Wewe jamaa ujue hata wewe kama sio chuo usingekuja mjini maana huku ulikuwa Huna ndugu........jokes🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii nzuri sana, mambo ya kuiga iga west ndio yanapelekea mambo ya upinde, safi sana Kiduku natamani Tanzania iige mwenendo huo. Unatoka zaKo Tabor unakuja Dar huna shughulo yoyote ya kufanya, baki kwenu ushiriki katika kuijenga Tabora yenu.
Rudi ukavae majani kama babu zako na uache kutumia smart phone maana aijatoka kwa mnyaaaaziiHawa ndugu wanafanya hivi kulinda tamaduni zao walizorithishwa.Na ndiomaana hutokuja sikia chochote kutoka kwao zaidi ya propaganda.
Shida ni wewe ulie ziacha tamaduni zako na kuzifua za wazungu kwa kisingizio cha Globalisation.
Na ndomaana asaivi mwanaume kuolewa kawaida ila si kwa KIDUKU
Pyongyang ndio makao makuu ya Geogreyeo toka kitambo sana haowezi kuwa ya kishamba kama mpiji magohe
Sema tuu marekani wana plopaganda
Westerners gani hao wanaotengeneza hizo propaganda? Mbona hata hizi taarifa na picha zipo kwenye medias na mitandao ya hao hao westerners?Wako vizuri ,westerners wanajaribu sana kutusadikisha kuwa hawa jama wana njaa kali,kwakuwa tu dunia imewatenga,lakini kiuhalisia inaonekana kuwa maisha yanaendelea na wako mbali sana.Kiufupi ni kuwa maisha bila ya kubanana haya maendeleo tutayasikia tu kwa wenzetu...
Tulia dawa itaingia taratibu. Usitikisike sindano itavunjika. Ndio kwanzaaa nimeanza.Hawa jamaa nchi nzima ina eneo moja tu Pyongyang ?
Sawa Bi. khadijaTulia dawa itaingia taratibu. Usitikisike sindano itavunjika. Ndio kwanzaaa nimeanza.
Mkuu sio Hanyang?Pyongyang ndio makao makuu ya Geogreyeo toka kitambo sana haowezi kuwa ya kishamba kama mpiji magohe
Sema tuu marekani wana plopaganda
Haaaaaa truee ila ni upande wa NK
Hiyo ni sababubu ya msingi, kuna hawa wanaokuja njini wakaishia kuuza mihogo kwenye mabeseni na kuokota makopo.Wewe jamaa ujue hata wewe kama sio chuo usingekuja mjini maana huku ulikuwa Huna ndugu........jokes🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣