Nimeshangaa sana kuona staff sergeant anaongea namna ile. Kati ya seniors wanaolijua jeshi basi yeye yupo kwenye list lakini ameact kama private aliyepata ajira juzi.Kimedani imekaaje?
Mwanajeshi ana cheo cha Staff Sergeant. Huku polisi akionekana private (Constable).
Hata kama angekuwa na cheo sawa na mwenzake, polisi angelipaswa kumheshimu Mjeda kwa minajili ya kimedani.
Mjeda kakosea kumtolea mwenzake lugha inayokwaza akiwa katika uniform.
Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
Sawaaa nazani unajua mapinduzi ya kijeshi.. huwa yapojeUpuuzi,waambie wajaribu
WENGI Hawaijui sheria ya usalama! TRAFIKI wakiamua wanaweza kamata na kusweka lupango Mwanajeshi akivunja sheria ya usalama barabarani
Sio Tanzania,walishindwa enzi za Nyerere saizi ndio hawawezi kabisaa..Sawaaa nazani unajua mapinduzi ya kijeshi.. huwa yapoje
Askari akiwa na sare za kazi halipi naulikwani kwenye hiyo basi mwanajeshi alilipa nauli?
... trafiki alikuwa anatekeleza sheria mzee. Mambo ya nani mwenye hadhi zaidi labda baa huko wakigombea mabaa medi!Staff sergeant wa JWTZ ana hadhi zaidi ya mrakimu wa jeshi la polisi, yaani yule afisa mwenye nembo ya bibi na bwana
Kaka hiyo video lazima iwe hivyo hivi unadhani mjeshi akikugungua unamrekod itakuwa?Huo unaweza kuwa unaa,video yenyewe haieleweki,hapo inawezekana mpandisha video akalazimishwa cheo,na pia za kwake zikitafutwa huenda kawahi gerezani mwenye hata kabla ya kupanda kizimbani,kwani huenda hapo kero imetokana kutaka kulazimisha mlungula hata kuwakera abiria hata akajitokeza wa kuwatetea🤔
Sio sheria lakini imekaa kimazoea zaidi hadi imezoeleka kana kwamba ni sheria.Askari akiwa na sare za kazi halipi nauli
Nan hamnazo na nan ni wakawaida mbona kama zote hizo ni sifa za paka?Kimedani imekaaje?
Mwanajeshi ana cheo cha Staff Sergeant. Huku polisi akionekana private (Constable).
Hata kama angekuwa na cheo sawa na mwenzake, polisi angelipaswa kumheshimu Mjeda kwa minajili ya kimedani.
Mjeda kakosea kumtolea mwenzake lugha inayokwaza akiwa katika uniform.
Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
Hamnazo ni paka ndiyo.Nan hamnazo na nan ni wakawaida mbona kama zote hizo ni sifa za paka?
Sheria hii ipo Applicable kwa majeshi yote provided umevaa Uniform tuSheria inampa free afisa wa jeshi ya kutokulipa akiwa kavaa sare, lakini kwa hiari yake anaweza kulipa nauli!
Lakini hawatakiwi kupanda zaidi ya maafisa wanne kwa pamoja, lasivyo watakaozidi wanatakiwa kulipia nauli
Nawakawaida pia ni paka aka raia mkakamavuHamnazo ni paka ndiyo.
Una shida kichwani mkuu??jeshi lipo above kila kitu wao ndo wanajiita wenye nchi... maana kwenda ikulu ni dakika 0
Huenda, inawezekana na assumptions nyingi sana kwenye uzi wakoKuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273
Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)
Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"
Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?
Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!
NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!
Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!
Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)
Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)
Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!
Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?
Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!
Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!
ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!
Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!
Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!
Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!
Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Nasisi Magereza tupo msitushauKimedani imekaaje?
Mwanajeshi ana cheo cha Staff Sergeant. Huku polisi akionekana private (Constable).
Hata kama angekuwa na cheo sawa na mwenzake, polisi angelipaswa kumheshimu Mjeda kwa minajili ya kimedani.
Mjeda kakosea kumtolea mwenzake lugha inayokwaza akiwa katika uniform.
Ukweli ni kuwa hiyo ni mfano wa chuki iliyomo baina ya Polisi na JWTZ. Kuna mmoja anamwona mwenzake hamnazo alafu mwingine anamuona mwenzake wa kawaida.
Mkuu hayo mambo yako wazi vingi tunafichwa....Una shida kichwani mkuu??
Nkwame Nkurumah na Ghana hawajatawalia na franceSio Tanzania,walishindwa enzi za Nyerere saizi ndio hawawezi kabisaa..
Ujinga kama huo uko kwenye makoloni ya France