Ijue Miji, Majiji na Miundombinu ya China - Je, Ulaya na Marekani imefunikwa?

Ijue Miji, Majiji na Miundombinu ya China - Je, Ulaya na Marekani imefunikwa?

Zhongshan​


Zhongshan is a prefecture-level city in the south of the Pearl River Delta in Guangdong province, China. As of the 2020 census, the whole city with 4,418,060 inhabitants is now part of the Guangzhou–Shenzhen conurbation with 65,565,622 inhabitants. The city-core subdistricts used to be called Shiqi or Shekki.
1695111461032.png

1695111486627.png

1695111551350.png
 
Huko juu nimeona NEGATIVE comments

Kitu gani kina wa'drive mpaka mnapenda kuongelea jambo in negative way. ?
Ladha ya mijadala ni kutanua wigo wa kujadili ili kuogezeana maarifa, sasa inapokuja mtu anadadisi au anaongezea kitu ambacho hakimpendezi mwingine kwa kuwa yeye hataki iwe vile ilishakuwa ndiyo shida huanzia hapo.
Mfano, binafsi sikumbishia mleta mada, nikaenda mbele zaidi kuwa siyo China tu, hata Afrika ya sasa inajengeka kuliko maeneo mengi ya Ulaya na Marekani, ila kabla ya ku diss miondo mbinu ya wale, wengine tujiulize, je, SERA na Sheria zinasemaje?

Pia tuelewe, kuna wale walishajenga na hata sasa haiwapi shida kwanini waanze kujenga tena badala ya kufanya mengine?
Kingine kuna nchi zenyewe zinataka kusambaza watu katika maeneo mengi zaidi ya nchi zao kwa kuwa yapo empty, wakati nchi nyingine watu wake wanafurika mijini, hapo lazima ujenge maghorofa marefu kwa ajili ya makaazi na ofisi. Kuna factors nyingi tu. Pia kuna cultural issue.
Unaweza ukaleta hoja kama hii, lakini mwingine akaikataa kwa sababu inakwamishabkile alichokusudia. Hapo tunakuwa tunaufinya mjadala.
 

Ürümqi​

Ürümqi, formerly known as Dihua, is the capital of the Xinjiang Uyghur Autonomous Region in the far northwest of the People's Republic of China. Ürümqi developed its reputation as a leading cultural and commercial center during the Qing dynasty in the 19th century

1695111651603.png


1695111754351.png


1695111805469.png
 
Ladha ya mijadala ni kutanua wigo wa kujadili ili kuogezeana maarifa, sasa inapokuja mtu anadadisi au anaongezea kitu ambacho hakimpendezi mwingine kwa kuwa yeye hataki iwe vile ilishakuwa ndiyo shida huanzia hapo.
Mfano, binafsi sikumbishia mleta mada, nikaenda mbele zaidi kuwa siyo China tu, hata Afrika ya sasa inajengeka kuliko maeneo mengi ya Ulaya na Marekani, ila kabla ya ku diss miondo mbinu ya wale, wengine tujiulize, je, SERA na Sheria zinasemaje?

Pia tuelewe, kuna wale walishajenga na hata sasa haiwapi shida kwanini waanze kujenga tena badala ya kufanya mengine?
Kingine kuna nchi zenyewe zinataka kusambaza watu katika maeneo mengi zaidi ya nchi zao kwa kuwa yapo empty, wakati nchi nyingine watu wake wanafurika mijini, hapo lazima ujenge maghorofa marefu kwa ajili ya makaazi na ofisi. Kuna factors nyingi tu. Pia kuna cultural issue.
Unaweza ukaleta hoja kama hii, lakini mwingine akaikataa kwa sababu inakwamishabkile alichokusudia. Hapo tunakuwa tunaufinya mjadala.
Mfano Paris umechorwa ule mji🙌
 

Lanzhou​

Lanzhou is the capital city of northwest China's Gansu province. The Waterwheel Expo Garden and Yellow River Mother Sculpture are on the south bank of the Yellow River. The Gansu Provincial Museum displays artifacts from the area’s Silk Road past. Wuquanshan Park has a relaxed vibe and ancient temples. Across the Zhongshan Bridge, the White Pagoda sits atop a mountain in Baitashan Park.

1695111991151.png


1695112041542.png


1695112121005.png
 
Ladha ya mijadala ni kutanua wigo wa kujadili ili kuogezeana maarifa, sasa inapokuja mtu anadadisi au anaongezea kitu ambacho hakimpendezi mwingine kwa kuwa yeye hataki iwe vile ilishakuwa ndiyo shida huanzia hapo.
Mfano, binafsi sikumbishia mleta mada, nikaenda mbele zaidi kuwa siyo China tu, hata Afrika ya sasa inajengeka kuliko maeneo mengi ya Ulaya na Marekani, ila kabla ya ku diss miondo mbinu ya wale, wengine tujiulize, je, SERA na Sheria zinasemaje?

Pia tuelewe, kuna wale walishajenga na hata sasa haiwapi shida kwanini waanze kujenga tena badala ya kufanya mengine?
Kingine kuna nchi zenyewe zinataka kusambaza watu katika maeneo mengi zaidi ya nchi zao kwa kuwa yapo empty, wakati nchi nyingine watu wake wanafurika mijini, hapo lazima ujenge maghorofa marefu kwa ajili ya makaazi na ofisi. Kuna factors nyingi tu. Pia kuna cultural issue.
Unaweza ukaleta hoja kama hii, lakini mwingine akaikataa kwa sababu inakwamishabkile alichokusudia. Hapo tunakuwa tunaufinya mjadala.
Tupe mfano nchi gani inasambaza watu wake.
 

Guiyang​

Guiyang, historically rendered as Kweiyang, is the capital of Guizhou province of the People's Republic of China. It is located in the center of the province, situated on the east of the Yunnan–Guizhou Plateau, and on the north bank of the Nanming River, a branch of the Wu River.

1695112365299.png


1695112382573.png


1695112399163.png
 
Kabla ya Uhuru hakukwepo na USA but Qin Empire ilikuwepo zaidi Millennium
Kwanza uelewe kuwa Qin empire haikuwa all over China ilikua just eastern part of it ikajaribu wakati fulani kujitanua hadi central of China ikadhibitiwa. Na kuna maeneo mengine ya China yameondoka na kuwa nchi nyingine kama vile Mongolia, pia kuna yaliyochukuliwa na nchi nyingine kama vile Siberia ambayo imechukuliwa na Russia na kuna maeneo ambayo pia ikiyachukua kutoka nchi nyingine ma kuna ambayo hadi sasa China ina mzozo nayo kama vile Tibet na Taiwan na kuna maeneo ambayo China unayavutania na nchi nyingine kama huu mgogoro wake na India.
Kingine, hapa tunaongelea China, wewe unaongelea Qin empire lakini hautaki kuiongelea USA before independence wala Tanzania kabla ya Union wala Tanganyika kabla ya Independence.
 
Sawa, mkweli wewe
Bajeti zao za ujenzi wa miundombinu haziifikii bajeti ya China

Wanajenga ila sio kwa level za China kwa sababu ya ufinyu wa bajeti zao

Ujenzi unaofanywa China unataka uwe na kibunda mkuu

Kumbuka jiji moja la China linaweza kuwa na miundombinu kama ya nchi moja pale Ulaya na hapo wana majiji zaidi ya 90 ambayo ni ya kisasa.

Just imagine!
 

Shenyang​

Shenyang is the capital and largest city of China’s northeast Liaoning Province. It was the site of the 17th-century Manchu capital Mukden, and the imposing Mukden Palace (Shenyang Imperial Palace) is a blend of Manchurian and Tibetan architectural styles. Mausoleums of Qing dynasty emperors can be found at Zhaoling Tomb, amid the pine forests and lakes of Beiling Park, and at Fuling Tomb in the city’s east.

1695112956282.png


1695113034769.png


1695113064634.png
 
Kwanza uelewe kuwa Qin empire haikuwa all over China ilikua just eastern part of it ikajaribu wakati fulani kujitanua hadi central of China ikadhubitiwa. Na kuna maeneo mengine ya China yameondoka na kuwa nchi nyingine kama vile Mongolia, pia kuna yaliyochukuliwa na nchi nyingine kama vile Siberia ambayo imechukuliwa na Russia na kuna maeneo ambayo pia ikiyachukua kutoka nchi nyingine ma kuna ambayo hadi sasa China ina mzozo nayo kama vile Tibet na Taiwan na kuna maeneo ambayo China unayavutania na nchi nyingine kama huu mgogoro wake na India.
Kingine, hapa tunaongelea China, wewe unaongelea Qin empire lakini hautaki kuiongelea USA before independence wala Tanzania kabla ya Union wala Tanganyika kabla ya Independence.
Qin empire ndiyo iliyo set culture za china. Vipi USA nani aliset culture na ni mwaka gani?
 
Kwanza uelewe kuwa Qin empire haikuwa all over China ilikua just eastern part of it ikajaribu wakati fulani kujitanua hadi central of China ikadhubitiwa. Na kuna maeneo mengine ya China yameondoka na kuwa nchi nyingine kama vile Mongolia, pia kuna yaliyochukuliwa na nchi nyingine kama vile Siberia ambayo imechukuliwa na Russia na kuna maeneo ambayo pia ikiyachukua kutoka nchi nyingine ma kuna ambayo hadi sasa China ina mzozo nayo kama vile Tibet na Taiwan na kuna maeneo ambayo China unayavutania na nchi nyingine kama huu mgogoro wake na India.
Kingine, hapa tunaongelea China, wewe unaongelea Qin empire lakini hautaki kuiongelea USA before independence wala Tanzania kabla ya Union wala Tanganyika kabla ya Independence.
Namna dunia ilivyo aihiitaji watu wanyonge kabisa ukiwa mnyonge unatandikwa unaporwa mali yako hii ipo toka kale mpaka sasa na sioni ikikoma.

Qing dynasty ilivyokuwa dhaifu wajapan na Europeans wakawatandika na kuwatawala na kupora mali nayo Republic Of China ilivyokuwa dhaifu outer Mongolia ikajimegua kutoka China. Republic Of China bado wanaidai kwa chini chini sasa hawa People's Republic Of China wao ndio hawataki yawatokee yaliyo watokea wenzao.

Hongkong kilikuwa kinaenda kunuka bila kudhibitiwa, Xinjiang napo, Tibet napo, Taiwan haiwezi chomoka. Baadhi ya maeneo ya Siberia yalirudishwa kwa hao wakomunisti baada ya wao kutandikana na wasovieti miaka ya mwisho ya 60 mpaka uhusiano wao na Usovieti kuyumba na China kuimarisha uhusiano na US miaka ya 70

Hawa jamaa wanachekesha sana waliamua kupigana marungu na India kisa border
2531.jpg
 

Shenyang​

Shenyang is the capital and largest city of China’s northeast Liaoning Province. It was the site of the 17th-century Manchu capital Mukden, and the imposing Mukden Palace (Shenyang Imperial Palace) is a blend of Manchurian and Tibetan architectural styles. Mausoleums of Qing dynasty emperors can be found at Zhaoling Tomb, amid the pine forests and lakes of Beiling Park, and at Fuling Tomb in the city’s east.

View attachment 2754472

View attachment 2754474

View attachment 2754475
Hili neno Shenyang mbona linasound kama Shinyanga😁
 
Back
Top Bottom