makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Unaposema unanipenda ndio hapo unaponovuruga kwa kweli.. soon nitakuwa UTOPOLO ๐ธ๐ธ๐ธWoyoooooo nakupenda tena na tena๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaposema unanipenda ndio hapo unaponovuruga kwa kweli.. soon nitakuwa UTOPOLO ๐ธ๐ธ๐ธWoyoooooo nakupenda tena na tena๐๐๐๐๐๐
Bora nibaki huku bby, raha nipate mara 2, nipate raha kwako na UTOPOLO ya general phiri inipe raha,si nitakufa kwa raha mimi..Baby hamia kwa wananchi upate raha๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Zwazwa Mamaako.Kuna MAZWAZWA Menzie yatamuamini.
Hatoi 10% kwa Viongozi wa Simba SC.hivi kwanini wanamchukia phiri?
Ungekuwa usingekuwa Juha ulivyo.UTOTO RAHA SANA....
Upumbavu wangu unauzidi wa Aliyekuzaa?Ingependeza kama Ungejikita Kuishambulia hoja, Kuliko Kunishambulia Mimi ambaye hunifahamu na hutakaa unifahamu.
UNAZIDI KUDHIHIRISHA UPUMBAVU WAKO.
Try again kaingiaje hapa๐คจ๐Try Again ni kirusi ndani ya simba hajui mpira kakaa kama mwanasiasa,kajaa chuki tu na ushamba.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mpumbavu ambaye Kutwa unamtaka ( tena kwa Kumlazimisha ) akupe Mimba yake ili nawe Uzae Genius kama Yeyw?LINAZIDI KUJIDHIHIRISHA LILIVYO PUMBAVU MASIKINI.
Mkuu we unaamini kua Phiri anauwezo huo?Vita ya panzi furaha ya kunguru... Phiri akija Yanga tutakua tumempata Mayele mpya kirahisi kabisa [emoji23][emoji23]
Ila JmF iko biased Sana..mtu anaweza andika uzi wa maana Kabisa..Ila wasiupandishe ila mtu ataandika utumbo na ujinga wa mpira kama wa huyu jamaa na wanaupandisha fasta
Naunga mkono hoja ๐๐๐๐๐GENTAMYCINE nimeandika Threads za kutosha hapa Kuuonya Uongozi wa Simba SC juu ya Kocha Mkuu Roberto Oliveira anachomfanyia Mshambuliaji wangu Bora ndani ya Simba SC Moses Phiri ila nikapuuzwa.
Mpaka nikaja hapa JamiiForums Kumuonya Kiongozi Mmoja Mwandamizi wa Simba SC kuwa Yeye ndiyo Kisababishi Kikuu cha Mshambuliaji HATARI Moses Phiri kutopangwa Kimakusudi na Kocha Mkuu Roberto Oliveira.
GENTAMYCINE ukiniuliza ni Mshambuliaji gani ambaye kwa Simba SC hii ya sasa ana Namba yake ya Kudumu na anatakiwa Kuanza kutokana na Uwezo mkubwa ( hasa katika Ufungaji ) haraka bila ya Kuchelewa nitamtaja Mshambuliaji Mzambia Moses Phiri.
Muda si mrefu GENTAMYCINE nimetoka kumsikia Mmoja wa Waandamizi ndani ya Yanga SC ( mwenye Kuheshimika ) kote kote ( Uraiani na Bungeni ) akiwa amekuja katika Ofisi za Kampuni Moja Mikocheni akimthibitishia niliyekuwa na Miadi nae Saa 2 hii Asubuhi kuwa mpaka sasa wana 85% za Kumsajili Mshambuliaji Moses Phiri na kwamba hata Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi 'Master' anamuhitaji akiamini kuwa kwa Mpira mwingi wa Pacome Zouzoua, Aziz Ki, Max Zengeli huku nyuma yao akiwepo Doctor Khalid Aucho basi Mshambuliaji Moses Phiri atafunga Magoli mengi hadi mengine Kuyakinai na kuwapa akina Onana, Boko na Baleke nao wawe nayo.
Moses Phiri kwa Upuuzi ulioko Simba SC na kwa Chuki Kubwa ya huyo Kiongozi ndani ya Simba SC na kwa Unafiki mkubwa anaokufanyia Kocha Mkuu Roberto Oliveira Mimi GENTAMYCINE nimebariki kwa Moyo Mmoja na Mkunjufu Wewe kwenda / Kusajili Yanga SC Mkataba wako ukiisha na nimedokezwa kuwa unaisha au Wiki hii au Mwezi huu kama sijakosea.
Nikiwaambia Mimi ni Nabii msibishe.
KwahONa wewe ikibidi kasajiliwe Tanga,Kwa I huko yanga wanacheza wote? Gift Fred anacheza? Nkane na Ngushi wanacheza? Toeni ushamba ktk football
Nadhani umemuona Moses Phiri?Na wewe ikibidi kasajiliwe Tanga,Kwa I huko yanga wanacheza wote? Gift Fred anacheza? Nkane na Ngushi wanacheza? Toeni ushamba ktk football
Chizi ni Aliyekuzaa na siyo Mimi Pumbavu.Hahaaaaa.
Jamaa ANAANDIKA utumbo na UJINGA MWINGI??????????
Alivyokuwa CHIZI anajiona anaakili mno......
Hahaaaaa.
Jamaa ANAANDIKA utumbo na UJINGA MWINGI??????????
Alivyokuwa CHIZI anajiona anaakili mno......
Nyota yangu Kali na ya Asili, Umaarufu na Mvuto wangu, Uwasilishaji wangu wa Kipekee, Uwezo wangu wa Akili ( Upeo ) na Kubarikiwa Kwangu na Mwenyezi Mungu na Shani ( Tunu ) nyingi kumekuwa ni Chukizo Kubwa kwa hawa Wapumbavu wachache Wanaonichukia na Kunionea Wivu mfano wa huyo Uliyemtaja hapo katika Post yako.Ila JmF iko biased Sana..mtu anaweza andika uzi wa maana Kabisa..Ila wasiupandishe ila mtu ataandika utumbo na ujinga wa mpira kama wa huyu jamaa na wanaupandisha fasta