Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndio uhuri unaopiganiwa na west. Au unadhani hatujui?
Popote pale duniani, uki challenge uongozi hutoweza ukasema uko huru muda wowoteUhuru unaoulilia hapa Tanzania, upo na uhuru wa kufanya nin
So NK wanashida gani na freedom unayoidai?Popote pale duniani, uki challenge uongozi hutoweza ukasema uko huru muda wowote
Kuna makatazo mengi sana, na adhabu yake ni kifoSo NK wanashida gani na freedom unayoidai?
Kwahiyo marekani hawana makatazo na hawaui watu? Unajua Guantanamo?Kuna makatazo mengi sana, na adhabu yake ni kifo
Korea wamezidiKwahiyo marekani hawana makatazo na hawaui watu? Unajua Guantanamo?
Haya tupatie statistics USA imeua wangapi na NK imeua wangapi.Korea wamezidi
Angalia wazawa wanaokufa kwa kukiuka amri za viongozi waoHaya tupatie statistics USA imeua wangapi na NK imeua wangapi.
Usiache kuongelea unayama wa USA Vietnam, Iraq na Libya.
OK hapo sawa. Ni kukubali kuliwa asije akacharukaUhuru upo ila ukianza kugusa maslai ya watu lazima uhuru wako upungue, kwa sababu anayepata maslai hayuko tayari kupoteza hayo maslai.
Kama Red Indians sio?Angalia wazawa wanaokufa kwa kukiuka amri za viongozi wao
BRICS yote inakubaliana na ushogaLengo la west ni kutaka kuharibu kizazi na kupunguza idadi ya watu pamoja na uwezo wa kufikiri; baada ya hapo itakuwa ni kutawaliwa, kwa sababu watu watakuwa ni mabogus.
Ndio maana kipindi ukoloni unaingia, walitanguliza watu wa dini ili kutuandaa kisaikolojia katika kutawalia.
Kwa hiyo kila kinachofanyika ni sehemu ya mkakati katika kutimiza lengo la unyonyaji kwa miaka ijayo.
Kwa sababu ukishakuwa shoga, IQ inashuka unakuwa bogus na jitu la kucheka cheka ovyo; mwisho wa siku ni kutawaliwa.
Lengo lao ni kupunguza vizazi na kutengeneza mazezeta, ili wenye akili nzuri ndio wasimamie uchumi wa dunia; ndio maana mashoga wengi ni mazezeta.BRICS yote inakubaliana na ushoga
Mzee hueleweki.Lengo lao ni kupunguza vizazi na kutengeneza mazezeta, ili wenye akili nzuri ndio wasimamie uchumi wa dunia; ndio maana mashoga wengi ni mazezeta.
Kwa nini kila ukitajwa uhuru ushoga ndio jambo la kwanza linalokujia kichwani kwako??Kwahiyo unataka uhuru wa kufanya ushoga?
Ushonga ndio uhuru wenu ninyi.Kwa nini kila ukitajwa uhuru ushoga ndio jambo la kwanza linalokujia kichwani kwako??
Je pia unafahamu BRICS yote ushoga unaruhusiwa.
Ushahidi gani kwa mfano?Ushonga ndio uhuru wenu ninyi.
Leta proof kuwa Russia ushoga unaruhusiwa. Au hujui kuwa Russia ni member wa BRICS?
Hakika ushoga wenu unakula bongo zenu. Sasa wewe mtoto wa watu; huoni comments zako hizi ni za kishoga?Ushahidi gani kwa mfano?
Hueleweki dogo.Hakika ushoga wenu unakula bongo zenu. Sasa wewe mtoto wa watu; huoni comments zako hizi ni za kishoga?
Haya sawa. Msalimie BidenHueleweki dogo.