Ijue Miji, Majiji na Miundombinu ya China - Je, Ulaya na Marekani imefunikwa?

Mji gani ulaya umejengwa miaka 500. Utaje. Tangu Marekani apate uhuru mpaka leo hii ni miaka 247. Marekani alipata uhuru July 4, 1776
Umeshindwa kuielewesha akili yako kutokana na hiyo miaka 500?.
 
Mkuu, ukiongelea nchi kuwa founded/kupata Uhuru basi hata China ni ya 1912. Sidhani kama umemjibu sahihi, maana hata Tanzania historia yake haianzii 1963, bali ni mbali zaidi hapo.
Mkuu uwezo wa vijana kuchambua tuliondoka nao sisi wazee, usimpe ujuzi.
Kuna Rumi, Ugiriki, Visigoths(German), Zote hizi zilikuwepo enzi za 500 AD, ila ukitafuta lini zilikua found utaona ni miaka ya hivi karibuni.
 
Kwa hiyo tatizo sio udogo wala ukubwa ila tatizo ni nini sasa niambie ?
 
Those are isolated places. It is like visiting museums located in different parts of the city. In the Europe most of the cities are intact and preseved. It is like visiting them in those old days. I am talking about skyline.
China was a whole civilization sio museums tuu or some isolated places kama unavyosema, ni ya zamani kuliko hizi Western countries kwa maelfu ya miaka
 

Danyang–Kunshan Grand Bridge​

The Danyang–Kunshan Grand Bridge is a 164.8-kilometre-long viaduct on the Beijing–Shanghai High-Speed Railway. It is the longest bridge in the world.



 
Naunga mkono hoja πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ na ndo nchi yenye wanawake watamu sana
 
Mji uliojengwa miaka 500 huko huwezi linganisha na mji uliojengwa jana, bado old city utakuwa best sababu angalia muda na wakati ndipo utaona why this.

Miji mingi ya Uchina ninya kale kweli isipokuwa miongo ya karibu waliamua kubomoa miji ya kale (hutong) isipokuwa historical sites na kuanza kujenga modern cities ili wakimbizane na USA
 
Naunga mkono hoja πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ na ndo nchi yenye wanawake watamu sana
Wana highest sex drive, ndiyo inayopelekea watu kuwa turned on crazily na kuwaona watamu.
Wakiamua kukukamata hata ukiwakata kucha, au ukiwachana nywele au hata ukiwa ukiwashika mkono uwasalimia ukiwafuta vumbi kwenye viatu watatoa mguno wa mahaba na kujilegeza hadi ufepo kidogo
 
Kabisa nilikula moja mwaka juzi paka nilijilamba watamu sana alafu wanamvuto sana wako fresh sio wabinafsi wakipenda wanapenda kweli
 
Nilikaa sana wuhan kipindi cha corona ndo nikarudi zangu bongo
 
Miji mingi ya Uchina ninya kale kweli isipokuwa miongo ya karibu waliamua kubomoa miji ya kale (hutong) isipokuwa historical sites na kuanza kujenga modern cities ili wakimbizane na USA
Yeah, hiyo ya pichani mingi ni down towns or business centres.
Mfano tu ule mji wa Luzhou, umejengeka vyema sana, lakini mitaa yake ni ya kawaida tu kama hiiπŸ‘‡πŸ‘‡




Wakat busine centresPosta ya imejengwa hiviπŸ‘‡πŸ‘‡

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…