moja kwao bila mipaka, watu walikuwa wakipendana sana, Hata yule jamaa wa kibaya aliyempa Landrover yake mpya nyerere kufanyia safari za kampeni za uhuru alikuwa mfanyi biashara wa kisomali. Katika miaka ya 80' mwanzoni, Marehemu Baba wa Taifa katika matembezi kule kibaya akaiona ile gari , alifurahi na akamuuliza yule msomali mbona hukunijia kuniona baada ya uhuru, Msomali akamuambia si tuulisha shinda na tumepata uhuru wetu, kila mtu katimiza wajibu wake. Ile Land Rover iko Museum Dar. Ndugu hawa wazee wetu ni watu waliokuwa wanajua nini maana ya UAFRICA na UNDUGU bila kujali dini, kabila wala rangi. Mungu amrehemu Baba Sykes na wote wale waliomtangulia. Kuna wengi wasio wazalendo waliojitoa mhanga kupigania uhuru wa tanzania, Wahindi, Wa Arabu, wasomali, wazambia wacongo nk

Watanzania tuungane
 
Ndio nini hiki?

Ee m/mungu msamehe na umrehemu na makazi yake yawe peponi, ee m/mungu ikiwa marehemu ni mwema basi mzidishie katika wema wake na akiwa ni muovu amfanyie wepesi katika maovu yake.
 
RITZ,
Unahabari zozote kuhusu mazishi ya Mzee A.Sykes? wapi atazikwa? jee, kama atazikwa nyumbani mazishi yatakuwa na hadhi ya kitaifa? au yatakuwa kama ya Kaka ake Abdulwahid?

nafikiri atazikwa kwao soweto...rip mzee sykes
 
RIP Mzee Ally Sykes...poleni sana wafiwa...na poleni sana Watanzania wenzangu......
 
Back
Top Bottom