Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Kuhusu ndoa kwa wanawake wala msijimwambafai, kila siku mnalilia ndoa kuanzia majumba/mtaani mpaka makanisani..,ni humu tu kwny mitandao ndio mnakuwa keyboard warrior!
Analeta tu u'shero wake hapa ila anajua bayana kuwa jasho kinamtoka na kila mshale wa sekunde wa saa yake ya kibailojia unapochapa mwendo mapigo yake ya moyo yanapiga kasi sambamba na msituko wake.
 
Mkuu comment yangu mbona inaeleweka vizuri kabisa wanaolilia ndoa ni wanawake wenye njaa hivyo wanahitaji financial security, na wengine ni kutokana na pressure toka kwenye jamii hivyo wanakuwa desperate na si kwamba wana mapenzi ya dhati sana na wanaume, waulize wanaume wenzio jinsi wale corporate and independent women walivyo wajeuri na ambavyo hawapendi kupelekeshwa sasa wanawake wa aina hiyo tangu lini wakaiweza ndoa
Wewe ni wapi ulishawahi kuona mwanaume anayejitambua akavutiwa au kutaka type ya corporate women? [emoji848]
 
Katiko hilo watoto wako na ndugu zako pia wamo. Nao wajiandae kisaikolojia vile vile as you said. Vingenevyo acha "Spell Casting" is bad
Kwetu tunaoza sana tu. Hapa saa hii tuna ndoa pending 4 za mabinti wetu kwenye ukoo. Next time elekeza akili kwenye mjadala sio "character assassination" haikusaidii chochote zaidi ya kuprove kuwa hauna hoja na umechagua kuonekana ni mweupe wa critical thinking.

Grow up.
 
Tusilazimishe kubalance hoja hadi tukaacha ukweli halisi. Hivi tukifanya tathimini ya haraka tu ni nani wanaongoza kwa kuwa na masharti magumu ya kuanzisha mahusiano kati ya Me na Ke?

Mwanamke wa miaka 18 hayupo tayari kuanzia chini anataka mtu mwenye kila anachokitaka, this is majority ya wanawake wa kisasa.

Kijana wa miaka 18 anakuwa so desperate kufanya mahusiano serious sababu hana cha kuoffer mwanamke zaidi ya moyo wake.

So nadhani tuzingatie ukweli.
mimi naona mambo ya ndoa yamepungua umuhimu tu

usipooa/kuolewa hutengwi wala nini

sasa sijui ndo tunaiga wazungu au vipi
 
Kwa jinsi mnavyofukuana makalio mpk kuvaa pedi hiyo 2030 nyie itakuwa hali mbaya mara mbili yake, mnayaona ya wanawake na kuyachongelea midomo yenu aaah
Mwanaume ana options nyingi za kuendanazo kwani hata sasa hivi situnaona mnavyobinua viuno huko tiktok na snapchat? Kwenye status za whatsapp full kujiimbisha nyimbo za Zuchu na Mario 🤣🤣🤣
Kimsingi wasichana wa zama hizi wana muelekeo mbaya sana. Na jamaa katolea na mifano ya Kina Wolper,Shilole, Aunt Ezekiel na bado na wewe unajimwambafai kujibu. Hali ni mbaya kwa Wasichana wengi duniani kote hasa hawa wa kuanzia miaka 25 na kuendelea, Aisee zingatieni sana haya mnayoandikiwa hapa, isije hiyo 2030 mkaanza kuwalilia watoto waliopo darasa la saba sasa hivi ?
 
Maumivu ya nini sasa kila mtu kuna namna mungu amempangia hatuwezi kuwa sawa alafu dunia sio yetu ni ya mungu ww una uhakika gani kama hiyo 2030 utakuwa hai ebu tafuta hela achana na maisha ya watu
Akili mbovu hujadili mleta mada akili nzima huzingatia mada.

Wewe ni wapi nimeongea kwamba hiyo 2030 mimi natakiwa kutoa kibali ili hicho nilichosema kitokee?

Umeshindwa kujipa tafakari ya uhalisia unaniwaza mimi? [emoji848]

Nyie ndio wale wale mtu anakwambia nyumbani kwako kuna wezi wanavunja au nyumba inawaka moto unasema wanakufuatilia maisha yako.

Umeshindwa hata kuelewa mada unakuja straight kushoot bullets kwangu, nonsense.

Kwahiyo MUNGU ndio alipanga watu waje wadange, watoe mimba, watange tange halafu wapoteze muda hadi miaka ifike 30 ndio wawaze kutulia, huo mpango ni wa MUNGU wa goba au MUNGU wa ukoo wenu?

Idiot.
 
Sawa endeleeni kujidanganya na kujifariji

Lakini ukweli mnaujua ni jinsia gani wanaopenda zaidi kuliwazwa na kufarijiwa na wenzao, pale wanapotoka mihangaikoni na wakiwa na stress kwa zile kauli kama, "pole na uchovu mpenzi" au "karibu chakula kipenzi" nk na jinsi wanavyohaha wakizikosa

Na mkumbuke wanawake wana uwezo wa kumultitask mwanamke ana uwezo wa kutoka kazini na bado akafanya kazi za nyumbani mwenyewe, ila mwanaume ukimuachia nyumba au watoto peke yake wote tunajua lazima atahitaji msaada wa mwanamke, haijalishi ni mke au housegirl kwahiyo endeleeni kuukwepa ukweli
Hizo wanaume huwa hawazipati kwa wake zao wa ndoa wanazipata kwa nyumba ndogo, so ndoa wala haimpi hicho kitu. Think again.
 
Mwanaume ana options nyingi za kuendanazo kwani hata sasa hivi situnaona mnavyobinua viuno huko tiktok na snapchat? Kwenye status za whatsapp full kujiimbisha nyimbo za Zuchu na Mario 🤣🤣🤣
Kimsingi wasichana wa zama hizi wana muelekeo mbaya sana. Na jamaa katolea na mifano ya Kina Wolper,Shilole, Aunt Ezekiel na bado na wewe unajimwambafai kujibu. Hali ni mbaya kwa Wasichana wengi duniani kote hasa hawa wa kuanzia miaka 25 na kuendelea, Aisee zingatieni sana haya mnayoandikiwa hapa, isije hiyo 2030 mkaanza kuwalilia watoto waliopo darasa la saba sasa hivi ?
Kizazi hiki changamoto zipo jinsia zote hasa hiyo yenu hivi tatizo ushoga halioni? Mmefikia hatua ya kuvaa pedi !!!! Pombe, madawa, umalaya, ushoga nk umamdhuru nani kama sio nyie? Mmejikita kunyoosha vidole kwa wanawake ila mmeshindwa kujiokoa nyinyi wenyewe, na uko hapa kujimwambafai kunijibu kama nani? Pambaneni na ya kwenu kabla hamjachelewa la sivyo hali kwenu ni mbaya kuliko mnaowahangaikia
 
Back
Top Bottom