Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Huyu ana bahati chama kinakufa naye anakufa kuzikwa ndo yeye atatangulia. Rip ccm rip skykes
Wakati mwingine bora uwe msomaji unaweza kujifunza kitu kuliko kuropoka ovyo hawa wazee baada ya TANU wakapunzika baada ya historia kuwafuta.
 
kipindi kirefu nilikuwa najiuliza chimbuko la Cleist Sykes wakati wao ni waislamu kumbe inaonekana babu yao wa kabila la wazulu alipofika Tanga na kumwoa Mnyaturu alibadilisha dini kutoka ya jadi au kiristo kwenda Uislamu ama kutoka mpagani kwenda Uislamu. Tangu hapo majana yao ni mchanganyiko wa majina ya kiislamu na kikristo.

Jambo ambalo ulijui usipende kuropoka unajidhalilisha lini walibadili dini wewe kwa akili yako unadhani wazulu wote ni wakirsto hebu juu msome Mzee Ally Sykes anavyojielezea.
 
Wasifu wa marehemu ni muhimu sana hususan kipindi hiki alichofariki Ally Sykes kinaweza kutumika vema kusahihisha historia iliyopotoshwa?

Tukumbuke waombolezaji wengi hufuatilia kwa karibu wasifu wa marehemu yeyote kipindi cha maandalizi ya mazishi.

YERICKO NYERERE yuko sahihi kabisa kuionyesha historia anayoijua. Kufa kwa mtu hakutakiwi kuacha makovu ya historia ndio sababu wasifu wa marehemu husomwa mbele ya watu wengi ili kama kuna uongo utazungumzwa na kusahihishwa.

Innalilah Wainnalaihy Rajuun ( IWR) ....ALLY SYKES.
Huyo hapo chini anaezungumza ni Ally Sykes nakuomba msikize msome kwa makini sana:

''In 1953 the TAA leadership elected him (Nyerere) to stand against the incumbent President, my brother Abdulwahid. On 17 April 1953 election was held at Arnautoglo Hall between Abdulwahid and Nyerere. Abdulwahid lost the election by a very narrow margin. In June we announced our executive committee: J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer and I was Assistant Treasurer. Committee members were Dr. Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.[1] Nyerere became TAA President and Abdulwahid became his Vice-President.''

 
Jaman asanteni sikujua kama nilikuwa nje ya muda... RIP Mzee

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Inasikitisha namna vyombo vya habari vilivyoupuuza msiba huu, Hii ni ishara ya upofu uliogubika Historia ya Nchi yetu.
 
Mwaasisi wa uhuru wa Tanganyika, amefariki jana Nairobi Kenya. Atazikwa leo kwenye makaburi ya Kisutu. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amina.
 
Inasikitisha namna vyombo vya habari vilivyoupuuza msiba huu, Hii ni ishara ya upofu uliogubika Historia ya Nchi yetu.

Ilongailunga,

Ni kweli usemayo ndugu yangu.

Ukiangalia mifano ya wenzetu khasa nchi za Ulaya Magharibi,wanatunza na kuenzi mno Historia zao na Wazee/Mashujaa wao.

Kuna Vizee vya nchi hizo,baadhi yao walikua ni maaskari kwenye WWII. Lakini hata mistari ya mbele ya vita hawakufika,labda walikua ni wapishi, makarani au wengine walikua ni Makuwadi tu wa kuwatafutia Vibinti vya kujipumzishia wale walokua Majemedari wakubwa.

Lakini ukiona hizo hishma na taadhima wapewazo utastaajabu.

Sasa huyo Bwana Ali Sykes,alikua ni mmojawapo wa waasisi wa Chama kilicholeta Uhuru kwenye Taifa/Nchi. Tena si yeye tu peke yake,ni Family yao woote....yaani Baba yao na Wanae/watoto wake woote.

Afrika/Tanzania inasikitisha mno.

Shukran.

Cc;Ritz
 
Prior to publishing of my father’s biography, little was known about the founding fathers of the African Association...''

Kumbe founding Fathers walikuwa wengi. Hapo mwanzo nilidhani Cleast Sykes ( baba wa Ally sykes) alikuwa ndio baba pekee (mwanzilishi pekee) (peke yake) wa African Association (AA), hasa kutokana na simulizi za hapa JF.
 
Nafikiri tujikite kutoa Pole na kufuatilia kujua taratibu za msiba n.k. Haya ya uraia nk tuyaache.
Na huu ndiyo utamaduni wa Kiafrika, msiba ukiisha tuyajadili na mengine.

Ni msiba upi wa mfano ambao waombolezaji waliofika nyumbani kwa marehemu hawasemi lolote kuhusu maisha ya marehemu enzi za uhai wake? Watu hukaa kwenye makundi msibani wakidodosa na kudadisi wakiongea mazuri na mabaya ya marehemu kadri walivyomfahamu, hata kama kafa kwa ukimwi, msomi wa PHD au malaya wa kutupwa watasema angalau kwa sauti za chini chini. Hili ndilo linafanyika JF ingawa wote ni waombolezaji wa msiba huu mkuu lakini hilo haliondoi haki ya kujadili wasifu wa marehemu nje ya wanafamilia wa Sykes na marehemu wengine watakaofuata siku za usoni.
 
Nafikiri tujikite kutoa Pole na kufuatilia kujua taratibu za msiba n.k. Haya ya uraia nk tuyaache.
Na huu ndiyo utamaduni wa Kiafrika, msiba ukiisha tuyajadili na mengine.

Ni msiba upi wa mfano ambao waombolezaji waliofika nyumbani kwa marehemu hawasemi lolote kuhusu maisha ya marehemu enzi za uhai wake? Watu hukaa kwenye makundi msibani wakidodosa na kudadisi wakiongea mazuri na mabaya ya marehemu kadri walivyomfahamu, hata kama kafa kwa ukimwi, msomi wa PHD au malaya wa kutupwa watasema angalau kwa sauti za chini chini. Hili ndilo linafanyika JF ingawa wote ni waombolezaji wa msiba huu mkuu lakini hilo haliondoi haki ya kujadili wasifu wa marehemu nje ya wanafamilia wa Sykes na marehemu wengine watakaofuata siku za usoni.

Nani ana haki ya kukataza wengine kumjadili mwalimu Nyerere eti kwa sababu ameshakufa? Ni wangapi tunamtukana Nyerere kwa mabaya na mazuri ingawa kaishakufa?
 
Ilongailunga,

Ni kweli usemayo ndugu yangu.

Ukiangalia mifano ya wenzetu khasa nchi za Ulaya Magharibi,wanatunza na kuenzi mno Historia zao na Wazee/Mashujaa wao.

Kuna Vizee vya nchi hizo,baadhi yao walikua ni maaskari kwenye WWII. Lakini hata mistari ya mbele ya vita hawakufika,labda walikua ni wapishi, makarani au wengine walikua ni Makuwadi tu wa kuwatafutia Vibinti vya kujipumzishia wale walokua Majemedari wakubwa.

Lakini ukiona hizo hishma na taadhima wapewazo utastaajabu.

Sasa huyo Bwana Ali Sykes,alikua ni mmojawapo wa waasisi wa Chama kilicholeta Uhuru kwenye Taifa/Nchi. Tena si yeye tu peke yake,ni Family yao woote....yaani Baba yao na Wanae/watoto wake woote.

Afrika/Tanzania inasikitisha mno.

Shukran.

Cc;Ritz

Nchi haina uongozi kaka haya hawayapi kipaumbele wako busy kupitia bank statements za primefuels
 
...salute..! sijui kuna kitu gani baina yako na ritz..lkn nimeguswa mno na hii posting yako..that was Malcom X way..!....na ni kihivi tutaleta second liberation ya motherland..! kwa mara ingine tena..salute..!you, ritz and all of us, let almight guide and guard us in a way which is of less confrotation...!...stay blessed bro!

Watanzania ni watu wa ajabu kwenye sherehe na mazishi tuko pamoja lakini tukitoka hapo tunaanza kujifunza kubaguana. Angalia jinsi watu tulivyoungana katika msiba huu bila kujali dini wala itikadi za kisiasa lakini tukitoka hapo tunarudi kwenye ubaguzi wetu wa asili.
 
Ee m/mungu msamehe na umrehemu na makazi yake yawe peponi, ee m/mungu ikiwa marehemu ni mwema basi mzidishie katika wema wake na akiwa ni muovu amfanyie wepesi katika maovu yake.


siku hizi wanasema " MUNGU MSAMEHE NA UMREHEMU NA MAKAZI YAKE YAWE MAHALA ANAPOSITAHILI"
 
Back
Top Bottom