Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Ndio uhuri unaopiganiwa na west. Au unadhani hatujui?
Lengo la west ni kutaka kuharibu kizazi na kupunguza idadi ya watu pamoja na uwezo wa kufikiri; baada ya hapo itakuwa ni kutawaliwa, kwa sababu watu watakuwa ni mabogus.
Ndio maana kipindi ukoloni unaingia, walitanguliza watu wa dini ili kutuandaa kisaikolojia katika kutawalia.
Kwa hiyo kila kinachofanyika ni sehemu ya mkakati katika kutimiza lengo la unyonyaji kwa miaka ijayo.
Kwa sababu ukishakuwa shoga, IQ inashuka unakuwa bogus na jitu la kucheka cheka ovyo; mwisho wa siku ni kutawaliwa.​
 
Kwa ninayoyaona huko North Korea, naamini Afrika angekuwa mwanafunzi wa shule ni mwendo wa kumtia bakora mpaka aelewe kwa lazima.
images (1).jpeg
 
Lengo la west ni kutaka kuharibu kizazi na kupunguza idadi ya watu pamoja na uwezo wa kufikiri; baada ya hapo itakuwa ni kutawaliwa, kwa sababu watu watakuwa ni mabogus.
Ndio maana kipindi ukoloni unaingia, walitanguliza watu wa dini ili kutuandaa kisaikolojia katika kutawalia.
Kwa hiyo kila kinachofanyika ni sehemu ya mkakati katika kutimiza lengo la unyonyaji kwa miaka ijayo.
Kwa sababu ukishakuwa shoga, IQ inashuka unakuwa bogus na jitu la kucheka cheka ovyo; mwisho wa siku ni kutawaliwa.​
BRICS yote inakubaliana na ushoga
 
BRICS yote inakubaliana na ushoga
Lengo lao ni kupunguza vizazi na kutengeneza mazezeta, ili wenye akili nzuri ndio wasimamie uchumi wa dunia; ndio maana mashoga wengi ni mazezeta.
 
Kwahiyo unataka uhuru wa kufanya ushoga?
Kwa nini kila ukitajwa uhuru ushoga ndio jambo la kwanza linalokujia kichwani kwako??
Je pia unafahamu BRICS yote ushoga unaruhusiwa.
 
Kwa nini kila ukitajwa uhuru ushoga ndio jambo la kwanza linalokujia kichwani kwako??
Je pia unafahamu BRICS yote ushoga unaruhusiwa.
Ushonga ndio uhuru wenu ninyi.

Leta proof kuwa Russia ushoga unaruhusiwa. Au hujui kuwa Russia ni member wa BRICS?
 
Back
Top Bottom