Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

na JF wanaomba gawio wamesema 😅😅
 
chuma cha pili...Mhindi haliwi kirahisi ivo
Itakuwa mhindi keshauchungulia mkeka wa huyu mwamba na fasta karuka na ungo hivi sasa mhindi yuko golini kwa Arsenal kuondoa taka taka zote!

Dawa ni mwamba nae kucheki na bibi yake fasta waruke nawao
wakatue huko huko uwanjani. Jino kwa jino!! Bampa to bampa!!

Hapa nikicheki kwenye bakuli la maji naona kuna goli nne za city japo mhindi anazipangua moja baada ya ingine! Mkeka umetiki kwa kanjibhai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…