Ikitokea Askari MP wa JWTZ na wa Magereza 'wamekubananisha' katika '18' zao utachagua nani ndiyo wakupe Adhabu?

Ikitokea Askari MP wa JWTZ na wa Magereza 'wamekubananisha' katika '18' zao utachagua nani ndiyo wakupe Adhabu?

Hawa wote wanashughulika nakurekebisha nidhamu kwa njia ya adhabu. MP wa magereza anashughulikia nidhamu za wafungwa wakorofi(raia).
MP wa Jwtz anashughulikia nidhamu za askari wakorofi... narudia,ASKARI wakorofi!Nawote huwa wanaogopwa katika maeneo yao. Sasa fikiria Kam MP wa JW anaogopwa na askari watukutu,vipi umlinganishe nahuyu anayeogopwa na raia(wafungwa).
Kinachofanya magereza waonekane hatar nikwasababu wale wafungwa wanapopata adhabu huwa wanazisimulia mtaani..hii nitofauti na askari ambao Mambo yakambini huishia humohumo.Huwez kuwasikia wakilalamikia adhabu wanazopata pale wanapokosea.
Kwa maoni yangu MP wa JW ni wabaya kuliko wa magereza
Askari Magereza anadili pia na askari waliokutwa na makosa ya jinai na kupata hukumu hivyo kufukuzwa jeshi, haijalishi ni jeshi gani? au usalama wa Taifa, wote kwake ni chakula.

Nawakumbusha tu
 
Hujawahi kuona Magereza wanavotembeza kichapo.

Kuwa Mwanajeshi haimaanishi wewe ni mkomavu kuliko Raia wote, kumbuka kuna majambazi wanazichapa kuliko makomandoo wa JWTZ. Sasa hao majambazi wanatunzwa na hao MAGEREZA.

NI RAHISI KUMPA ADHABU ASKARI KWA KUWA KULE NI UTII TU, LKN KUMPA ADHABU RAIA AMBAYE ANAWEZA KUKUCHENJIA MKAZICHAPA NI HATARI SANA.

KWANGU NI BORA NIKUTANE NA JWTZ naweza toka natambaa (JKT imenikuta sana hii)
Lkn MAGEREZA unatoka umezimia
Unaleta ushabiki Sasa Mzee Mimi nakupa fact we unaleta ubishi

Kipi kigumu kumtesa raia (mfungwa ) ambaye Hana mafunzo au kumtesa mwanajeshi ambaye ni well trained soldier wap ugumu ulipo
 
Bora huyo magereza, MP wa JWTZ achana nae kabisa. Kwa muda mchache tu niliokaa kwenye mafunzo ya mujibu JKT nilishuhudia bakabaka wakiadhibiwa hadi wanaomba poo!. Hebu acheni utani na MP kabisa maana wale wana mafunzo maalum kukuadhibu mwanajeshi.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Sasa Tupo uzoefu wako ulipokuwa kanyampasila Ukonga Hali ilikuwaje[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Usijisifie kuwa hao JWTZ uliwagonga na wakakuacha tu ukweli ni kwamba hiyo Siku huenda uliwakuta ndiyo wametoka Kupokea Mishahara yao ama iko mbioni kutoka.

Ili uamini hili nakuomba kwa Makusudi Kawagonge tena kati ya tarehe zao Dume za 9 hadi 22 ya kila Mwezi ndipo utawajua walivyo na Usununu ( Hasira ) na kwanini Nyoka hana Ugoko.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
MP ni hatari mnoo Ila wana Akili namna ya kumwadhibu mtu ila hawa wa Magereza ni Hatari zaidi Naona kama hawatumiagi Akili namna ya Kumwadhibu mtu
Umesema kinyume, ... JW hawajifunzi sana saikolojia ya kupima kipigo! ... Magereza kazi yao ni kumchunga mfungwa amalize kifungo salama!
 
Back
Top Bottom