BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Ila JmF iko biased Sana..mtu anaweza andika uzi wa maana Kabisa..Ila wasiupandishe ila mtu ataandika utumbo na ujinga wa mpira kama wa huyu jamaa na wanaupandisha fasta
Hahaaaaa.
Jamaa ANAANDIKA utumbo na UJINGA MWINGI??????????
Alivyokuwa CHIZI anajiona anaakili mno......
Algebra zinakushinda ndio una upeo wa Akili? Okay Sjaja kutafuta league Ila nimetoa uhalisia wa huu mtandao uko so biased..ww Bipolar Sina Cha kukujibuNyota yangu Kali na ya Asili, Umaarufu na Mvuto wangu, Uwasilishaji wangu wa Kipekee, Uwezo wangu wa Akili ( Upeo ) na Kubarikiwa Kwangu na Mwenyezi Mungu na Shani ( Tunu ) nyingi kumekuwa ni Chukizo Kubwa kwa hawa Wapumbavu wachache Wanaonichukia na Kunionea Wivu mfano wa huyo Uliyemtaja hapo katika Post yako.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!