Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Mkuu umesahau wakat wa JK yule makamu wa rais mzanzibar wakaanzisha movement ya kiislam katika chuo cha Dodoma walivyokuwa hawana aibu wakapanga kabisa kila kiongoz wa chuo wahakikishe ni muislam. Wakasahau Roman Catholic iko macho kila wanachopanga inajulikana. Mnawekewa ustaadh flan na ndevu za kutosha kila kitu kinakuwa peupee.
 
Huyu mama inawezekana anataka kujijenga kupitia kete ya udini baada ya kujaribu kete ya uanamke kipindi fulani hapo nyuma. Inawezekana anahisi akiji identify kama mzanzibari huenda asipenye kwenye kinyang'anyiro cha 2025 kwa kukosa support au kura za watanganyika. Sijui kwa nini anawaza kuendelea na urais awamu ijayo hadi kutaka kuleta hali ya mgawanyiko wa kidini kwa ajili ya maslahi yake ya kisiasa........watanganyika inabidi tushituke mapema.​
 
Listen, hata hiki ulichoandika hapa kwangu ni muendelezo wa fikra duni, ujinga; sioni kama taifa tunaweza vipi kupiga hatua kimaendeleo ikiwa bado tutakuwa tunatazamana kwa jicho la dini, kabila, au rangi.

Wewe umekuja hapa kuwatetea wale wa dini yako, simply umekuja kuongeza tatizo, hukumbuki wapo wasio na dini, wakina Kiranga na wenzake wao wamenyamaza kimya, hawana msemaji wao, na wala hawana hivi viherehere mlivyonavyo wengine.

We need to stop this kind of ignorance, kwasababu kutaka watu wa dini yako wawepo kwenye mamlaka hakutakusaidia chochote kama hutakuwa na mahusiano nao ya moja kwa moja, zaidi, kinachowafanya wengi wazungumzie hii issue ni kama ulevi tu, tena usio na tija kwao, wala kwa taifa.

Huu upuuzi una extend mpaka pale anapokuwepo kiongozi fulani, halafu wale wa dini yake wanakuwa hawaoni baya lolote toka kwake, huu nao ni ujinga mwingine mkubwa zaidi, kusifia/tetea kila linalofanywa na yule wa dini yako upuuzi.
acha tu mkuu mtu analeta mada ya hovyo kabisa afu watu wanashangilia ujinga huu
 
Huyu mama inawezekana anataka kujijenga kupitia kete ya udini baada ya kujaribu kete ya uanamke kipindi fulani hapo nyuma. Inawezekana anahisi akiji identify kama mzanzibari huenda asipenye kwenye kinyang'anyiro cha 2025 kwa kukosa support au kura za watanganyika. Sijui kwa nini anawaza kuendelea na urais awamu ijayo hadi kutaka kuleta hali ya mgawanyiko wa kidini kwa ajili ya maslahi yake ya kisiasa........watanganyika inabidi tushituke mapema.​
Kwani kafanyaje ili ili tuweze kuthibitisha kuwa anajijenga kupitia udini?
 
Phy...
Anaetakiwa kutoa majibu katika hili tatizo ni serikali si wewe kuwajibu Waislam.
Waislam wana majibu kwa serikali.

Mimi na wewe hapa tutahangaishana na wataingia watu katika mjadala huu na kila aina ya maneno.
Usikimbizie mjadala kwenye serikali haya madai haiyatoi serikali wanayatoa sana sana waisilamu na hivi vielelezo ulivyoleta hapa naamini umevitafuta wewe. Nilichouliza mimi ni kuhusu mantiki ya hoja.

Unapoleta hoja kwamba waisilamu sio wengi kwenye teuzi usije wakati huohuo na hoja kwamba serikali imewezesha wakristo wengi sana kusoma na kuwabana waisilamu hapa hoja yako itakuwa inajipinga.

Ili hoja yako ikae sawa ulipaswa kusema serikali imewanyima waisilamu elimu hivyo hakuna uwanja sawia wa kushindana kwenye soko la ajira.

Tokea hapo ndio tujadili nini kifanyike.
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Mleta mada, huwa napenda mada zako nyingi, lakini tatizo lako ni hili la kugawanya watu katika makundi ya kidini. Hili unalo sana wewe, na unadhani kila mtu yuko kama wewe katika eneo hili.

Hili tatizo limekulemea sana; yaani hukunyima raha kila mara, na inalazimu ulisemee tu bila ya kuwaza jambo jingine lolote. Ni kama sumaku kwako, ni lazima ikuvute tu, utake usitake.
 
Usikimbizie mjadala kwenye serikali haya madai haiyatoi serikali wanayatoa sana sana waisilamu na hivi vielelezo ulivyoleta hapa naamini umevitafuta wewe. Nilichouliza mimi ni kuhusu mantiki ya hoja.

Unapoleta hoja kwamba waisilamu sio wengi kwenye teuzi usije wakati huohuo na hoja kwamba serikali imewezesha wakristo wengi sana kusoma na kuwabana waisilamu hapa hoja yako itakuwa inajipinga.

Ili hoja yako ikae sawa ulipaswa kusema serikali imewanyima waisilamu elimu hivyo hakuna uwanja sawia wa kushindana kwenye soko la ajira.

Tokea hapo ndio tujadili nini kifanyike.
The Phy...
Waislam hawajapata kuwa na ugomvi na ndugu zao Wakristo hata siku moja.

Nyerere kafika Dar-es-Salaam mgeni.

Nani walimpokea?

Wazee wetu hawakusema huyu anakula sahani moja na wakoloni na kumtenga.

Waislam wanapoeleza hali iliyoko nchini iwe Shura ya Maimamu au watu binafsi hawakusudiwi raia inakusudiwa serikali.

Serikali ndiyo inawajibika kuchunguza na kama kuna ukweli kuchukua hatua.

 
Hawa dawa yao 2025 watarudi Zanzibar, huwezi kujaza watu wa Pwani, Tanga na Zanzibar kama vile sehemu zingine hakuna watu, wakristo siyo wajinga kiasi hicho
Mkuu, naona watu mnaingia kwenye mtego uleule ulionuiwa uwanase.
Inaonyesha dhahiri Samia na genge lake wanatafuta kuamsha hisia kama hizi zinazowaingia kichwani na kujisahau kabisa kwamba kuna ajenda inatekelezwa.

Kupambana na ajenda hiyo inalazimu utambue kwa nini inaletwa kwanza na utafute njia sahihi za kutoongeza petroli kwenye tatizo husika.

Hii ni Tanzania ya waTanzania, siyo ya kundi maalum. Tuaanzia hapo.
 
Mkuu, naona watu mnaingia kwenye mtego uleule ulionuiwa uwanase.
Inaonyesha dhahiri Samia na genge lake wanatafuta kuamsha hisia kama hizi zinazowaingia kichwani na kujisahau kabisa kwamba kuna ajenda inatekelezwa.

Kupambana na ajenda hiyo inalazimu utambue kwa nini inaletwa kwanza na utafute njia sahihi za kutoongeza petroli kwenye tatizo husika.

Hii ni Tanzania ya waTanzania, siyo ya kundi maalum. Tuaanzia hapo.
 
Mkuu umesahau wakat wa JK yule makamu wa rais mzanzibar wakaanzisha movement ya kiislam katika chuo cha Dodoma walivyokuwa hawana aibu wakapanga kabisa kila kiongoz wa chuo wahakikishe ni muislam. Wakasahau Roman Catholic iko macho kila wanachopanga inajulikana. Mnawekewa ustaadh flan na ndevu za kutosha kila kitu kinakuwa peupee.
 
The Phy...
Waislam hawajapata kuwa na ugomvi na ndugu zao Wakristo hata siku moja.

Nyerere kafika Dar-es-Salaam mgeni.

Nani walimpokea?

Wazee wetu hawakusema huyu anakula sahani moja na wakoloni na kumtenga.

Waislam wanapoeleza hali iliyoko nchini iwe Shura ya Maimamu au watu binafsi hawakusudiwi raia inakusudiwa serikali.

Serikali ndiyo inawajibika kuchunguza na kama kuna ukweli kuchukua hatua.
Ujinga huanzia hapa:

"Nyerere kafika Dar es Salaam mgeni"

"Wazee wetu hawakusema huyu anakula sahani moja na wakoloni na kumtenga"

Hii Dar es Salaam ndilo lililkuwa koloni la Waingereza?

Kama Nyerere alikuwa anakula sahani moja na wakoloni, iweje tena apokelewe na hao wazee, hii ina mantiki yoyote?

Dunia ya hao wazee unaowazungumzia iliishia Kariakoo.
 
Hizi ni taarifa za malalamiko ya siku nyingi sana, sihitaji kukumbushwa juu yake; nimeshuhudia matokeo ya kazi za taasisi hiyo. Ni malalamishi ambayo hayakuwa na msingi wowote, bali kuwa na madhumuni ya kusukuma ajenda tu.
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
 
Dr Slaa ni mfano mzuri kwenye hii mada.
Kwake Mkristo ndio mtu sahihi kuongoza nchi.
Wakati wa JAKAYA Slaa alikuwa mwiba na alishambulia serikali sana,Alipoingia Magufuli,pamoja na ukatili wote lkn Slaa aliungana nae,leo Kaingia Mwislaam Slaa analob kurudi Chadema ili akapate jukwaa la kunadi chuki zake.
Hili jizee ni likafiri sana, linachukia sana waislam, lilikua lipadri hili halifai hata kuwa shamba boy
Waislam lipigeni vita kila liendapo hili
 
Ujinga huanzia hapa:

"Nyerere kafika Dar es Salaam mgeni"

"Wazee wetu hawakusema huyu anakula sahani moja na wakoloni na kumtenga"

Hii Dar es Salaam ndilo lililkuwa koloni la Waingereza?

Kama Nyerere alikuwa anakula sahani moja na wakoloni, iweje tena apokelewe na hao wazee, hii ina mantiki yoyote?

Dunia ya hao wazee unaowazungumzia iliishia Kariakoo.
Kalamu,
Hakika dunia ya wazee wetu iliishia Kariakoo kwa Mtaa New Street na Kariakoo walipojenga Ofisi ya African Association kwa kujitolea kati ya 1929 hadi 1933 wakienda pale kujenga wanachama kila Jumapili.

Ilipoundwa TANU 1954 harakati zote zilikuwa Kariakoo kama mahali pa kuishi na Kariakoo Market hapo sokoni ambako Market Master alikuwa Abdul Sykes na akiuza kadi za TANU ofisini kwake.

Kwangu binafsi unaniletea kumbukumbu nyingi unapitaja Kariakoo hata kwa kejeli.

Muhudumu ya Ofisi ya Market Master alikuwa Mzee Abdallah niliyekuja kumfahamu ukubwani sote tukiwa waajiriwa na East African Cargo Handling Services.

Mzee Abdallah kanipa mengi aliyoshuhudia pale wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mwalimu Nyerere hapo Kariakoo ndiko alipofahamiana na watu mashuhuri wa mjini kama Mshume Kiyate na Shariff Abdallah Attas.

Mwalimu alipoacha kazi ya ualimu akenda kuishi Kariakoo nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu.

Kariakoo kwetu ni mahali adhim sana kwani imebeba historia kubwa sana si ya uhuru wa Tanganyika peke yake bali hata historia binafsi ya Mwalimu Nyerere na Mama Maria.

Katika kupambana na maisha ni hapo Kariakoo Mtaa wa Mchikichi na Livingstone Mama Maria alifungua duka dogo la mafuta ya taa.

Kariakoo ni sehemu muhimu katika historia ya taifa letu.

1677707991242.jpeg

Shariff Abdallah Attas alikuwa na umri huu alipofahamiana na Julius Nyerere sokoni Kariakoo yeye alikuwa mkudanyaji ushuru wa nafaka

1677708093281.jpeg

Mshume Kiyate akimfariji Mwalimu Nyerere baada ya maasi ya tarehe 20 Januari 1964 yeye alikuwa dalali wa samaki Soko la Kariakoo

1677708545954.jpeg

Kariakoo Market 1950s
Hiyo hapo kulia nyumba ndogo ndiyo ilikuwa ofisi ya Market Master Mwingereza Brian Hodges na alipotoka Abdul Sykes akachukua nafasi yake​
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
KUWA MUISLAAM SERIKALINI KUNATUSAIDIAJE SISI WAISLAAM...? UISLAAM NI WAKE KWA FAIDA YAKE...NA CHEO CHAKE KWA FAIDA YAKE...
 
Nimeuliza swali ili kupata data sahihi kutokana na mchango wa member aliouweka. Sisi wengi tunapenda sana data ili kuelewa demography ya nchi.
Mimi ninachojua Waislamu waliomba kipengele cha dini kiwekwe ktk sensa, serikali na viongozi wa dini ya kikristo wakakataa..Sasa leo mtu akisema wakiristo ni wengi kuliko waislamu au waislamu ni wengi kuliko wakiristo, tunajiuliza hizo data kazipata wapi?
Na wakristo walikataa kuhesabiana kwa dini kwenye sensa kwa kujua kuwa wataumbuka,
Na wangeumbuka tu, hivi na wakubali hata kesho tuhesabiane hapa tuone nani wengi? Tatizo hawawezi kukubali
 
Back
Top Bottom