Ijue mipaka ya kimamlaka kwenye video ya mzozo wa mwanajeshi na trafiki wa usalama barabarani inayosambaa mitandaoni

Ijue mipaka ya kimamlaka kwenye video ya mzozo wa mwanajeshi na trafiki wa usalama barabarani inayosambaa mitandaoni

sasa huyo mzee kama aliona anachelewa si angeshuka apande gari lingine!!na magari ya jwtz yapo,ukipanda daladala au bus basi wewe ni abiria kama wengine,uwe mtulivu.

aibu nyingine mtu anazitafuta kwa nguvu,maana sasa hapo abiria wanashangaa kwanini constable anamuwakia ssgt wa jeshi tena!!!na sijui aliishije humo garini hata baada ya kuachiwa.
BUSARA ilikosekana! TRAFIKI naye kisheria hatakiwi kuogopa hasa akiwa yuko sahihi kisheria!
 
Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273

Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)

Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"

Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?

Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!

NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!

Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!

Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)

Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)

Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!

Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?

Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!

Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!

ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!

Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!

Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!

Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!

Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Kwanini askari wote "Haloo" wao huitamka "Aroo"🤣🤣
 
unawezampa hata mpa hadhi ya kamishna wa polisi,sawa tu ukitaka.

ila akijichanganya ndio haya ya kufokewa na contable wa polisi kama mtoto,maana hajui mipaka yake.
WENGI Hawaijui sheria ya usalama! TRAFIKI wakiamua wanaweza kamata na kusweka lupango Mwanajeshi akivunja sheria ya usalama barabarani
 
Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273

Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)

Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"

Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?

Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!

NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!

Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!

Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)

Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)

Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!

Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?

Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!

Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!

ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!

Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!

Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!

Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!

Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
kwani kwenye hiyo basi mwanajeshi alilipa nauli?
 
kwani kwenye hiyo basi mwanajeshi alilipa nauli?
Sheria inampa free afisa wa jeshi ya kutokulipa akiwa kavaa sare, lakini kwa hiari yake anaweza kulipa nauli!
Lakini hawatakiwi kupanda zaidi ya maafisa wanne kwa pamoja, lasivyo watakaozidi wanatakiwa kulipia nauli
 
Kimedani imekaaje?

Mwanajeshi ana cheo cha Staff Sergeant. Huku polisi akionekana private (Constable).

Hata kama angekuwa na cheo sawa na mwenzake, polisi angelipaswa kumheshimu Mjeda kwa minajili ya kimedani.

Mjeda kakosea kumtolea mwenzake lugha inayokwaza akiwa katika uniform.

Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
tatizo wanajeshi wanatupunja awalipi nauli kwenye daladala tena nauli yenyewe 500 tu mroco rugaro
 
Kimedani imekaaje?

Mwanajeshi ana cheo cha Staff Sergeant. Huku polisi akionekana private (Constable).

Hata kama angekuwa na cheo sawa na mwenzake, polisi angelipaswa kumheshimu Mjeda kwa minajili ya kimedani.

Mjeda kakosea kumtolea mwenzake lugha inayokwaza akiwa katika uniform.

Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
Nchi haifanyaki kazi hivyo mzee
 
sasa huyo mzee kama aliona anachelewa si angeshuka apande gari lingine!!na magari ya jwtz yapo,ukipanda daladala au bus basi wewe ni abiria kama wengine,uwe mtulivu.

aibu nyingine mtu anazitafuta kwa nguvu,maana sasa hapo abiria wanashangaa kwanini constable anamuwakia ssgt wa jeshi tena!!!na sijui aliishije humo garini hata baada ya kuachiwa.
kwanza awalipagi nauli hawa makongo kawa sh 500 lakini hawalipi kabisa na wako tayali kumpiga konda kisa 500 tu
 
Kanuni ni kila mmoja aheshimu mamlaka ya mwenzake kwa namna hiyo Kwakuw hatujaon mwanzo mwisho kifup ni busura imekosekan kwakuw kanuni na sheria za utumish zinahitaji nidhamu kwa kila mamlaka has inapokuw katk eneo lake la kazi.
"Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
 
Mwamba kaelezea vzr hapo juu
Kimedani imekaaje?

Mwanajeshi ana cheo cha Staff Sergeant. Huku polisi akionekana private (Constable).

Hata kama angekuwa na cheo sawa na mwenzake, polisi angelipaswa kumheshimu Mjeda kwa minajili ya kimedani.

Mjeda kakosea kumtolea mwenzake lugha inayokwaza akiwa katika uniform.

Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
 
Nazan kiufup moja moja bila kujua chanzo nazan huyu mwanajeshi atakuw amekosea kwa kumuingiria Trafik akiw katk majukumu yake ya kikaz ni kinyum na sheria

Na kama hvyo hatua stahik zichukuliw kat yao za kikaz na za kimahakam ili kuw na uwajibkaj
 
umeona anauliza,utanifanya nini??akimaanisha sasa mstari wa staha kashauvuka hata kumkwida anaweza kama ataropoka upuuzi tena.
wapo tarafiki wako vizuli niliona siku 1 mjeda anaendesha noh kapakia abiria kinyme na kawaida akapigwa mkono akagomo tarafiki akamfuata na pikipki akamkuta huyo mjeda akajitia ujuaji wake mboda mjeda aliminywa tukaingilia kati mjeda akasema nipelekeni kwa mkuu wa wilaya tukawaamua huyo mjeda alikuwa anatoka chita wapo polisi wako vizuli usipime ndugu tena yule tarafiki hana makuu na mtu akionya mala ya kwanza ya 2 faini
 
Back
Top Bottom