Ikinyesha kidogo tu tayari andika Maumivu kwenye visimbuzi

Ikinyesha kidogo tu tayari andika Maumivu kwenye visimbuzi

Sasa kwa nini waniuzie cha Zuku ikiwa nimenunua kila kitu kwao? Wana akili kweli hawa?
Kama vyote umenunua kwao basi hilo tatzo la kupoteza signal linatokana na mahali ulipo,ili tatzo niliwah kulipata,nilivyobadili LNB na kuweka ya azam siku hz kukiwa na mvua kidogo tunaendelea kuangalia tu
 
Kama vyote umenunua kwao basi hilo tatzo la kupoteza signal linatokana na mahali ulipo,ili tatzo niliwah kulipata,nilivyobadili LNB na kuweka ya azam siku hz kukiwa na mvua kidogo tunaendelea kuangalia tu
Binafsi, huwa nafurahi sana ninapokutana na michango ya ufafanuzi mzuri kama wako, pindi mtu aulizapo kitu, na si kejeri na utani!
 
Back
Top Bottom