Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

Mwalimu alitabiri mpinzani atakuja kutoka humo humo ndani !!
Yaliyopita yalikuwa ni mfano tu wa huyo mpinzani aliyetabiriwa !
Tena atakuwa hana papara na atasaidiwa na wao kufika pale kwenye kiti kikuu kisha mambo ndipo yatakapo badilika !!
Hakuna atakaye amini macho yake !!
Hii ni kama ndoto lakini ndivyo itakavyokua !! Ufunuo 🙏🙏🙏
Mkuu naheshimu maoni yako sana, ila achana na mitazamo ya Nyerere itakupotezea focus.
 
USOMI PEKEE AMBAO WAGALATIA MNAO NI WIZI NA KUPIGA MADEAL TUH KULIANGAMIZA TAIFA
Umejaa ujinga sana, kama hiyo kampuni imesajiliwa Brela nini kinachowashinda wewe na dadako kuwakamata wamiliki wake?

Nguvu zenu miaka yote zinaishia kulalamika tu, mpo na ulemavu kiutendaji, ndio maana taifa hudumaa mkiwa uongozini.
 
Mkuu fuatilia vizuri, hata hiyo DP World ni hawahawa watanzania wenzetu. Ndio maana unakuta rais wetu ana sign, lakini hakuna sign za mtawala wa Dubai kwenye huo mkataba. Yaleyale ya wamiliki wa Dowans tukaletewa muarabu kuwa ndio mmliki na hataki kupigwa picha!
Ndio maana nilishauliza hapo awali....

 
Umejaa ujinga sana, kama hiyo kampuni imesajiliwa Brela nini kinachowashinda wewe na dadako kuwakamata wamiliki wake?

Nguvu zenu miaka yote zinaishia kulalamika tu, mpo na ulemavu kiutendaji, ndio maana taifa hudumaa mkiwa uongozini.

LAZIMA TUSEME UKWELI,MMEJAA SANA SERIKALINI WAGALATIA NA KAZI YENU KUBWA NI WIZI NA UFISADI,MNALIANGAMIZA SANA HILI TAIFA
 
Back
Top Bottom