Ijue Miji, Majiji na Miundombinu ya China - Je, Ulaya na Marekani imefunikwa?

Ijue Miji, Majiji na Miundombinu ya China - Je, Ulaya na Marekani imefunikwa?

Jilin City​

Jilin City, alternately romanized as Kirin, is the second-largest city and former capital of Jilin province in northeast China. As of the 2020 census, 3,623,713 people resided within its administrative area of 27,166.37 square kilometres and 1,895,865 in its built-up area consisting of four urban districts.

1695119605463.png


1695119657418.png


1695119709265.png


1695119728882.png
 

Shantou​

Shantou, alternately romanized as Swatow and sometimes known as Santow, is a prefecture-level city on the eastern coast of Guangdong, China, with a total population of 5,502,031 as of the 2020 census and an administrative area of 2,248.39 square kilometres.

1695120424315.png


1695120438042.png


1695120452305.png


1695120515653.png
 
Scroll up angalia ni kauli yako ipi nimeiquote

Ulisema mataifa ya West walishajenga sasa hivi haiwapi hata shida

Hauoni kauli yako inapingana na ya Biden?
Ndiyo maana nikakwambie mijadala hii kwako ni overwhelming. Ulimaliza kusoma nilichoandika? Au uliishia hapo kwenye "walishajenga?"
 
Ndiyo maana nikakwambie mijadala hii kwako ni overwhelming. Ulimaliza kusoma nilichoandika? Au uliishia hapo kwenye "walishajenga?"
Mkuu ningekuwa sikufahamu sawa

Ila wewe ni mtu ambaye unachukia maendeleo ya China kitambo sana hapa jf

Sijaona hoja yoyote ya maana kwenye maelezo yako
 

Jinjiang​

Jinjiang is a county-level city of Quanzhou City, Fujian Province, China. It is located in the southeastern part of the province (Minnan)

1695120807597.png


1695120876607.png


1695120911945.png


1695120952754.png
 

Putian​

Putian or Putien, also known as Puyang and Puxian, historically known as Xinghua or Hing Hwa, is a prefecture-level city in eastern Fujian province, China. It borders Fuzhou City to the north, Quanzhou City to the south, and the Taiwan Strait's Xinghai Bay to the east.

1695121083876.png


1695121144593.png


1695121171384.png
 

Xuzhou​

Xuzhou, also known as Pengcheng in ancient times, is a major city in northwestern Jiangsu province, China. The city, with a recorded population of 9,083,790 at the 2020 census, is a national complex transport hub and an important gateway city in East China.

1695121304455.png


1695121405813.png


1695121459578.png


1695121511741.png
 
Mkuu ningekuwa sikufahamu sawa

Ila wewe ni mtu ambaye unachukia maendeleo ya China kitambo sana hapa jf

Sijaona hoja yoyote ya maana kwenye maelezo yako
Ona unapoenda, kumbe una comment siyo kwa kuelewa kilichoandikwa? Kumbe umemkariri mchangiaji?
Ndiyo maana umeacha kabisa barabara na kwenda mtaroni.
Kingine, wala usijidanganye kuwa nachukia maendeleo ya nchi fulani, mimi hizo akili mbovu na tabia za chuki huwa sina sina, zaidi hata katika maisha halisi huwa najifunza kutoka kwa walionizidi na niliowazidi.
Huwa sina mambo ya chuki, ila nina msimamo katika nikijuacho, na nisichokitaka. Hayayo yote watu wa aina yako huwa hamyaoni, uwezo wenu unaishia kuona chuki tu.
Yaani mimi nimchukie China?? Very funny, au kusema US Submarine ya China imetengenezwa kwa msaada mkubwa wa US na technology yao ndiyo kuichukia China?
Kukosoa ubora wa bidhaa za China kwa Af4ika au aina ya mikataba yake ambayo inampa nguvu ya kuichukua nchi ndiyo kuichukia?
Basi kama ndivy tufanye upo sahihi kuendelea kukariri kuwa mimi nina chuki.
 

Baotou​

Baotou is the largest city by urban population in Inner Mongolia, China. Governed as a prefecture-level city, as of the 2020 census, its built-up area made up of its 5 urban districts is home to 2,261,089 people with a total population of 2,709,378 accounting for counties under its jurisdiction.

1695121653316.png


1695121758998.png


1695121816425.png
 
China wamejitahidi sana na wanazidi kutengeneza namna bora ya kuishi.
Ukiingia kwenye hiyo Tower ya Shangai kwenye floor ya 49 kama sijakosea kuna display ya Mji wa Shanghai itakavyoonekana baada ya miaka 50 ijayo...inashangaza kidogo wenzetu wanawezaje na sisi tunashindwa nini.
Mimi si laana ila ngozi nyeusi ni laana 😁

Cc Umughaka.
 

Ordos City​

Ordos, also known as Ih Ju, is one of the twelve major subdivisions of Inner Mongolia, China. It lies within the Ordos Plateau of the Yellow River. Although mainly rural, Ordos is administered as a prefecture-level city.

1695122000007.png


1695122017750.png


1695122050679.png


1695122072368.png
 
Back
Top Bottom