Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikisoma post yako #1 ambayo ndio inabeba uzi mzima unaohusu nyota, ambazo pale mwanzo juu umeattach picha yenye picha za nyita zote 12. Ulipoonza ukaanza na Punda ukaendelea kutiririka na nyingine zinazofuatia 11. Hapo siioni nyota ya Mshale ukiizungumzia kama hizo nyingine. Labda utakuwa umeruka kwa bahati mbaya.Mkuu nimepost nyota 12
Punda/kondoo,ng'ombe,mapacha,kaa,simba,mashuke,ng'e,mshale,mbuzi,ndoo na samaki
Wapi ambapo nashindwa kukuelewa mkuu em nifafanulie,
Rakims
Nimezaliwa tarehe 06 mwezi wa 09 herufi yangu ya kwanza ya jina ni herufi M...nyota yangu ni ipi hasaVirgo/mashuke
Rakims
Nimezaliwa tar 07 mwezi wa 04 herufi ya kwanza ya jina langu ni F nyota yangu ni ipi mkuuNg'ombe mkuu
Rakims
Nyota yako wewe ni Mshale ya kwake yeye ni Ng'e sasa ng'e na mshale katika mahusiano ipo hivi:Rakim.kaanza hongera kwa kuendelea kubaki katika Uzi wako kwa ajili ya ufafanuzi.mimi nimezaliwa 03/12.nna mpz yeye tarh 30/10.na nimemzidi umri parefu tu.naomba utuambie nyota zetu na namna mahusiano yanaeza kuwa.maswali mengine ntaongeza ukinijibu.