Ijue mipaka ya kimamlaka kwenye video ya mzozo wa mwanajeshi na trafiki wa usalama barabarani inayosambaa mitandaoni

Ijue mipaka ya kimamlaka kwenye video ya mzozo wa mwanajeshi na trafiki wa usalama barabarani inayosambaa mitandaoni

Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273

Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)

Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"

Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?

Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!

NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!

Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!

Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)

Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)

Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!

Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?

Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!

Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!

ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!

Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!

Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!

Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!

Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Huo unaweza kuwa unaa,video yenyewe haieleweki,hapo inawezekana mpandisha video akalazimishwa cheo,na pia za kwake zikitafutwa huenda kawahi gerezani mwenye hata kabla ya kupanda kizimbani,kwani huenda hapo kero imetokana kutaka kulazimisha mlungula hata kuwakera abiria hata akajitokeza wa kuwatetea🤔
 
wapo tarafiki wako vizuli niliona siku 1 mjeda anaendesha noh kapakia abiria kinyme na kawaida akapigwa mkono akagomo tarafiki akamfuata na pikipki akamkuta huyo mjeda akajitia ujuaji wake mboda mjeda aliminywa tukaingilia kati mjeda akasema nipelekeni kwa mkuu wa wilaya tukawaamua huyo mjeda alikuwa anatoka chita wapo polisi wako vizuli usipime ndugu tena yule tarafiki hana makuu na mtu akionya mala ya kwanza ya 2 faini

sasa swala la kusimama tu na kushuka kuongea na askari inachukua dkk ngapi[emoji38][emoji38].

na ukiona askari kelele na pilika nyingi ujue hajiamini.
 
Katika maisha naamini tu kitu kimoja muhimu kuwa Kila kazi ni mhimu kwa Kila anayeitenda pia heshima huwa ni kitu mhimu sana katka kujali utu,haki na uwajibikaji,hapo Ndo utajua kuwa ata Kama una cheo lazima tu uzingatie haya kwa haya maisha ya duniani,sitaki kuukumu yoyote apo
 
Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273

Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)

Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"

Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?

Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!

NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!

Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!

Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)

Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)

Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!

Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?

Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!

Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!

ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!

Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!

Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!

Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!

Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Nikuulize, wewe ni mwanajeshi? Au mwanasheria, why unaongea vitu vua assumption. Wanajeshi always akili zao zipo kwenye unyayo huwa hawawapendi police, video imeanza kwa kuonyesha trafik akituknwa na trafic ana busara kubwa sana akaanza kutafuta ushahidi kwa kumuuliza mjeshi mm ni paka? Alivo mjinga akarudia tena kusema trafik ni paka. So mwanajeshi ndo mwenye kosa na ningekuwa mm bus zima lingeenda central na mjeshi tungebaki naye wenzake waje kumchukua pale akaadhibiwe kwa taratibu za jeshi letu
 
Katika maisha naamini tu kitu kimoja muhimu kuwa Kila kazi ni mhimu kwa Kila anayeitenda pia heshima huwa ni kitu mhimu sana katka kujali utu,haki na uwajibikaji,hapo Ndo utajua kuwa ata Kama una cheo lazima tu uzingatie haya kwa haya maisha ya duniani,sitaki kuukumu yoyote apo
Wapo wanaokera kama vile kunguru mweupe anavyokera,ukizubaa amekwiibia,hata mabarabarani hali iko hivyo,najua madereva wanajua sana haya,au abiria waliokuwa busy na serious na mambo yao🤔
 
Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273

Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)

Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"

Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?

Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!

NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!

Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!

Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)

Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)

Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!

Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?

Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!

Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!

ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!

Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!

Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!

Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!

Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Hapo hamna kesi yoyote hapo mzozo umeisha ndio imetoka hio
 
Nikuulize, wewe ni mwanajeshi? Au mwanasheria, why unaongea vitu vua assumption. Wanajeshi always akili zao zipo kwenye unyayo huwa hawawapendi police, video imeanza kwa kuonyesha trafik akituknwa na trafic ana busara kubwa sana akaanza kutafuta ushahidi kwa kumuuliza mjeshi mm ni paka? Alivo mjinga akarudia tena kusema trafik ni paka. So mwanajeshi ndo mwenye kosa na ningekuwa mm bus zima lingeenda central na mjeshi tungebaki naye wenzake waje kumchukua pale akaadhibiwe kwa taratibu za jeshi letu
Hao traffic ni mende au Panya tena Hilo paka Lina afadhari, hawafai hao wajinga, unajua huyo mwanajeshi ameona nini Kwa traffic? Hio imeisha haina mjadala lipaka limeruhusa gari iende basi
 
Hao traffic ni mende au Panya tena Hilo paka Lina afadhari, hawafai hao wajinga, unajua huyo mwanajeshi ameona nini Kwa traffic? Hio imeisha haina mjadala lipaka limeruhusa gari iende basi
Hahah
 
Eti paka pana muda unaona hajakosea jamaa wanaonea sana watu aisee...utadhani Dunia wameibeba wao pana muda wanataka utengeneze tabasamu feki vima sana wale jamaa...yaani kukuchapa fine bila sababu yeyote kwao sawa tuu..
 
Eti paka pana muda unaona hajakosea jamaa wanaonea sana watu aisee...utadhani Dunia wameibeba wao pana muda wanataka utengeneze tabasamu feki vima sana wale jamaa...yaani kukuchapa fine bila sababu yeyote kwao sawa tuu..
Ndo sheria inawabeba
 
Kazi za jeshi ni ngumu zinahitaji morali sio kama polisi pushups kwenye Godoro sisi makamanda pushups kwenye kokoto... haiwezekani kamanda maji kupanda mlima

sasa kama me nikiwa depo naimba nyimbo za hivi... kwel polisi nitakuwa namwonaje.... hili bifu lipo tangu zamani hawapatani hawa
Hii ina uhusiano gani na kuvunja sheria? Tatizo kubwa la majeshi yetu ni kutokujua sheria za nchi. Nje ya hizi sheria hawajui hata wao ni watu wa kawaida sana.
 
Staff sergeant wa JWTZ ana hadhi zaidi ya mrakimu wa jeshi la polisi, yaani yule afisa mwenye nembo ya bibi na bwana
Kwani staff sergeant wa jw naye ni commission au other rank[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sasa kama other rank hiyo hadhi unayosema inatoka kwenye sheria gani?

Kama unaizungumzia officer aliye zaidi ya nyota tatu kule police yaani Gazetted officer ni mdogo! Umetumia sheria ipi?

Mbwanjuwanju mbwanjuwanju usiwe kama mabaka nguvu nyingi akili kisoda
Bora kule kule, za kubrashia viatu zipo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hii ina uhusiano gani na kuvunja sheria? Tatizo kubwa la majeshi yetu ni kutokujua sheria za nchi. Nje ya hizi sheria hawajui hata wao ni watu wa kawaida sana.
Ikikosea unaruka kichura inaisha
 
Back
Top Bottom