Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ya mabas lazma ujipange Sio yakukurupukia. Kamuulize ZUBERI ndio anajua kilicho mkuta huko.
Hata njia ya mwanza - musoma kuna kijiji kipo katikat hapo kabla ujafika magu ukiwa unatoka musoma, pale bas uwa aitakiwi kusimama ila kama kwenye bas kuna abiria anashukia hapo inabid mkubari kumshushia hapo las hvyo hamtafika mnapoenda yan pale ukigonga ata kuku shuka umtafte mwenye nayo umuombe samahan mbali na hapo utofika unapo enda salama, yan kama upo stend alaf ukamwambia konda unaenda kwenye hcho kijiji unaweza usipate ticket kabsa maana wanapaeshim mno kwa uchawi
Nais ndo hcho jina limenitoka kidogo, huwa kuna daraja la machuma chuma kwa mbele yakeUnazungumzia nasa?
Kwanza mimi sio Mkigoma nlienda kikaziWAHA MNAPENDA UBISHI SANA, Brother kwani hapa tunabishana au! JIULIZE Kwanini mabasi Ni MACHACHE kigoma! kwanini hakuna luxury bus kigoma! ACHENI TABIA ZENU ZA UBISHI, Kwanza WABUNGE WANAOGOMBEA KIGOMA , ITISHENI KIKAO CHA KIMILA ILI MUWAELIMISHE WASHIRIKINA UMHIMU WA MAENDELEO WA WATU NA VITU IKIWEMO MABASI NA MIUNDOMBINU...ili wasiroge
mvullah la chato hiloKayengeyenge, Mvullah, Kidia One, Coastline hayo yote ni mabasi ya Kigoma
Anasema ana iman! Imani unaweza ukawa nayo lakini je kwenye matendo imo? gari unaimwagia maji ya baraka na maombi lukuki lakini ukikamatwa njiani Unatoa Rushwa ili mzigo ufike, Kama rushwa Ni dhambi Ni Mungu gani atakurindia Mali yako! hapo ndipo Washirikina WANAPITA NA ROLI LAKO HIVI 😵😵😵
Bila capacitor biashara utajisikia tu
Njia ya Dar-Sumbawanga Ni miongoni mwa njia chache Sana ambazo ukiomba kibari Cha njia (TLB ) Kutoka SUMATRA hutasumbuka hata kidogo!
Hii inatokana na dhana ya uhaba wa mabasi kwenda maeneo hayo!
Swali hapa je; kwanini Ni machache?
Mwenye Basi jipya akithubutu njia hizo bila kufunga capacitor ajiandae na mapigo Kama;
- wengi wanadhani uhaba wa mabasi unachangiwa na uwepo wa Gari Moshi!
- kwanza kabisa Basi jipya likianza Safari njia hizo hata ukitumia dreva mwenyeji- Ni pigo la kupotea njia ( yaani utaondoka Dar vizuri lakini huko mtauliza Sana njia kwa kupotea potea
kwannHaiwezekani wewe kuwa Mtanzania au umeishi Tanzania!
Waache tu wakubishie, hayajawakutaUkweli utabakia pale pale.
Nilifungua Saloon ya kiume mwezi wa pili mwaka huu 2020,changamoto ikawa kupata kinyozi.
Japokuwa nilikubaliana na kijana mmoja alifanya kazi wiki moja tu akaondoka kwa kuona hakuna wateja.
Nikafunga ikapita miezi mitatu nimefunga, baadae akaja kijana mmoja kinyozi akaiona Salon akaniambia naomba afanye kazi hapo.
Lakini nilimweleza changamoto ya hapo ya kutopata wateja. Kijana akaniambia usijali bro nakuomba unipatie Elfu 27 tu kuna mtaalam naenda kumuona atapasafisha.
Kweli aisee kijana akaondoka siku ya Alhamisi akarudi juma mosi saa 12 hivi jioni nikamkabidhi funguo akafanya yake.
Wakati anafanya usafi tu wakaja wateja 3 kitu ambacho kilinishangaza sana hyo ndyo ilikuwa hesabu ya kutwa jamaa ameingiza ndani ya nusu saa tu.
Sasa hivi inawiki ya pili ila ni gumzo mtaani na watu wanapanga foleni..
Haya mambo yapo Bwana.