Ijue Siri: Kwanini Njia ya Kigoma - Dar haina mabasi mengi ya ( luxury )

Mliokulia masaki mna raha sana.
 
Chuma kile cha mjerumani, wajerumani wako vizuri katika kucompromise na luciferi.
Kasome habari za Simba wa Tsavo, utaelewa.
 
Mshirikina we!
Unatafuta wateja wenye imani haba hapa JF?
 
Hapo nakubaliana na wewe kiufupi hizi biashara za usafirishaji karibu mikoa yote ni ushirikina mwanzo mwisho mshana alishawambia we jeribu kwenda na njiwa kwenye bus yeyote iwe ya mlokole au ustadhi uone utakavyotolewa baru jiulize kulikoooniii
 
Subiri iwe lami tupu.
Kumbuka ya Lindi na Mtwara enzi hizo. Sasa hivi Wamakonde ni mwendo wa Luxury.
 
Ilungu,
Kahangara
Bundilya
Nyanguge au isangijo /mikoroshoni?
 
Tanga kwenda Mbeya basi ni moja tu miaka nenda miaka rudi, na limechoka kweli siku hizi linaitwa Mbeya City zamani No Challenge aka Air Shengena. Linaweza safiri siku 2 kwenda Mbeya. Story ni kama hizohizo za Kigoma, ulozi.
Ruti ya tanga mbeya imekaa vibaya haina abiria wengi ndio mana,mimi naishi tanga believe it
 
Tanga kwenda Mbeya basi ni moja tu miaka nenda miaka rudi, na limechoka kweli siku hizi linaitwa Mbeya City zamani No Challenge aka Air Shengena. Linaweza safiri siku 2 kwenda Mbeya. Story ni kama hizohizo za Kigoma, ulozi.
Sasa Kuna tahmeed luxury tanga mbeya
 
Lipia Tangazo la kufunga capacitor.
BTW capacitor yako ni Ceramic, Mica, Paper au Electrolytic [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana huko Tanganyika maendeleo hayafiki.
 
Huko magu asilimia kubwa wanaamin ushirikina
 
Bdo watu wa kigoma wanapenda kupandaa treni sana, kuliko basi ukitaka kujua nenda stesheni Kamata alhamisi inapoondoka abiria ni wengi sana hasa kwenye DELEXE. Kwa sababu ya unafuu wa nauli.Basi nadhani ni elfu 60 hv labda kama imepungua siku hz.Maana naona kuna basi kama 2 zimeongezeka lakini nazo mikweche kama ARIZONA ndio shida.Shida nyingine wee tembea wee lakini kulala Kaliua labda kama wamedalisha ndio shida
 
MKUU umeandka haya lakn najua unaelewa fika haya mambo, sio ulemave wala nini..... hata technolojia haiwez pindua iman hzo.
 
Zuberi bado inawika ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…