GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nijibuni haraka kwani kuna safari ( chocho ) ninataka kupita na najua nitakamatwa na Mmoja wao je, nani anisulubishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza Kesi Polisi?Umepanga kuchagua wa Kukukamata?
Kwa taarifa yako za chini ya Kapeti na wanaojua Medani wanakuambia ni bora ukutane na MP wa JWTA kuliko Magereza.Hili nalo la Kufikiria kweli,Yaani Mjeshi halafu MP umfananishe na Magereza!!!
Labda!! Ngoja tuone...Kwa taarifa yako za chini ya Kapeti na wanaojua Medani wanakuambia ni bora ukutane na MP wa JWTA kuliko Magereza.
Mwambie afande benhamen asukileNijibuni haraka kwani kuna safari ( chocho ) ninataka kupita na najua nitakamatwa na Mmoja wao je, nani anisulubishe?
Na nimeanzisha hii Mada makusudi ili nipate Uthibitisho wa hawa Watu Wawili kutoka katika hizi Taasisi Muhimu nchini TZ.Labda!! Ngoja tuone...
Kwamba JWTZ hawanaga shida na Raia ?.Bora ukamatwe na huyo wa JWTZ huwa hawana shida sana na raia.. hao wa magereza ni habari nyingine..
Nionavyo mimi kwa wewe ili unyooke inatakiwa usulubishwe na MP wa JWTZ😀...Nijibuni haraka kwani kuna safari ( chocho ) ninataka kupita na najua nitakamatwa na Mmoja wao je, nani anisulubishe?
Mkuu nasikia kuwa Mtiti wa Askari Magereza hawa MP wa JWTZ ni cha Mtoto. Sasa Wewe unaweza kubishana na Askari Magereza ambaye 95% ya Mafunzo ya Kozi yake ni Kukutesa, Kukupiga, Kukufanya Ujambe na hata Unye bila Raatiba Maalum na Kuvinyong'onyeza Viungo vyako vyote vya Mwili?Kwamba JWTZ hawanaga shida na Raia ?.
Mkuu wangu unaonekana hunitakii Mema kabisa.....!!!!Nionavyo mimi kwa wewe ili unyooke inatakiwa usulubishwe na MP wa JWTZ😀...
Sawa Afande MP wa JWTZ. Vipi upo hapo Lugalo Getini nije nikusabahi au?Hawa wote wanashughulika nakurekebisha nidhamu kwa njia ya adhabu. MP wa magereza anashughulikia nidhamu za wafungwa wakorofi(raia).
MP wa Jwtz anashughulikia nidhamu za askari wakorofi... narudia,ASKARI wakorofi!Nawote huwa wanaogopwa katika maeneo yao. Sasa fikiria Kam MP wa JW anaogopwa na askari watukutu,vipi umlinganishe nahuyu anayeogopwa na raia(wafungwa).
Kinachofanya magereza waonekane hatar nikwasababu wale wafungwa wanapopata adhabu huwa wanazisimulia mtaani..hii nitofauti na askari ambao Mambo yakambini huishia humohumo.Huwez kuwasikia wakilalamikia adhabu wanazopata pale wanapokosea.
Kwa maoni yangu MP wa JW ni wabaya kuliko wa magereza
Kwa mie nawachapa wote mikonoNijibuni haraka kwani kuna safari ( chocho ) ninataka kupita na najua nitakamatwa na Mmoja wao je, nani anisulubishe?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wangu unaonekana hunitakii Mema kabisa.....!!!!