Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Kuhusu ndoa kwa wanawake wala msijimwambafai, kila siku mnalilia ndoa kuanzia majumba/mtaani mpaka makanisani..,ni humu tu kwny mitandao ndio mnakuwa keyboard warrior!
Analeta tu u'shero wake hapa ila anajua bayana kuwa jasho kinamtoka na kila mshale wa sekunde wa saa yake ya kibailojia unapochapa mwendo mapigo yake ya moyo yanapiga kasi sambamba na msituko wake.
 
Wewe ni wapi ulishawahi kuona mwanaume anayejitambua akavutiwa au kutaka type ya corporate women? [emoji848]
 
Katiko hilo watoto wako na ndugu zako pia wamo. Nao wajiandae kisaikolojia vile vile as you said. Vingenevyo acha "Spell Casting" is bad
Kwetu tunaoza sana tu. Hapa saa hii tuna ndoa pending 4 za mabinti wetu kwenye ukoo. Next time elekeza akili kwenye mjadala sio "character assassination" haikusaidii chochote zaidi ya kuprove kuwa hauna hoja na umechagua kuonekana ni mweupe wa critical thinking.

Grow up.
 
mimi naona mambo ya ndoa yamepungua umuhimu tu

usipooa/kuolewa hutengwi wala nini

sasa sijui ndo tunaiga wazungu au vipi
 
Kwa jinsi mnavyofukuana makalio mpk kuvaa pedi hiyo 2030 nyie itakuwa hali mbaya mara mbili yake, mnayaona ya wanawake na kuyachongelea midomo yenu aaah
Mwanaume ana options nyingi za kuendanazo kwani hata sasa hivi situnaona mnavyobinua viuno huko tiktok na snapchat? Kwenye status za whatsapp full kujiimbisha nyimbo za Zuchu na Mario 🤣🤣🤣
Kimsingi wasichana wa zama hizi wana muelekeo mbaya sana. Na jamaa katolea na mifano ya Kina Wolper,Shilole, Aunt Ezekiel na bado na wewe unajimwambafai kujibu. Hali ni mbaya kwa Wasichana wengi duniani kote hasa hawa wa kuanzia miaka 25 na kuendelea, Aisee zingatieni sana haya mnayoandikiwa hapa, isije hiyo 2030 mkaanza kuwalilia watoto waliopo darasa la saba sasa hivi ?
 
Maumivu ya nini sasa kila mtu kuna namna mungu amempangia hatuwezi kuwa sawa alafu dunia sio yetu ni ya mungu ww una uhakika gani kama hiyo 2030 utakuwa hai ebu tafuta hela achana na maisha ya watu
Akili mbovu hujadili mleta mada akili nzima huzingatia mada.

Wewe ni wapi nimeongea kwamba hiyo 2030 mimi natakiwa kutoa kibali ili hicho nilichosema kitokee?

Umeshindwa kujipa tafakari ya uhalisia unaniwaza mimi? [emoji848]

Nyie ndio wale wale mtu anakwambia nyumbani kwako kuna wezi wanavunja au nyumba inawaka moto unasema wanakufuatilia maisha yako.

Umeshindwa hata kuelewa mada unakuja straight kushoot bullets kwangu, nonsense.

Kwahiyo MUNGU ndio alipanga watu waje wadange, watoe mimba, watange tange halafu wapoteze muda hadi miaka ifike 30 ndio wawaze kutulia, huo mpango ni wa MUNGU wa goba au MUNGU wa ukoo wenu?

Idiot.
 
Hizo wanaume huwa hawazipati kwa wake zao wa ndoa wanazipata kwa nyumba ndogo, so ndoa wala haimpi hicho kitu. Think again.
 
Kizazi hiki changamoto zipo jinsia zote hasa hiyo yenu hivi tatizo ushoga halioni? Mmefikia hatua ya kuvaa pedi !!!! Pombe, madawa, umalaya, ushoga nk umamdhuru nani kama sio nyie? Mmejikita kunyoosha vidole kwa wanawake ila mmeshindwa kujiokoa nyinyi wenyewe, na uko hapa kujimwambafai kunijibu kama nani? Pambaneni na ya kwenu kabla hamjachelewa la sivyo hali kwenu ni mbaya kuliko mnaowahangaikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…