Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,268
- 3,429
Ivi juzi nimeona wameanza kutoa hudumaLa kairo hotel nilisikia imefungwa,Ni kweli mtoa mada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi juzi nimeona wameanza kutoa hudumaLa kairo hotel nilisikia imefungwa,Ni kweli mtoa mada?
🤣🤣🤣 Yaani unamtoa knok outSio lazima .... Kila mtu abaki kwao.
Busweru huku isha kamilika ni bonge la kiwanja mwanza hakuna, labda malaikaKweli Hali ilikua ngumu,nikikumbuka la kairo miaka Ile ilikua poa Sana.
Villa nasikia CCM wamempiga figisu hapo kwny eneo lao Ila Sina uhakika,nilisikia huyo jamaa wa Villa kuna sehemu anajenga club hapo Mwz Ila sikumbuki Ni sehemu gani.
Tupo pamoja mkuu tunajuzana.Asante mkuu, umetufumbua macho wengi. Wengi tulijuwa Kirumba ni uwanja wa mpira, na sio mtaa! Kwa hiyo picha tuliyokuwa tunapata mtu akisema nipo Kirumba basi tunajuwa yupo uwanja wa mpira, sawa na mtu akisema nipo taifa, tunajuwa yupo uwanja wa mpira wa taifa (Mkapa au Uhuru). Kumbe uwanja wa mpira wa Kirumba (CCM) uliukuta mtaa wa Kirumba upo tayari, na wala sio mtaa ulipewa jina la uwanja. Asante kwa ufafanuzi.
Mkuu viwanja gani vipya vizuri kwa sasa mwanza.?Hapana kwa sasa kuna viwanja vipya ndio watu huenda kujirusha.
Kwa sasa Uwanja hauko Kirumba bali kata ya Kitangiri.Asante mkuu, umetufumbua macho wengi. Wengi tulijuwa Kirumba ni uwanja wa mpira, na sio mtaa! Kwa hiyo picha tuliyokuwa tunapata mtu akisema nipo Kirumba basi tunajuwa yupo uwanja wa mpira, sawa na mtu akisema nipo taifa, tunajuwa yupo uwanja wa mpira wa taifa (Mkapa au Uhuru). Kumbe uwanja wa mpira wa Kirumba (CCM) uliukuta mtaa wa Kirumba upo tayari, na wala sio mtaa ulipewa jina la uwanja. Asante kwa ufafanuzi.
Ishafungwaa,nahc ni figisu za ccm maana pango lilikuwa laoVipi VillaPark bado ina shine na La Cairo hotel?
🤣🤣🤣 Ila usiku hawachezi mpira hao ni wanariadha wanao zunguka uwanja.Mkuu umesahau na hili,kirumba huwa mchana ina uwanja wa kucheza mpira wa miguu miwili,ilq usiku upo uwanja wa kucheza mpira wa mguu mmoja,ila utofaut ni kwamba mpira wenyew uchezwa kuzungula nje ya uwanja
Kirumba uwanja umekuta jina hilo,zamani kirumba kulikua na waarabu wengi sana hiyo mitaaAsante mkuu, umetufumbua macho wengi. Wengi tulijuwa Kirumba ni uwanja wa mpira, na sio mtaa! Kwa hiyo picha tuliyokuwa tunapata mtu akisema nipo Kirumba basi tunajuwa yupo uwanja wa mpira, sawa na mtu akisema nipo taifa, tunajuwa yupo uwanja wa mpira wa taifa (Mkapa au Uhuru). Kumbe uwanja wa mpira wa Kirumba (CCM) uliukuta mtaa wa Kirumba upo tayari, na wala sio mtaa ulipewa jina la uwanja. Asante kwa ufafanuzi.
Yani buswelu inakiwanja kma malaika,daaah labda hiyo buswelu ya kenya[emoji16]Busweru huku isha kamilika ni bonge la kiwanja mwanza hakuna, labda malaika
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app