mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Vipi ameshaipitisha?
Amepitisha nini? Umesikiliza lakini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ameshaipitisha?
Akipitisha Katiba ya warioba nishtueAmepitisha nini? Umesikiliza lakini??
Hahahaaaaa akikujibu huoni Zahanati na Mabarabara kila kona?. Unataka mafanikio gani?Ningemuuliza anaujengaje uchumi kwa katiba Mbovu
Ambayo imetumiwa na marais watano bila mafanikio yoyote
Akipitisha Katiba ya warioba nishtue
Mama D nisaheme bure kama nakukwaza ila hicho kwangu ndio kipimo pekee cha uzalendo wa Rais yeyote wa nchi hii. Vinginevyo naona "business as usual" tu. Hakuna jipya.Amepitisha nini? Umesikiliza lakini??
Kabla sijaisikiliza nihakikishie kwamba ameruhusu na kupitisha Katiba mpya humo kwenye hiyo video. Hicho kwangu ndio kipimo cha uzalendo wa kweli kwa TanzaniaMsikilize kwenye hiyo video
Zahanati na mabarabara si maendeleo ya watu.Hahahaaaaa akikujibu huoni Zahanati na Mabarabara kila kona?. Unataka mafanikio gani?