Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #61
Yh hasa hawa wa Far East AsiaWatu wa East Asians wana akili sana hao wachina, wajapan na wakorea nawakubali
MILELE AMINA.TUMSIFU YESU KRISTU
Mkuu, ukiongelea nchi kuwa founded/kupata Uhuru basi hata China ni ya 1912. Sidhani kama umemjibu sahihi TODAYS , maana hata Tanzania historia yake haianzii 1963, bali ni mbali zaidi hapo.Mji gani ulaya umejengwa miaka 500. Utaje. Tangu Marekani apate uhuru mpaka leo hii ni miaka 247. Marekani alipata uhuru July 4, 1776
Mzee China ilikuwepo since Qin dynasty 221 BC huko. Wakati USA ilikuwa haijulikani mzee.Mkuu, ukiongelea nchi kuwa founded/kupata Uhuru basi hata China ni ya 1912. Sidhani kama umemjibu sahihi TODAYS , maana hata Tanzania historia yake haianzii 1963, bali ni mbali zaidi hapo.
Kuna Rumi, Ugiriki, Visigoths(German), Zote hizi zilikuwepo enzi za 500 AD, ila ukitafuta lini zilikua found utaona ni miaka ya hivi karibuni.
Pro-west mkishapigwa kwenye mshono mnaanzaga habari za kuzamia..Wenye ndoto za kuzamia West ni waafrica na waarabu tu hapo kwenye wachina umedanganyaNimefika china na umoja wa ulaya
Ukuniambia nichague wapi pa kuishi mara mia mbili nitachagua western
Pmj na magorofa hayo wachina bado wanandoto za kuzamia ulaya na USA
Hao jamaa ni hatari aisee foundation ya culture yao ilikuwa bora sana maana namna wanavyoishi na kupiga kazi🙌 nimewahi kuwa karibu na hao watatu( Wachina, wajapan na wakorea ) kwa nyakati tofauti tofauti kuna vitu vingi sana walinionesha kwa vitendo tofauti yetu na wao.Yh hasa hawa wa Far East Asia
Asante sana.Majina mengine yamejirudia mfano
37=63
44=88
Pia majina mengine yanafanana hatari mfano
36 na 85
10 na 100
Kwa hiyo kabla ya Uhuru nchi nyingine hazikuwahi kuwepo? Kwamba hapakuwepo na jamii zozote zile?Mzee China ilikuwepo since Qin dynasty 221 BC huko. Wakati USA ilikuwa haijulikani mzee.
China wapo na utamaduni wao miaka elfu na elfu.
Wewe unaona sisi watu weusi tupo sawa kabisa kichwani kama hao watu wengine ?Huko juu nimeona NEGATIVE comments
Kitu gani kina wa'drive mpaka mnapenda kuongelea jambo in negative way. ?
Kabla ya Uhuru hakukwepo na USA but Qin Empire ilikuwepo zaidi MillenniumKwa hiyo kabla ya Uhuru nchi nyingine hazikuwahi kuwepo? Kwamba hapakuwepo na jamii zozote zile?
Kuna watu hawapendi maendeleo ya China wanaichukia China na Wachina kwa ujumlaHuko juu nimeona NEGATIVE comments
Kitu gani kina wa'drive mpaka mnapenda kuongelea jambo in negative way. ?