Ikitokea DP World wakachoka na Upuuzi wetu na kuhamia Kenya, nisisikie Malalamiko haya kwani 'Nitapiga' Mtu

Ni pale maji yanashukuru na kuona yamependwa sana kwa ng'ombe kuweza kuyanywa na sio ng'ombe kushukuru maji uwepo wa maji kwa uhai wake....

Nchi za Africa zina matatizo sana (hizi desperation ndio zinashusha value yao na mwisho wa siku wana-negotiate at a disadvantage)
 
Waende tu, wafilipino wapo watawekeza kwa kipindi maalum
 
Mwezi ujao Mkataba unasainiwa mbele ya TV
 
Halafu wewe dogo akili huna unapenda kurukia mambo usiyoyajua

Hao dp world ni matapeli na wahuni

Wanasiasa kina kikwete na rostam ndio wanataka kutumia jina la dp world kufanya ufisadi
 
Kwanini sisi tumekataa uwekezaji au tumekataa vipengelela vya mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…