Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
Ni mwendawazimu tu anatafuta kitu alicho nacho. Watu wanatafuta kitu ambacho hawana.Amka hapo ulipo katafute pesa
Achana na mambo ya ving'amuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendawazimu tu anatafuta kitu alicho nacho. Watu wanatafuta kitu ambacho hawana.Amka hapo ulipo katafute pesa
Achana na mambo ya ving'amuzi
Wewe ni msomi na una fanya kazi nzuri. Hao wanaofanya manual work hawaelewi haya mambo....Wenzio kwenye mabenk ma office mbali mbali wana visimbuzi huku shighuli zinaendelea.
Tofauti na wewe ambae kazi ya kipato chako hakikiruhusu kuangalia kisimbusi.
Si wao kazi zao ni za kutumia nguvu. 🤣 Utaangalia TV huku unaniiii kweli?Wengi wamahisi mtu akiangalia tv, basi yupo nyumbani 😅😅😅
Sisi wanaume tuna pesa tunaangalia TV anytime tunapokuwa na nafasi kujua dunia nyingine inaendeleaje. Tunaangalia hbr za uchumi soko la Dunia, Finance n.k but pia kwa sisi ambao si vibarua unakuta tuna enjoy life ndo likizo hii n.k nyie waendesha boda boda hamwezi kupata nafasi ya kuangalia TV muda huu.Mwanaume unafanya kazi ya teller bank, unasubiri wanaume wenzako watafute hela uje uwahesaboe. .
Ofisini unaenda kufanya kaz au kuangalia TV? Mwanaume unalia lia kuhusu kuangalia TV🤣🤣🤣
Huyo atakuja kuanzisha thread humu....Uwe unampeleka amamsalimia then unarudi nae, ukija kuhamaki una kibendi kingine
Mo mwenyewe ana pesa,ila muda huu yupo bize,haangalii Masaptasapta,wewe ni nani nchi hii ambaye unaangalia TV saa hizi na huna shida ya pesa?Ni mwendawazimu tu anatafuta kitu alicho nacho. Watu wanatafuta kitu ambacho hawana.
Ni yale yale tu nako zinakatakata kasoro za tz tuHamia Dstv
Hivi mnadhani kila mtu anafanya kazi kama zenu za kusimamiwa!?! . Acheni kukariri.... Mpeni majibu kama hamna kaeni kimyaUnaacha kwenda kazini asubuhi yote hii unaangalia TV. Halafu ndio unataka nikuachie mtoto umlee utamfundisha nn zaidi ya uvivu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuuza matunda ya kukata pale makumbusho sio kibarua eeh baba mtoto??Mimi siyo Kibarua wewe.... Vibarua ndo unaweza wauliza hili swali.
Huyu siwezi kumuongezea mtoto mwingine, ni mvivu sana hapendi kufanya kazi, imagine anauza matunda makumbusho anashindwa hata kujiongeza aweke kamashine ka popcorn pembeni aongeze kipato kutwa yupo Jf ananikwaza sanaUwe unampeleka amamsalimia then unarudi nae, ukija kuhamaki una kibendi kingine
Mkuu huyu namfahamu vizuri sana anauza matunda makumbusho pale ndio maana nimemwambia aende kazini.Hivi mnadhani kila mtu anafanya kazi kama zenu za kusimamiwa!?! . Acheni kukariri.... Mpeni majibu kama hamna kaeni kimya
Mo siyo role model wangu. Lakini pia kila mtu ana maisha yake. Mo anapost mambo insta bakhresa hapost. Unaona tofauti? Elon Musk anashinda Twitter but kuna matajiri hawapo twitter. Yaani kila mtu ana maisha yake kwa wakati wakeMo mwenyewe ana pesa,ila muda huu yupo bize,haangalii Masaptasapta,wewe ni nani nchi hii ambaye unaangalia TV saa hizi na huna shida ya pesa?
Taja jina niku-google nione hata wikipedia huko.
Kama mimba inaingia tu kwa maneno basi kazi siwezi.Huyu siwezi kumuongezea mtoto mwingine, ni mvivu sana hapendi kufanya kazi, imagine anauza matunda makumbusho anashindwa hata kujiongeza aweke kamashine ka popcorn pembeni aongeze kipato kutwa yupo Jf ananikwaza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Chizi Maarifa kuna ujumbe wako huku, uwe unajiongeza🤣🤣🤣🤣Huyu siwezi kumuongezea mtoto mwingine, ni mvivu sana hapendi kufanya kazi, imagine anauza matunda makumbusho anashindwa hata kujiongeza aweke kamashine ka popcorn pembeni aongeze kipato kutwa yupo Jf ananikwaza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Utani utani hivi mnajikuta mmefika mbali! Ila nimependa utani wenu!Kuuza matunda ya kukata pale makumbusho sio kibarua eeh baba mtoto??
Sent using Jamii Forums mobile app
Bakhresa hapost,ila unamjua,wewe ni nani ambaye pesa siyo hitaji lako na unakaa kuangalia TV badala hata ya ku-streamku-stream?Mo siyo role model wangu. Lakini pia kila mtu ana maisha yake. Mo anapost mambo insta bakhresa hapost. Unaona tofauti? Elon Musk anashinda Twitter but kuna matajiri hawapo twitter. Yaani kila mtu ana maisha yake kwa wakati wake
Aaaargh.... Huwezi jiongeza kufikia kwenye mtaro wa maji choo. Lazima ujifinye usifike huko.Chizi Maarifa kuna ujumbe wako huku, uwe unajiongeza🤣🤣🤣🤣
Unamfaham koos bekker?Bakhresa hapost,ila unamjua,wewe ni nani ambaye pesa siyo hitaji lako na unakaa kuangalia TV badala hata ya ku-streamku-stream?
Unamfaham Saul? Si kila tajiri anapenda kufahamika na watu wa hali duni kiakili. Kuna matajiri wanafahamika tu na watu wenye akili 😂Bakhresa hapost,ila unamjua,wewe ni nani ambaye pesa siyo hitaji lako na unakaa kuangalia TV badala hata ya ku-streamku-stream?