Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Hapana asee.....
1: kuna mmoja alitoka mkoa anaomba nimepeleke kutafuta shela, siku hiyo nlikua na buku tu mapema asubuhi nikatoka home tembea sinza yote tangu saa nne asubuhi hadi kumi na moja jioni, njaa balaa nauli nshatumia jero imebaki jero...kumi na moja akatoa 1m akalipa kisha akaniambia kwaheri yani kuzunguka kote asiseme hata tukae tule hata chips kavu 😏😏 nikarudi home na njaa na mchoko nikasema sirudii
2: akaja mwingine nipeleke kariakoo bwana weeeh zunguka mno nipeleke kwenye viatu, kwenye pochi, kwenye vyupi, maduka ya nini sijui kabeba mamfuko hayooo hata kusema basi mwenyeji wangu nae nimchukulie hata kyupi hakunaaa😏😏😏
Nimeshakoma mi siwezi kwenda na mtu shopping tena kanipeleka nisiache kumnunulia chochote haipo....japo sio kwamba ndio inalipa muda wa mtu ila ina maana hata kama ni kitu kidogo. kwahiyo watu wa mikoa kwahilo wasahau pambafff
😂😂
Nikija naomba na Mimi unipelekee Kariakoo