Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #341
Yes, I am WHY?Nikuulize swali huenda likawa nje ya mada ..are u Masonic?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, I am WHY?Nikuulize swali huenda likawa nje ya mada ..are u Masonic?
How if you compare with you country (Kunya Land). Slums everywhere.Very poor compared to their neighbors South Korea
Still very poorHow if you compare with you country (Kunya Land). Slums everywhere.
Prove it. Mama Ngina amekupoteza.Still very poor
I only asked to know something I had doubts about itYes, I am WHY?
Mh!I only asked to know something I had doubts about it
Na ukitaka cha wote basi kubali wale jamaa wa haki za binadamu waje wachukue vyenuHii nchi ni Mali binafsi ya ukoo wa panki
Uhuru wa kufanya ushoga sio uhuru huo ni ushetwani.Uhuru wa watu ndio kila kitu kuliko majengo
Kuishi miaka 100 katika hii dunia ni ngumu sana, kwa hiyo kunyimana uhuru wa kuishi hauna maana, hatuondoki na majengo wala miundo mbinuUhuru wa kufanya ushoga sio uhuru huo ni ushetwani.
Hii ndio football stadium kubwa duniani katika capac
Watu waliokaa kwenye Siti za juu kabisa wanaomuona mchezaji uwanjani kama njiti ya kiberiti,kujenga uwanja wenye capacity hiyo ni kutafuta sifa za kijinga,siyo kwamba wanaojenga viwanja vyenye capacity ya watazamaji 60,000 hawana uwezo.
Are you sure uko huru au insanity. Maana balance the moral and choice and nature.Uhuru wa watu ndio kila kitu kuliko majengo
Kwahiyo unataka uhuru wa kufanya ushoga?Kuishi miaka 100 katika hii dunia ni ngumu sana, kwa hiyo kunyimana uhuru wa kuishi hauna maana, hatuondoki na majengo wala miundo mbinu
Kwa hiyo kwa tafsiri yako maana ya uhuru ni ushoga?Kwahiyo unataka uhuru wa kufanya ushoga?
Uhuru upo ila ukianza kugusa maslai ya watu lazima uhuru wako upungue, kwa sababu anayepata maslai hayuko tayari kupoteza hayo maslai.Are you sure uko huru au insanity. Maana balance the moral and choice and nature.
Ndio uhuri unaopiganiwa na west. Au unadhani hatujui?Kwa hiyo kwa tafsiri yako maana ya uhuru ni ushoga?
Uhuru unaoulilia hapa Tanzania, upo na uhuru wa kufanya ninUhuru upo ila ukianza kugusa maslai ya watu lazima uhuru wako upungue, kwa sababu anayepata maslai hayuko tayari kupoteza hayo maslai.