Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Ilongailunga,
Ni kweli usemayo ndugu yangu.
Ukiangalia mifano ya wenzetu khasa nchi za Ulaya Magharibi,wanatunza na kuenzi mno Historia zao na Wazee/Mashujaa wao.
Kuna Vizee vya nchi hizo,baadhi yao walikua ni maaskari kwenye WWII. Lakini hata mistari ya mbele ya vita hawakufika,labda walikua ni wapishi, makarani au wengine walikua ni Makuwadi tu wa kuwatafutia Vibinti vya kujipumzishia wale walokua Majemedari wakubwa.
Lakini ukiona hizo hishma na taadhima wapewazo utastaajabu.
Sasa huyo Bwana Ali Sykes,alikua ni mmojawapo wa waasisi wa Chama kilicholeta Uhuru kwenye Taifa/Nchi. Tena si yeye tu peke yake,ni Family yao woote....yaani Baba yao na Wanae/watoto wake woote.
Afrika/Tanzania inasikitisha mno.
Shukran.
Cc;Ritz
Kuna mfuasi wa Chadema anaitwa dudus, anasema Ally Sykes hana mchango wowote nchini kama huo msiba ni wa familia yake siyo taifa.
Bahati mbaya Watanzania hawajuhi chochote kuhusu historia ya Tanganyika.
Inasikitisha sana...