tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mwenge ndio ipi hiyo?mana zamani zilikua shule mbili tu kirumba na kitangiriKwahiyo Mwenge shule ya msingi iko sehemu gani kwa pale ilipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenge ndio ipi hiyo?mana zamani zilikua shule mbili tu kirumba na kitangiriKwahiyo Mwenge shule ya msingi iko sehemu gani kwa pale ilipo
Diamod bar, na las vegas + rock city mall pale kuna kaskyNilikua nasubiria uielezee na profeshen kongwe pande hizo ila naona umegoma ,kwa sisi ambao hatujafika huko tukisikia tu kirumba kitu cha kwanza kinstujia ccm kirumba au wauza UCCI
Hah!bac na wenyew wasajiliwe ili zakayo mtoza ushuru aongezee kwenye kapu🤣🤣🤣 Ila usiku hawachezi mpira hao ni wanariadha wanao zunguka uwanja.
Meter 100
Shule ya Msingi Mwenge ipo eneo la Furahisha darajani.Kwahiyo Mwenge shule ya msingi iko sehemu gani kwa pale ilipo
Mwembe Sangara,Vuka,MbuganiUnaielzeaje Kirumba bila kutaja Mtaa wa Khalfan na mtaa wa Ngara?
Kumbe bikra maria amefika mwanza duhKirumba kwa pembeni ndio kulikuwa na nyayo za Bikira maria alitokea pale mitaa ya Ghana saa hivi wamejenga Mall pale...kirumba kama Kirumba,kama hujacheza mpira furahisha au baiko hata magomeni basi hujacheza mpira ukanda huu wa kirumba
inaitwaje?Busweru huku isha kamilika ni bonge la kiwanja mwanza hakuna, labda malaika
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ni kukosa ubunifu tuNahapo kunamkwanja wakienda kukusanya.
Aisee Safi sana mkuu,Lema amepambana Sana.Busweru huku isha kamilika ni bonge la kiwanja mwanza hakuna, labda malaika
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Rock bottom pale chini Gold Crest sijui Kama bado ipo?Na kulikua na kiwanja kingine pale Mwz hotel nimesahau jina lake.Diamod bar, na las vegas + rock city mall pale kuna kasky
Buswelu npo hapa maria center nagonga mvinyo muda huuAisee Safi sana mkuu,Lema amepambana Sana.
Piga vitu mkuu,Nina Kama miaka 5 sijafika Mwz mkuu.Ila napakubali kinyama.Buswelu npo hapa maria center nagonga mvinyo muda huu
Mwenge karibu na Kanisa la KKKT. Hapo ni kata ya nyamanoro kwa sasa.Mwenge ndio ipi hiyo?mana zamani zilikua shule mbili tu kirumba na kitangiri
Labda wewe mgeni Mwanza, na hiyo zamani unayosema sijui ni zamani ipi, shule kongwe hilo eneo ni Kirumba, Kitangiri, Mwenge na Makongoro, watu tumesoma hapo 80's useme zamani haikuwepoMwenge ndio ipi hiyo?mana zamani zilikua shule mbili tu kirumba na kitangiri
Najua ipo furahisha, kabla haijapelekwa kata ya nyamanoro ilikuwa kata ganiShule ya Msingi Mwenge ipo eneo la Furahisha darajani.
La ligaMaeneo ya Busweru