Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

UTASKIA SISI WASOMII SISI WASOMII,KWA USOMI GANI WALIONAO ZAIDI ZAIDI YA WIZI NA KULITIA TAIFA HASARA TUH HAWA WAGALATIA
Wewe ni jinger kabisa. JK ni mgalatia? Analamba mgao wa million 400 wa IPTL kila siku kwa mda wa miaka 20 ijayo. RIZ1 ni mgalati? Home shopping ni centre ni mgalatia? Huyu dogo wa makontena kariakoo ni mgalatia. Mapapa wauza ngada ni wagalatia? Halafu yote hayo yana sijdah hayakosi kuswali mara tano kila siku.

NYAU WEWE
 
Wewe ni jinger kabisa. JK ni mgalatia? Analamba mgao wa million 400 wa IPTL kila siku kwa mda wa miaka 20 ijayo. RIZ1 ni mgalati? Home shopping ni centre ni mgalatia? Huyu dogo wa makontena kariakoo ni mgalatia. Mapapa wauza ngada ni wagalatia? Halafu yote hayo yana sijdah hayakosi kuswali mara tano kila siku.

NYAU WEWE
Sumu inakutambaa...wezi wavaa suti
 
Unajua kareti? Wakija
Wewe ni jinger kabisa. JK ni mgalatia? Analamba mgao wa million 400 wa IPTL kila siku kwa mda wa miaka 20 ijayo. RIZ1 ni mgalati? Home shopping ni centre ni mgalatia? Huyu dogo wa makontena kariakoo ni mgalatia. Mapapa wauza ngada ni wagalatia? Halafu yote hayo yana sijdah hayakosi kuswali mara tano kila siku.

NYAU WEWE
 
Wewe ni jinger kabisa. JK ni mgalatia? Analamba mgao wa million 400 wa IPTL kila siku kwa mda wa miaka 20 ijayo. RIZ1 ni mgalati? Home shopping ni centre ni mgalatia? Huyu dogo wa makontena kariakoo ni mgalatia. Mapapa wauza ngada ni wagalatia? Halafu yote hayo yana sijdah hayakosi kuswali mara tano kila siku.

NYAU WEWE
Una ushahidi jakaya kulamba mgao huo!?..rizwani kafisidi nini!?..home shopping ni mfanyabiashara hayupo serikalini,nyingi wezi,kwanza pesa za hazina mnapeleka kwenye biashara za afya za kanisa,bandarini mkaweka mipango kanisa lipitishe vitu bila ushuru,nyinyi ni janga kwa taifa,mkitawala njaa,shida,ubabe wa kihayawani
 
𝗥𝗘𝗩𝗘𝗔𝗟𝗘𝗗: 𝗛𝗼𝘄 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗴𝗻𝗲𝗱 𝗮 𝗰𝗿𝗮𝘇𝘆 𝗱𝗲𝗮𝗹 𝘄𝗶𝘁𝗵 𝗮 𝗺𝘆𝘀𝘁𝗲𝗿𝘆 𝗰𝗼𝗺𝗽𝗮𝗻𝘆 𝘁𝗼 𝗼𝗽𝗲𝗿𝗮𝘁𝗲 𝘁𝗵𝗲 𝗰𝗼𝘂𝗻𝘁𝗿𝘆'𝘀 𝗺𝗮𝗶𝗻 𝘁𝗼𝘂𝗿𝗶𝘀𝘁 𝗮𝗶𝗿𝗽𝗼𝗿𝘁
Hii issue niliisikiliza wakati wa mjadala wa Bunge Jumamosi wiki liyopita. Niliona kama Mh. Spika alikuwa haelewi kilichokuwa kinaelezwa na alikuwa yuko sahihi 100%.
 
Huyo shetani kwa wazungu hayupo?
Siyo Kwa wazungu tu. Yuko duniani kote na kila nchi. Waliofanikiwa kupata ufahamu huu, walishamdhibiti na hawasumbui kama afanyavyo kwenye baadhi ya mataifa walio bado gizani, Tanzania ikiwemo!
Mijitu myeusi ni hasara tupu.
Umesema wewe. Na hasara hiyo uliyojitamkia mwenyewe na iwe kwako peke yako.

Sisi wengine tuna uelewa na ufahamu na ndiyo maana nimekufunulia siri hii
Po pote pale duniani mambo ni yale yale tu - ubinafsi, uvivu, ufisadi wa kinyama, ushirikina...and the list goes on and on.
Haya ndiyo matokeo (products) ya uwepo wa nguvu hiyo inayotawala nchi au taifa fulani
Halafu badala ya kutafuta suluhisho mtambuka unakuja na ngonjera za mapepo na shetani.
Suluhisho ndilo hilo. Kama huamini kuwa hilo ndilo suluhisho, basi wewe chukua bunduki kapambane na hao wanaofanya maamuzi tusiyoyapenda na tunayoyalalamikia uone kibano utakachokipata na bado utaendelea kutawaliwa na wao na kukufanya watakavyo..!
Huko nchi za Scandinavia hakuna mapepo? Walioendelea na kujenga transparent societies wakaushinda ufisadi huko shetani hayupo na mapepo hayafiki? Kwamba hawa wanaochota haya matrilioni siyo wao bali ni shetani na mapepo? Jizazi 😳😳😳
Nisome huko☝️☝️☝️ juu nimeeleza kwa ufasaha na Kwa lugha rahisi.

All in all, ninachokiona kwako ni "ujinga wa kiroho" ndio unaokusumbua.

Unahitaji shule kubwa ili uelewe uhusiano uliopo kati ya ulimwengu wa roho (spiritual realm) na ulimwengu wa mwili (physical world)..

Kwa kifupi tu ni kuwa, ukishadhibitiwa ktk ulimwengu wa roho kuwa vile utakavyo, hakuna utakachofanya ktk ulimwengu wa mwili kikawa..!

Fanya utafiti ktk nchi zilizokwishapiga hatua za maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Utagundua kuwa walishaigundua siri hii miaka mingi iliyopita na kuifanyia kazi...
Kama ni hivi basi hakuna matumaini kwa mtu mweusi aisee - iwe ni Afrika, visiwa vya Caribbean, Australia, Haiti na kwingineko!
Matumaini yapo..

Kubali tu na kisha tii kanuni na taratibu za ki - Mungu na kufanya sawasawa na anavyoelekeza...
Tupambaneni na shetani na mapepo ili kutokomeza ufisadi !!!
Absolutely, big YES..!

Unaonekana kama umeandika na kutamka kimzaha lakini nikuhakikishie kuwa, hili ndilo jibu..

Ufisadi ni tendo na ni tabia ya kishetani. Na Kila afanyaye hilo, basi huyo ni wa shetani.

Na kwa hiyo kama wewe au baba yako au mama yako au nduguyo au rafikio yeyote anafanya ufisadi, basi tambueni kuwa nyie nyote baba yenu ni shetani..!!

Bila shaka umenielewa sasa, au siyo Mr Shimba ya Buyenze??
 
Eehe, wamekufanya nini?

By the way, mpaka hapa hiki ndicho pekee unachoweza kukisema baada ya kujibu hoja zako?

Acha maneno ya kwenye khanga wewe Shimba ya Buyenze. Show that you're a true lion from Buyenze...

I need something digestable that will make me think and aknowledge you, pls......!
Mimi ni mjinga wa kiroho mkuu. Nitasema nini sasa kwa mlokole aliyeiva katika ulimwengu wa kiroho na Neno + utakatifu kama wewe?

Hata mjadala utafanyikaje wakati hakuna mahali pa kukutania panapotuunganisha (common ground)? Ulimwengu wa kiroho...ulimwengu wa kiroho! Ukiuliza huko ulimwengu wa kiroho ni wapi? Panafikikaje kwa mtu wa kawaida kama mimi? Pakoje? Majibu yake sasa kama siyo kutukanwa na kubezwa na wakazi wa huko utashangaa. Hata sijui ni kwa nini huwa mnapenda kupaleta huku kwenye ulimwengu wa kawaida kama huko kwenu ulimwengu wa roho ni mahali pa siri na wanaofika huko ni watakatifu wachache na wateule (walokole!) 😬😬😬

Kwa heshima tu tuufunge huu mjadala mtumishi mwema wa Bwana. Mara moja moja ukipata muda usisite kutuombea sisi wajinga wa kiroho ili nasi siku moja tuwe watakatifu kama wewe & Co.

Bila shaka tutakutana mbinguni mtumishi. Tuombeane 🙏🏿😁😁🖐🖐🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Back
Top Bottom