Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio maajabu ya simba kuwahi kutokea. Mashabiki wengi wanampenda sana phiri na hawamtaki Bocco kabisa.Bocco anaanza Phiri anakaa benchi. Aisee[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
Waha wengi wako hivyoTry Again ni kirusi ndani ya simba hajui mpira kakaa kama mwanasiasa,kajaa chuki tu na ushamba.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ikiwezekana aje Yanga, anakaribishwaGENTAMYCINE nimeandika Threads za kutosha hapa Kuuonya Uongozi wa Simba SC juu ya Kocha Mkuu Roberto Oliveira anachomfanyia Mshambuliaji wangu Bora ndani ya Simba SC Moses Phiri ila nikapuuzwa.
Mpaka nikaja hapa JamiiForums Kumuonya Kiongozi Mmoja Mwandamizi wa Simba SC kuwa Yeye ndiyo Kisababishi Kikuu cha Mshambuliaji HATARI Moses Phiri kutopangwa Kimakusudi na Kocha Mkuu Roberto Oliveira.
GENTAMYCINE ukiniuliza ni Mshambuliaji gani ambaye kwa Simba SC hii ya sasa ana Namba yake ya Kudumu na anatakiwa Kuanza kutokana na Uwezo mkubwa ( hasa katika Ufungaji ) haraka bila ya Kuchelewa nitamtaja Mshambuliaji Mzambia Moses Phiri.
Muda si mrefu GENTAMYCINE nimetoka kumsikia Mmoja wa Waandamizi ndani ya Yanga SC ( mwenye Kuheshimika ) kote kote ( Uraiani na Bungeni ) akiwa amekuja katika Ofisi za Kampuni Moja Mikocheni akimthibitishia niliyekuwa na Miadi nae Saa 2 hii Asubuhi kuwa mpaka sasa wana 85% za Kumsajili Mshambuliaji Moses Phiri na kwamba hata Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi 'Master' anamuhitaji akiamini kuwa kwa Mpira mwingi wa Pacome Zouzoua, Aziz Ki, Max Zengeli huku nyuma yao akiwepo Doctor Khalid Aucho basi Mshambuliaji Moses Phiri atafunga Magoli mengi hadi mengine Kuyakinai na kuwapa akina Onana, Boko na Baleke nao wawe nayo.
Moses Phiri kwa Upuuzi ulioko Simba SC na kwa Chuki Kubwa ya huyo Kiongozi ndani ya Simba SC na kwa Unafiki mkubwa anaokufanyia Kocha Mkuu Roberto Oliveira Mimi GENTAMYCINE nimebariki kwa Moyo Mmoja na Mkunjufu Wewe kwenda / Kusajili Yanga SC Mkataba wako ukiisha na nimedokezwa kuwa unaisha au Wiki hii au Mwezi huu kama sijakosea.
Nikiwaambia Mimi ni Nabii msibishe.
GENTAMYCINECharistimatic Fella
Nina Mke tayari hivyo acha Kujipendekeza Kwangu ili uwe Mke wangu wa Pili sawa?
Nina Mke tayari hivyo acha Kujipendekeza Kwangu ili uwe Mke wangu wa Pili sawa?
Kweli kabisaHaya ndio maajabu ya simba kuwahi kutokea. Mashabiki wengi wanampenda sana phiri na hawamtaki Bocco kabisa.
Na wewe ikibidi kasajiliwe Tanga,Kwa I huko yanga wanacheza wote? Gift Fred anacheza? Nkane na Ngushi wanacheza? Toeni ushamba ktk footballKama Kuna wakati viongozi na kocha wa Simba walinikera, basi ni pale walivyomtendea HAMIS TAMBWE na kisha baadae jamaa akatimkia YANGA. Yaani walimwacha top scorer kwa sababu za kijinga, na mimi nilifurahi alivyokuwa akitunyoosha alipoenda Yanga ambako nako aliibuka top scorer.
Jambo hili linaenda kujirudia kwa MOSES PHIRI. Namtakia kila la heri kokote kule atakakoenda (hata kama haitakuwa Yanga). Na ikikupendeza Mwenyezi Mungu nakuomba umsaidie ili aje kuinyoosha Simba, maana wewe ni Mungu usiyependa uonevu na dharau.
Hata akina SHABAAN CHILUNDA watafute pa kwenda kulinda vipaji vyao maana wachawi akina Bocco wana kila dalili ya kuongezewa mikataba mingine.
hivi kwanini wanamchukia phiri?GENTAMYCINE nimeandika Threads za kutosha hapa Kuuonya Uongozi wa Simba SC juu ya Kocha Mkuu Roberto Oliveira anachomfanyia Mshambuliaji wangu Bora ndani ya Simba SC Moses Phiri ila nikapuuzwa.
Mpaka nikaja hapa JamiiForums Kumuonya Kiongozi Mmoja Mwandamizi wa Simba SC kuwa Yeye ndiyo Kisababishi Kikuu cha Mshambuliaji HATARI Moses Phiri kutopangwa Kimakusudi na Kocha Mkuu Roberto Oliveira.
GENTAMYCINE ukiniuliza ni Mshambuliaji gani ambaye kwa Simba SC hii ya sasa ana Namba yake ya Kudumu na anatakiwa Kuanza kutokana na Uwezo mkubwa ( hasa katika Ufungaji ) haraka bila ya Kuchelewa nitamtaja Mshambuliaji Mzambia Moses Phiri.
Muda si mrefu GENTAMYCINE nimetoka kumsikia Mmoja wa Waandamizi ndani ya Yanga SC ( mwenye Kuheshimika ) kote kote ( Uraiani na Bungeni ) akiwa amekuja katika Ofisi za Kampuni Moja Mikocheni akimthibitishia niliyekuwa na Miadi nae Saa 2 hii Asubuhi kuwa mpaka sasa wana 85% za Kumsajili Mshambuliaji Moses Phiri na kwamba hata Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi 'Master' anamuhitaji akiamini kuwa kwa Mpira mwingi wa Pacome Zouzoua, Aziz Ki, Max Zengeli huku nyuma yao akiwepo Doctor Khalid Aucho basi Mshambuliaji Moses Phiri atafunga Magoli mengi hadi mengine Kuyakinai na kuwapa akina Onana, Boko na Baleke nao wawe nayo.
Moses Phiri kwa Upuuzi ulioko Simba SC na kwa Chuki Kubwa ya huyo Kiongozi ndani ya Simba SC na kwa Unafiki mkubwa anaokufanyia Kocha Mkuu Roberto Oliveira Mimi GENTAMYCINE nimebariki kwa Moyo Mmoja na Mkunjufu Wewe kwenda / Kusajili Yanga SC Mkataba wako ukiisha na nimedokezwa kuwa unaisha au Wiki hii au Mwezi huu kama sijakosea.
Nikiwaambia Mimi ni Nabii msibishe.