tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ok hiyo shule ya kitambo pamoja na m=MakongoroMwenge karibu na Kanisa la KKKT. Hapo ni kata ya nyamanoro kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok hiyo shule ya kitambo pamoja na m=MakongoroMwenge karibu na Kanisa la KKKT. Hapo ni kata ya nyamanoro kwa sasa.
Pale itakua mwanzo wa isamilo kma sikoseiNajua ipo furahisha, kabla haijapelekwa kata ya nyamanoro ilikuwa kata gani
Zote nazijua mimi nimesoma miaka hiyo nyanza,mwenge n makongoro ziko jirani,halafu mjini kati ilikua na shule 4 yani mirongo,nyanza,nyamagana,bugarika enzi hizoLabda wewe mgeni Mwanza, na hiyo zamani unayosema sijui ni zamani ipi, shule kongwe hilo eneo ni Kirumba, Kitangiri, Mwenge na Makongoro, watu tumesoma hapo 80's useme zamani haikuwepo
Huku ndiko Tanzania mkuuSijui kwanini naonaga mikoa ya Kanda ya ziwa iko kushoto. Sijawahi kwenda huko na sitawahi.
Kimpaka wa kata Mwenge ipo kata ya NyamanoroLabda wewe mgeni Mwanza, na hiyo zamani unayosema sijui ni zamani ipi, shule kongwe hilo eneo ni Kirumba, Kitangiri, Mwenge na Makongoro, watu tumesoma hapo 80's useme zamani haikuwepo
Umeisahau nyanza my schoolLabda wewe mgeni Mwanza, na hiyo zamani unayosema sijui ni zamani ipi, shule kongwe hilo eneo ni Kirumba, Kitangiri, Mwenge na Makongoro, watu tumesoma hapo 80's useme zamani haikuwepo
Ndio maana bichwa lako limejaa makamasi.Sijui kwanini naonaga mikoa ya Kanda ya ziwa iko kushoto. Sijawahi kwenda huko na sitawahi.
Zote nazijua mimi nimesoma miaka hiyo nyanza,mwenge n makongoro ziko jirani,halafu mjini kati ilikua na shule 4 yani mirongo,nyanza,nyamagana,bugarika enzi hizo
Umenikumbusha akina Makundi, Cash, Maila, Rajabu Mzambia, Michael, Baunsa Simba.Mtaa wa Khalfan kwa mateja akina fazo
Nyakabungo ni ile jirani na mirongo,ambayo imejengwa miaka ya themanini mwishoniNyakabungo unaiachache. Maana enzi za mkoloni ilikuwa middle schoo wakati Milongo ni lower school
Miaka gani kamanda?Umenikumbusha akina Makundi, Cash, Maila, Rajabu Mzambia, Michael, Baunsa Simba.
2010-2013Miaka gani kamanda?
Watoto wa juzi wavuta bangi. Nilidhani miaka ya 1990-20002010-2013
Huko walikuwepo akina Abbas unampata?Watoto wa juzi wavuta bangi. Nilidhani miaka ya 1990-2000
Hamad Skito?Huko walikuwepo akina Abbas unampata?
Yes, na Rapha mpiga debe wa KitangiriHamad Skito?
Siyo kweli Nyakabungo ni ya miaka mingiNyakabungo ni ile jirani na mirongo,ambayo imejengwa miaka ya themanini mwishoni
Nimeongelea eneo la kirumba......Umeisahau nyanza my school