Kama hawakurushiana mkono, huwezi jua, nani yupo vizuri, Wajuzi wa ngumi ama karateka huwa hawapigani bali kwa kujitetea.wapo tarafiki wako vizuli niliona siku 1 mjeda anaendesha noh kapakia abiria kinyme na kawaida akapigwa mkono akagomo tarafiki akamfuata na pikipki akamkuta huyo mjeda akajitia ujuaji wake mboda mjeda aliminywa tukaingilia kati mjeda akasema nipelekeni kwa mkuu wa wilaya tukawaamua huyo mjeda alikuwa anatoka chita wapo polisi wako vizuli usipime ndugu tena yule tarafiki hana makuu na mtu akionya mala ya kwanza ya 2 faini
Hao traffic ni mende au Panya tena Hilo paka Lina afadhari, hawafai hao wajinga, unajua huyo mwanajeshi ameona nini Kwa traffic? Hio imeisha haina mjadala lipaka limeruhusa gari iende basi
Eti paka pana muda unaona hajakosea jamaa wanaonea sana watu aisee...utadhani Dunia wameibeba wao pana muda wanataka utengeneze tabasamu feki vima sana wale jamaa...yaani kukuchapa fine bila sababu yeyote kwao sawa tuu..
Mmhmwanajeshi aliye timamu ni yule mtulivu wakati wa taharuki,kama ameona kosa kwa traffic-anamzidi cheo,umri na hata sauti mbele ya mkuu wa kituo.
alipaswa akatolee mashtaka huko,hupo alikuwa karibu sana na kuchezea makofi,maana kwa umri wake asingemmudu traffic,ndio maana kaulizwa utanifanya nini kakaa kimya.
ukikosa heshima kwa mtu,usitegemee ikurudie.
jeshi lipo above kila kitu wao ndo wanajiita wenye nchi... maana kwenda ikulu ni dakika 0Hii ina uhusiano gani na kuvunja sheria? Tatizo kubwa la majeshi yetu ni kutokujua sheria za nchi. Nje ya hizi sheria hawajui hata wao ni watu wa kawaida sana.
Acha upuuzi ni jukumu la Traffick kusimamia usalama barabarani,Mwanajeshi hana hiyo taaluma na atulie..Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273
Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)
Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"
Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?
Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!
NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!
Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!
Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)
Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)
Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!
Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?
Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!
Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!
ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!
Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!
Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!
Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!
Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Upuuzi,waambie wajaribujeshi lipo above kila kitu wao ndo wanajiita wenye nchi... maana kwenda ikulu ni dakika 0
Sheria za kipuuzi hiziSheria inampa free afisa wa jeshi ya kutokulipa akiwa kavaa sare, lakini kwa hiari yake anaweza kulipa nauli!
Lakini hawatakiwi kupanda zaidi ya maafisa wanne kwa pamoja, lasivyo watakaozidi wanatakiwa kulipia nauli
Ni wapuuzi na Sheria za kipuuzikwanza awalipagi nauli hawa makongo kawa sh 500 lakini hawalipi kabisa na wako tayali kumpiga konda kisa 500 tu
Mi mtata mkuu naweza kupitisha muda mrefu na nisipigwe fine gari Iwe na kosa gani labda wanikamate mwendokasi vile vitu vyao wanavyokagua kila siku vipo anabaki kukuambia nenda tuu..fine ya bila sababu usikubali omba kwenda mahakamani.
otherways hiyo ni halali,na umeiona ila unataka kurushiwa shuka.
Duuh bongo hakuna dogo, kavideo kafuuupi ila message sasa ... hongera mkuu kwa kuandikaKuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273
Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)
Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"
Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?
Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!
NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!
Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!
Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)
Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)
Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!
Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?
Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!
Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!
ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!
Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!
Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!
Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!
Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Uwepo wao barabarani kunahashiria rushwa TU hakuna jingine, Wanaongeza usumbufu, wangeacha taa zifanye kazipolisi wa barabarani hawana adabu, mara nyingi huomba rushwa sana na kusahau kiichowapeleka barabarani hao..ni PAKA KWELI WALA SI UONGO