Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Ijue Historia ya muasisi wa TANU, Ally Kleist Sykes (1926 - 2013)

Wanaukumbi,

Mzee wetu muasisi wa TAA, TANU, Ally Kleist Sykes amefariki dunia Nairobi nchini Kenya, alipokwenda kwa ajili ya matibabu...

Innalilah Wainnalaihy Rajuun.

By ureni,
RIP mzee wetu sykes.
 
Baba yake Dully ni mtoto wa Abdulwahid Sykes, Abbas Sykes ni mdogo wake Ally na Abdul.


Abdulwahed Sykes ndie Baba mzazi wa Taifa hili...
Alikataa hadharani mchakato wa uandikaji wa Historia ya Taifa na akajitoa na kumuacha Dr Kleluu akifuata maagizo aliyokuwa akibebeshwa na Marehemu Nyerere.

Madhara ya kubambikiwa Historia ndio haya sasa tunayoyaona leo, Marehemu Ally anashindwa kupewa heshima kwa mchango alioutoa kwa Taifa hili.

Leo hii mtu kama Dossa Aziz Sheikh Suleiman Taqadir na Aziz Ally wanashindwa hata kupewa kumbukumbu ya jina ktk shule zetu za Kata....dah
 
Dully (Abduli), Kleist, Sykes. Inaonekana hii familia ilikuwa inapenda sana umagharibi. Anyway, tunatoa pole kwa kuwa uzi umeletwa hapa jamvini ila kimsingi hauna hadhi ya "Breaking News" wala sio issue nzito kihivyo kwa taifa.

Kafa kama maelfu ya watanganyika wengine wanavyokufa kila siku tena kwa kukosa huduma za msingi ambazo ni haki yao kikatiba. Kila kifo kinachotokea nchini kikiletwa hapa JF sijui itakuwaje. Sometimes, mambo ya familia yaishie huko huko kwenye familia na anakoabudu badala ya kuya-publicise bila sababu za msingi.

CC: Ritz, Yericko Nyerere


Utakuwa unamchanganyiko wa Homon wewe...
Nakusihi usije kwenda Mombasa, Lamu, Potwe, Malindi na sehemu za pwani ambapo Mzee Juma Mtongwe aliacha mashababi, utakuwa ftari.
 
Last edited by a moderator:
Anatarajiwa kurudishwa leo na kuzikwa leo hii msiba utakuwa kwake maeneo ya Mbezi

Wakati ibada ya mazishi inatarajiwa kuwa katika msikiti wa (Mpata) samahani kama nimekosea kuandika
 
Ni habari ya kusikitisha Mzee wetu Ally Sykes amefariki Nairobi Kenya alipokuwa akitibiwa.
Msiniulize no.1 wala zingine niwakina nani.
Mazishi leo mwili wake utakapo wasili kutoka huko Nairobi. Itakuwa nyumban kwake Mbezi.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Ally Sykes ndiyo alifungua kiwanda cha kutengeneza soda za coca cola Tanga mwanzoni mwa miaka ya 90?
 
Hii habari imeshaletwa hapa toka jana na tumeshatoa RIP za kutosha
 
Abdulwahed Sykes ndie Baba mzazi wa Taifa hili...
Alikataa hadharani mchakato wa uandikaji wa Historia ya Taifa na akajitoa na kumuacha Dr Kleluu akifuata maagizo aliyokuwa akibebeshwa na Marehemu Nyerere.

Madhara ya kubambikiwa Historia ndio haya sasa tunayoyaona leo, Marehemu Ally anashindwa kupewa heshima kwa mchango alioutoa kwa Taifa hili.

Leo hii mtu kama Dossa Aziz Sheikh Suleiman Taqadir na Aziz Ally wanashindwa hata kupewa kumbukumbu ya jina ktk shule zetu za Kata....dah

Huyu ana bahati chama kinakufa naye anakufa kuzikwa ndo yeye atatangulia. Rip ccm rip skykes
 
Ni habari ya kusikitisha Mzee wetu Ally Sykes amefariki Nairobi Kenya alipokuwa akitibiwa.
Msiniulize no.1 wala zingine niwakina nani.
Mazishi leo mwili wake utakapo wasili kutoka huko Nairobi. Itakuwa nyumban kwake Mbezi.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Kwa taarifa yako

Mwili wa marehemu uliwasili jana usiku, ukalazwa msikiti wa maamuri upanga dsm, utapelekewa nyumbani kwake mbezi saa 3 asb, na kurudishwa kuswaliwa msikiti wa kipata dsm, na baadae mazishi yafanyika makaburi ya kisutu dsm
 
Muasisi wa uhuru wa Tanganyika Mzee Ali Sykes amefariki jijini Nairobi. Maziko yatafanyika leo katika makaburi ya kisutu!

Wote ni waja wa Allah na marejeo ni kwake.
 
Mwenyezzi Mungu amrehemu na amghufuriye dhambi zake na kumlaza peponi "firdous"
 
Wasifu wa marehemu ni muhimu sana hususan kipindi hiki alichofariki Ally Sykes kinaweza kutumika vema kusahihisha historia iliyopotoshwa?

Tukumbuke waombolezaji wengi hufuatilia kwa karibu wasifu wa marehemu yeyote kipindi cha maandalizi ya mazishi.

YERICKO NYERERE yuko sahihi kabisa kuionyesha historia anayoijua. Kufa kwa mtu hakutakiwi kuacha makovu ya historia ndio sababu wasifu wa marehemu husomwa mbele ya watu wengi ili kama kuna uongo utazungumzwa na kusahihishwa.

Innalilah Wainnalaihy Rajuun ( IWR) ....ALLY SYKES.
 
Duh ndo uone mfumo ulivo, baada ya kupata serikali wala haishughuliki nae tena.
Allah amrehemu
 
Hawa wanapozidi kupungua ndio mwisho wa ccm unakuja kwa kasi zaidi
 
kipindi kirefu nilikuwa najiuliza chimbuko la Cleist Sykes wakati wao ni waislamu kumbe inaonekana babu yao wa kabila la wazulu alipofika Tanga na kumwoa Mnyaturu alibadilisha dini kutoka ya jadi au kiristo kwenda Uislamu ama kutoka mpagani kwenda Uislamu. Tangu hapo majana yao ni mchanganyiko wa majina ya kiislamu na kikristo.
 
Back
Top Bottom