Ijue Siri: Kwanini Njia ya Kigoma - Dar haina mabasi mengi ya ( luxury )

Acha uongo.
Sumbawanga abiria sio wengi huu mkoa kwa asili watu wake sio watu wa kusafirisafiri .
Kama sijakosea zipo bus kama 4 hivi from Swanga to Dsm daily.
Luxury ipo new force.
 

Unazungumzia nasa?
 
Kwanza mimi sio Mkigoma nlienda kikazi
Pili barabara ya Manyoni - Itigi - Tabora hadi Kigoma bado kuna vipande kibao bado havihakamilika. (ukianzia Uvinza kuitafuta Kaliua hadi Tabora Vumbi tupu, Nlienda mwaka jana Mei)

Dom - Iringa kulikua na Kingcross inatamba baada ya lami zimekufa saivi zinatamba Coaster
 
Haa😀😁😄😃😅😂
Mtama Wabhonye!!!
Aho Lelo!!!


Kidono, Nyamnyusi
 
Hivi ni kweli uchache wa mabasi unachngiwa na ushirikina au ni muindombinu, umbali na uapatikanaji wa abiria? kwa mfano, Mwanza - Dar , Ar- Dar nahat Ar- Dom kuna abiria wengi sana. jE, Vipi kwa njia ya Dar- Kgm au Dar - Swng?
 
Kayengeyenge, Mvullah, Kidia One, Coastline hayo yote ni mabasi ya Kigoma
 
na kwelii walikuja
OTA yakawashinda
ARIZONA wanapumulia mashine
wajanja ni hao ndugu wawili wa kiarabu Adventure na nduguye Saratoga
 
Ukweli utabakia pale pale.
Nilifungua Saloon ya kiume mwezi wa pili mwaka huu 2020,changamoto ikawa kupata kinyozi.

Japokuwa nilikubaliana na kijana mmoja alifanya kazi wiki moja tu akaondoka kwa kuona hakuna wateja.

Nikafunga ikapita miezi mitatu nimefunga, baadae akaja kijana mmoja kinyozi akaiona Salon akaniambia naomba afanye kazi hapo.

Lakini nilimweleza changamoto ya hapo ya kutopata wateja. Kijana akaniambia usijali bro nakuomba unipatie Elfu 27 tu kuna mtaalam naenda kumuona atapasafisha.

Kweli aisee kijana akaondoka siku ya Alhamisi akarudi juma mosi saa 12 hivi jioni nikamkabidhi funguo akafanya yake.

Wakati anafanya usafi tu wakaja wateja 3 kitu ambacho kilinishangaza sana hyo ndyo ilikuwa hesabu ya kutwa jamaa ameingiza ndani ya nusu saa tu.

Sasa hivi inawiki ya pili ila ni gumzo mtaani na watu wanapanga foleni..

Haya mambo yapo Bwana.
 
Hiyo barabara ya lami Tabora kigoma au manyoni Tabora ilikamilika lini? Why mnapenda kuongea vitu msivyovijua? Kigoma AtC inaenda three times a day,huko kwenu kusipo na ushirikina inaenda Mara ngapi kwa siku? Au kwako basi ni Bora kuliko ndege?
 

Haiwezekani wewe kuwa Mtanzania au umeishi Tanzania!
 
Hata njia ya kusini enzi hizo walisema hivihivi wakina Akidas na wenzake walikuwa wanatawala njia yote Mtwara,Lindi na vijiji vyake. .lakini siku hizi kuna basi za maana..Kigoma kunafunguka taratibu..barabara ikiwa safi vyuma vya maana viataenda!

Kule Sumbawanga pia walisema hayo..lakini New force kaenda na anafanya kazi nzuri wanapelekeshana na saibaba na Majinja..ni nyakati tu mkuu zitapita!
 
Saratoga adventure wakfkaga kakonko huwa wanaongeza speed lakin sjawah kusikia wameanguka,hasa adventure wana madreva wazoefu
 
Tanga kwenda Mbeya basi ni moja tu miaka nenda miaka rudi, na limechoka kweli siku hizi linaitwa Mbeya City zamani No Challenge aka Air Shengena. Linaweza safiri siku 2 kwenda Mbeya. Story ni kama hizohizo za Kigoma, ulozi.
 
Waache tu wakubishie, hayajawakuta
 
Thread za ushirikina zimekuwa nyingi mno.....
Watu wanajiongeza kwa kalumanzila au vp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…