Ikikuuma Kajinyonge, ila ukweli ni kwamba 85% Moses Phiri anaenda Yanga SC Dirisha Dogo au Msimu Mpya ujao

Ikiwezekana aje Yanga, anakaribishwa
 
Nitakuja mwanangu, hizi tabu za kujitakia sitaki, we phiri anaozea benchi linacheza li JOHN BOKO kweli. Timu ifungwe mie niumie si kuumizana kwa makusudi huku. πŸ˜‚ Alipo Atoto nami nipo.
Woyoooooo nakupenda tena na tenaπŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›
 
Na wewe ikibidi kasajiliwe Tanga,Kwa I huko yanga wanacheza wote? Gift Fred anacheza? Nkane na Ngushi wanacheza? Toeni ushamba ktk football
 
hivi kwanini wanamchukia phiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…