Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, swali lako lina mantiki! Lakini, kama tulivyo hapa JF, hata mtu alete, au aulize swali la maana, lazima atapata majibu ya HOVYO!Inakuaje hawa Azam Decoder?
Yaani tuma nyunyu tu TV ina stuck. Sasa si wangesema mapema kuwa hizi decoders zao zinatumika wakati wa jua tu masika tufanye utaratibu mwingine?
Ata dstv hamna kituHamia Dstv
Acha kukariri Ni Nani aliyekuambia kila mtu anafanya kaz asubuhi tu? Na Kwan huko makazini hakuna Tv?Unaacha kwenda kazini asubuhi yote hii unaangalia TV. Halafu ndio unataka nikuachie mtoto umlee utamfundisha nn zaidi ya uvivu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Moderators wameona wampambanie... Wamenizuia nisi comment. Wanaona namkosoa nao wanakosa hadithi. Ni kama wameingiwa na woga sana sababu sisi wengine huwa hatupendi uongo.Mkuu, swali lako lina mantiki! Lakini, kama tulivyo hapa JF, hata mtu alete, au aulize swali la maana, lazima atapata majibu ya HOVYO!
Ukisikiliza matangazo ya Azam kuhusiana na hivyo ving'amuzi, wanatuambia vinaonyesha vizuri, bila kujali mvua, wala upepo mkali. Sasa, wengi tunaona ni kinyume na tulivyo tangaziwa! Ni kweli, mvua kidogo ikiwa inanyesha, utaona stuck, au MGANDO kabisa! Bila kuhoji hivyo, wahusika watarekebishaaa?
Halafu mkuu Chizi Maarifa ,vipi mbona sikuoni kule kwenye ile "HADITHI" ya "MASTER" na yule "MZENJI"?
Kwani mimi nimemuongelea "kila mtu" au nimemwambia Chizi maarifa?? Umejuaje kama naijua kazi yake ndio maana nikamwambia aende kazini??Acha kukariri Ni Nani aliyekuambia kila mtu anafanya kaz asubuhi tu? Na Kwan huko makazini hakuna Tv?
...Sio Kila Mtu ana Fanya Kazi Mchana, Mkuu! Wengine Wana zamu ya Usiku na Mchana ni kuangalia TV TU! Ameuliza Swali la maana!Unaacha kwenda kazini asubuhi yote hii unaangalia TV. Halafu ndio unataka nikuachie mtoto umlee utamfundisha nn zaidi ya uvivu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kazi zake ni za asubuhi na mchana hadi saa 3 usiku ndio maana nimeshangaa kwanini analalamika kuangalia TV saa hizi. Anauza matunda pale makumbusho ilibidi awe ameenda sokoni kuchukua mzigo....Sio Kila Mtu ana Fanya Kazi Mchana, Mkuu! Wengine Wana zamu ya Usiku na Mchana ni kuangalia TV TU! Ameuliza Swali la maana!
Basi hamia StarTimes TanzaniaAta dstv hamna kitu
Kukikandia kifurushi cha azam mara kwenye mvua hakifanyi kazi na ng'ong'ong'o.Wamesemaje?
Oooookay! Mwanzoni jamaa walisema umekula BAN, wengine wakasema ni uzi ule tu!Moderators wameona wampambanie... Wamenizuia nisi comment. Wanaona namkosoa nao wanakosa hadithi. Ni kama wameingiwa na woga sana sababu sisi wengine huwa hatupendi uongo.
Ha ha ha.... Sijala Ban ila pia Moderator s mpaka leo wameshindwa kuniambia wametumia kanuni gani au mimi nlikosea sheria na taratibu zipi. So wamekosa hoja wametumia mabavu tu sababu JAMII FORUMS YA SASA ITS NOT A PLACE WE DARE TO SPEAK OPENLY. WAMEKUWA COMPROMISED.Oooookay! Mwanzoni jamaa walisema umekula BAN, wengine wakasema ni uzi ule tu!
Nashukuru kwa ufafanuzi!
KWA NINI NITAFUTE NA WAKATI ZIPO HAPA? WATU WANATAFUTA KITU AMBACHO HAKINA. MFANO WEWE HUNA MATAKO MAKUBWA. NDO NITAKWAMBIA TAFUTA MAFAKO MAKUBWA DADA.Tafuta hela mkuu...
Unadhani nitakuwa natumia LNB ya ZUKU kwenye Azam?Watu wamekupopoa sana mzee lakin hilo tatzo la mvua kidogo inagoma ni kutokana na eneo ulilopo itakuwa signal za Azam tv zipo chini sana pia jaribu kutumia LNB ya azam kwenye dish inaweza ondoa hilo tatzo
Nimeacha kuuza matunda sasa nakula matunda tu.Huyu kazi zake ni za asubuhi na mchana hadi saa 3 usiku ndio maana nimeshangaa kwanini analalamika kuangalia TV saa hizi. Anauza matunda pale makumbusho ilibidi awe ameenda sokoni kuchukua mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi DSTV huwa hainisumbui hata.Ata dstv hamna kitu
Hata DSTV ina shida hiyo tena bora Azam kwa kuwa huvumilia.Inakuaje hawa Azam Decoder?
Yaani tuma nyunyu tu TV ina stuck. Sasa si wangesema mapema kuwa hizi decoders zao zinatumika wakati wa jua tu masika tufanye utaratibu mwingine?