Ijue Siri: Kwanini Njia ya Kigoma - Dar haina mabasi mengi ya ( luxury )

Ijue Siri: Kwanini Njia ya Kigoma - Dar haina mabasi mengi ya ( luxury )

Chuma kile cha mjerumani, wajerumani wako vizuri katika kucompromise na luciferi.
Kasome habari za Simba wa Tsavo, utaelewa.
Simba wa Tsavo ni story ya Kenya na waliojenga reli na kupambana nao ni Waingereza

Vv
 
Uchawi bhana kuna Kijiji huko mrijo waliroga bomba la maji la mradi wa serikali lisitoe maji kisa baadhi ya wazee hawakupewa taarifa na maji ni ya kijijini kwao...uchawi wa kijinga vijijini hupo
 
Dar-Kigoma, Dar- Bukoba, Dar- Sumbawanga kama ilivyo Dar- Kigali/Lusaka/Bujumbula na Dar- Kampala ni safari ndefu inayokaribia au kuzidi kilometa 1000, Safari yake siyo ya kitoto hata kwa abiria na ni lazima gari lilale mahali fulani ili kuendelea na safari kesho yake. Safari hii inachosha kwa abiria na madereva na uchakavu wa gari hata kama ni jipya huonekana wazi baada ya kwenda na kurudi!. Hakuna uchawi hapo ila hao kina Saratoga na Adventure ni maveterani wa usafirishaji tangu miaka ya sitini..... wana uzoefu wa kufa mtu hao!.
 
hiv mzee mleta mada hayo magari kwanza hao saratoga na adventure ni ndugu.watoto wa mzee halfan sood.mzee wa kiarabu hapo kigoma.
hio natural capacitor [emoji16] huenda ndio ile kama ya mwandish wa Itv aliyelaza mwizi zanzibar?
 
Makabira yanayongoza kwa uchawi Tanzania
1.Wafipa-wapo sumbawanga
2.Waha-Wapo kigoma.
Mtoa mada una point,hata katika report ya Mwaka 2019 ya NBS Mkoa wa Kigoma na Sumbawanga wanaongoza kwa umasikini uliokothiri-nahisi shida kubwa ni ushirikina.
 
Acha uongo.
Sumbawanga abiria sio wengi huu mkoa kwa asili watu wake sio watu wa kusafirisafiri .
Kama sijakosea zipo bus kama 4 hivi from Swanga to Dsm daily.
Luxury ipo new force.
Wasafiri kwenda wapi huku wamekalia uchawi,watu wanasafiri kwa ajili ya shuguli nyingi za biashara.Mkoa hata kimaendelea upo wa mwisho huko,hata hao wanaosafiri wengi ni watumishi wa umma walioletwa huko kikazi.
 
Na bado mtu anajiuliza kwanini ccm bado inatawala ikiwa akili za watanzania ndo kama hii ya mtoa mada
 
Dar-Kigoma, Dar- Bukoba, Dar- Sumbawanga kama ilivyo Dar- Kigali/Lusaka/Bujumbula na Dar- Kampala ni safari ndefu inayokaribia au kuzidi kilometa 1000, Safari yake siyo ya kitoto hata kwa abiria na ni lazima gari lilale mahali fulani ili kuendelea na safari kesho yake. Safari hii inachosha kwa abiria na madereva na uchakavu wa gari hata kama ni jipya huonekana wazi baada ya kwenda na kurudi!. Hakuna uchawi hapo ila hao kina Saratoga na Adventure ni maveterani wa usafirishaji tangu miaka ya sitini..... wana uzoefu wa kufa mtu hao!.
miongoni mwa uzoefu Ni pamoja na yale mambo sasa
 
Back
Top Bottom