Ijue Kirumba jijini Mwanza kwa maandishi

Zote nazijua mimi nimesoma miaka hiyo nyanza,mwenge n makongoro ziko jirani,halafu mjini kati ilikua na shule 4 yani mirongo,nyanza,nyamagana,bugarika enzi hizo
Umesoma Mwenge mwaka gani?
 
Nimesoma Kitangiri pale msingi from 90 to 96,, nakumbuka na "vidudu" nilipigia pale parokiani Kirumba kwenye lile ghorofa pembeni,, mitaa yetu ya misele ilikua ni Mwaloni, Furahisha, Magomeni, Optima,, Home Kitangiri Madukani bila kusahau jmosi kufua ziwani Mihama au Bwiru
 
Hongera kwa kupakumbuka vyema Nyumbani.
 
Asante Bwana Kasomi,umeeleza vizuri sana.Niko hapa nakula sato na sangara kwa raha zangu.
 
Kigoto,,
kambi maarufu ya polisi ambako walikuwa wanapelekwa majambazi sugu kwa ajili ya mateso makali hadi wataje wenzao ama walikoficha siraha zao,,
 
Sijui kwanini naonaga mikoa ya Kanda ya ziwa iko kushoto. Sijawahi kwenda huko na sitawahi.
Niliwahi kuapa kwamba sinto kaa niishi mikoa ya Singida, Dodoma na Tabora.
Leo nimejikuta naishi Dodoma na Tabora, tena nimejenga na viduku kabisa....😜
 
Optima,,
Moja ya Nightclub kali za enzi hizo mjini,, sambamba na Mugnum na Vijana Social
 
Kigoto,,
kambi maarufu ya polisi ambako walikuwa wanapelekwa majambazi sugu kwa ajili ya mateso makali hadi wataje wenzao ama walikoficha siraha zao,,
Eneo hatari sana
 
Niliwahi kuapa kwamba sinto kaa niishi mikoa ya Singida, Dodoma na Tabora.
Leo nimejikuta naishi Dodoma na Tabora, tena nimejenga na viduku kabisa....😜
Maisha ni popote penye kustahili
 
Wakati unasoma, Unamkumbuka Mwalimu Chagati ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…