Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

๐—ฅ๐—˜๐—ฉ๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—˜๐——: ๐—›๐—ผ๐˜„ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ป๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ฟ๐—ฎ๐˜‡๐˜† ๐—ฑ๐—ฒ๐—ฎ๐—น ๐˜„๐—ถ๐˜๐—ต ๐—ฎ ๐—บ๐˜†๐˜€๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐˜† ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐˜† ๐˜๐—ผ ๐—ผ๐—ฝ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐˜๐—ต๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐˜‚๐—ป๐˜๐—ฟ๐˜†'๐˜€ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐—ป ๐˜๐—ผ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐˜ ๐—ฎ๐—ถ๐—ฟ๐—ฝ๐—ผ๐—ฟ๐˜

The government announced today that Kilimanjaro International Airport (KIA) will finally be handed over to the state-run
Tunashukuru Kwa hizi taarifa. Lakini sijaziona kwenye magazeti yetu.
 
Wachaga ni wezi sana, hapo humkosi mbowe na mtei
Nadhani ipo haja ya michango yenye udini na ukabila kukatazwa humu JF. Hii ndiyo inayoturudisha nyuma. Chiembe Jitahidi kuwa mstaarabu zaidi
 
Kumbe hii mikataba inayofanana na IGA ya DP-WORLD ilianza enzi ya Mkapa? Na Watanzania walikuwa wamelala muingereza huyo alipomilikishwa air space hiyo ambayo ni natural wealth yao. Na bila kelele za Watanzania wa sasa, huyu muingereza hewa alikuwa apewe kimya kimya miaka mingine 25 kuendelea kumiliki air space ya Kilimanjaro ya radius ya 240 kilometers.
Unakumbuka scandal ya Radar?? Je inaweza unganishwa hapa au la?
 
Kuna mambo hata ukisoma unaishia kutukana tu matusi yasiyoeleweka.
Kuna watu waliuziana mgodi wa makaa ya mawe Kiwira kwa bei ya mchele tu
 
Kweli miaka 25 hakuna ata wa kushtuka??halafu hakuna ata atakaewahibishwa kuchukua mapato for 25 years.. .afu unasema tuna serikali sijui kazi iendelee....hamna kitu
Kinachoshangaza TRA walikuwa wapi? Wafanya biashara wadogo wakiweka ka meza tu barazani kuuza nyanya anakamuliwa mpaka anafunga biashara, na TAKUKURU?
 
Kuna mambo hata ukisoma unaishia kutukana tu matusi yasiyoeleweka.
Kuna watu waliuziana mgodi wa makaa ya mawe Kiwira kwa bei ya mchele tu
Hii naikumbuka kiasi, kama sikosei kampuni waliyoiandika imenunua mgodi ilikuwa na anuani ya Ikulu.
 
Maofisi ya umma yamejaa madigrii tele yanayovunda uozo wa wizi kuanzia kwenye nafasi za kisiasa mpaka utendaji.Hii KADCO ni muendelezo ule ule wa WIZI KABAMBE nchini kama EPA,ESCROW,MEREMETA,IPTL,MWANANCHI GOLD,NDEGE MKWECHE YA RAIS,RADA MKWECHE,ECONOMIC STIMULUS PACKAGE n.k. Ni wizi wa kigenge.Na matukio haya naziona ishara kwamba kuna genge hatari nchi hii lina nguvu kubwa mno na lisilogusika.Ni genge mfano wa Mafia na Yakuza.
Hukumsikia mwenye udhubutu akikiri makaburi mengine yanamtisha?
 
Mkapa alikua hodari

๐—ฅ๐—˜๐—ฉ๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—˜๐——: ๐—›๐—ผ๐˜„ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ป๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ฟ๐—ฎ๐˜‡๐˜† ๐—ฑ๐—ฒ๐—ฎ๐—น ๐˜„๐—ถ๐˜๐—ต ๐—ฎ ๐—บ๐˜†๐˜€๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐˜† ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐˜† ๐˜๐—ผ ๐—ผ๐—ฝ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐˜๐—ต๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐˜‚๐—ป๐˜๐—ฟ๐˜†'๐˜€ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐—ป ๐˜๐—ผ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐˜ ๐—ฎ๐—ถ๐—ฟ๐—ฝ๐—ผ๐—ฟ๐˜

The government announced today that Kilimanjaro International Airport (KIA) will finally be handed over to the state-run Tanzania Airports Authority (TAA) tomorrow, but the real beneficiaries of KADCO, the company that operated the airport for Makame Mbarawa, announced in Parliament that KIA will now officially be handed over to TAA on 10 November 2023
Hizo share za South Africa Ni akina Mkapa, barozi mpungwe etc.wote hawako kwenye system ndo maana wanarundisha serikalini. Kuna watyu wametafuna pesa kwenye nchi hii, cha ajabu nao uzeeka na kufa. Akina mpungwe Sasa hivi hawezi maliza hata laki moja kwa kula, mzee sana, hata kutembea Ni shida sana.

Binadamu hatujui tuanchotafuta hapa duniani, uwe na majumba, mahotel ,pesa kwenye account zote Ni upepo tu. Watu wangapi wamekufa kwa kukosa hizo pesa kwenye matibabu, shule, maji safi, madawa etc. JPM angeweza kuvunja lakini kwa vile alikuwa kijana wa Mkapa akapotezea.
 
Kuna mzungu ashawahi kunukuliwa akisema, Tanzania ni sehemu unayoweza ingia na 100$, lakini baada ya mwaka ukawa bilionea...
Hilo li wazi kabisa, wapo wageni wameingia kwetu bila chochote na sasa ni ma Billionea wanaofanhamika dunia nzima. Hasa kipindi cha uchaguzi wanakuwa watu muhimu sana.
 
Mimi ndiyo maana nitapinga uwepo wa ccm maisha yangu yote. Hiki ni kikundi hatari sana kwenye mustakabari wa maendeleo ya kweli, ya Taifa letu.
Haina tofauti na yale magenge ya kina Pablo Escobar kule Amerika ya kusini
 
๐—ฅ๐—˜๐—ฉ๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—˜๐——: ๐—›๐—ผ๐˜„ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ป๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ฟ๐—ฎ๐˜‡๐˜† ๐—ฑ๐—ฒ๐—ฎ๐—น ๐˜„๐—ถ๐˜๐—ต ๐—ฎ ๐—บ๐˜†๐˜€๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐˜† ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ป๐˜† ๐˜๐—ผ ๐—ผ๐—ฝ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐˜๐—ต๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐˜‚๐—ป๐˜๐—ฟ๐˜†'๐˜€ ๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐—ป ๐˜๐—ผ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐˜ ๐—ฎ๐—ถ๐—ฟ๐—ฝ๐—ผ๐—ฟ๐˜

The government announced today that Kilimanjaro International Airport (KIA) will finally be handed over to the state-run
Haya maufisadi ya mkaa na Akina mramba
 
According to maelezo ya AG, serikali ilisha nunua hisa zote za kadco, ila sasa wanajiuma uma kuipeleks TAA
Kama KADCo hajawahi lipa fees yote serikali iligawa hisa Bure na ilnunua hisa hewa
Yaani unanunua hiza Kwa mwizi hi ni hatari??
 
Unakumbuka scandal ya Radar?? Je inaweza unganishwa hapa au la?
Hapana. Hiyo scandal ya radar ni rushwa (grand corruption) kati ya waliotumwa na serikali ya Tanzania kufanya hayo manunuzi na kampuni iliyokuwa inauza hizo radar na kupiga 100% badala ya 10% tuliyoizoea.

Haya ya KADCO, DP-WORLD na ANAEBEN kumilikishwa kwa natural wealth and resources za nchi yetu. KADCO walimilikishwa Kilimanjaro Airport na airspace ya radius ya kilomita 240 kuanzia KIA. DP-WORLD walitaka wamilikishwe bandari (maritime spaces) zetu zote za nchi yetu. ANAEBEN walikuwa wamemilikishwa natural resources zetu zote za huko Liganga na Mchuchuma.
 
Back
Top Bottom